Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Anaakili sana na mahesabu mazuri,Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani. Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae. Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500
Msome mshana JR ndio utaelewa zaidi👇
Endelea hapa: Wahudumu wa bar wengi wana maisha mazuri kuliko waajiriwa wengi3. Offer.. Hapa ndio wanapapenda mno...na hupendelea kuhudumia meza za wanaume tupu na wenye macho juu juu.. Wengi ukimpa offer atahakikisha anachukua kinywaji cha bei juu na ukimuuliza mbona hanywi anakwambia atakunywa baadae maana muda huo hawaruhusiwi
4. Kinywaji ulichonunua wewe mnaweza kukinunua meza tatu tofauti bila kujua na wengine huzuga kunywa kumbe ndani maji.. Kinywaji husika anaweza kukata pesa yake kwenye bili ama akakiuza kwa mteja mwingine