Kikubwa hatupendi dharau hata akichukua kwa 10k we are less concernedCha ajabu nini hapo!.
Hiyo Hennessy ya laki tatu muhudumu kachukua 270 yake safi kaunta.
Nyie wenye kiburi cha fedha ndio wanawapenda!
Kwa hiyo dogo anamkomoa mhudumu!
Hahahahah.
Mwenyewe nashangaaOya Moderator nini hizi?
Chai hiiNakumbuka siku moja nilienda kiwanja kimoja mjini mwanza nikiwa na dogo langu(msela) akiwa kavaa kawaida sana na anakunywa maji. Kuna bar maid alimuelewa sana akamuita na kumuomba namba yule bar maid akamjibu kwa jeuri sana kwamba ukitaka kuongea na mimi ninunulie kinywaji akanunuliwa hennessy(pale wanauza 300k Hennessy kubwa) alafu akamwambia usikae na mimi sijapenda perfume yako nipe namba ukakae sehem tofauti na mimi then nitakutafuta, dogo hakumtafuta wala nini kakausha tu. Kila muda yule bar maid anakuja kuuliza mbona hunipigii baby dogo anamchora tu.
Safi sanaChai hii
Hennessy ya 300k?Nakumbuka siku moja nilienda kiwanja kimoja mjini mwanza nikiwa na dogo langu(msela) akiwa kavaa kawaida sana na anakunywa maji. Kuna bar maid alimuelewa sana akamuita na kumuomba namba yule bar maid akamjibu kwa jeuri sana kwamba ukitaka kuongea na mimi ninunulie kinywaji akanunuliwa hennessy(pale wanauza 300k Hennessy kubwa) alafu akamwambia usikae na mimi sijapenda perfume yako nipe namba ukakae sehem tofauti na mimi then nitakutafuta, dogo hakumtafuta wala nini kakausha tu. Kila muda yule bar maid anakuja kuuliza mbona hunipigii baby dogo anamchora tu.
Mwambie aende SEWA BAR BuguruniAsante kwa kutujuza kumbe kuna mizigo ya kufa mtu hapo...wacha sie kunguru wa zanzibar tuzuke week end ..
Serikali yako inategemea hayo mataputapu kwa kodi za maendeleo. Ila umenena vyema wenye haya mamisambwanda wengi hawana akili.They are keeping up with the hype.
Mdada mzuri na msambwanda wakushanta anaanzaje kunywa mataputapu kama castle lite au serengeti?
Ni bia zilizotengenezwa kwa viwango vya juu sana acha zako wewe.They are keeping up with the hype.
Mdada mzuri na msambwanda wakushanta anaanzaje kunywa mataputapu kama castle lite au serengeti?
Buguruni sehemu gani pale?naionaga tu ile kimboka pale mataaMwambie aende SEWA BAR Buguruni
RozanaBuguruni sehemu gani pale?naionaga tu ile kimboka pale mataa
hiyo 3k unamaanisha laki tatu?Viwanja vinatofautiana mkuu, kuna sehemu Heineken inauzwa 3k na kwingine ni 5k