Bar Maids wa Kisuma Bar Magomeni njaa kali

Acha ushamba, ofa Haimanaishi anywe hapo hapo wana familia na wanategewa hao,
Mimi mwenyewe ni. Mwanamke ila Bar nikikaa lazima mdada nimpe ofa,
Hao wadada huwa nawaheshimu sana
Nakuaminia dea, [emoji7][emoji7][emoji7]
 
Wahudumu wengi hawana mshahara.

Ile kuweza kutoka na kwenda baa ni opportunity.

Hizo bia wao wana chupa zao wanaweka maji, wewe endelea kununua mwenzio anakusanya kodi ya nyumba ( sorry it's top secret )
 
Kwani unaniangaliaje mjukuu!?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo experience yako afu ya kinyonge mno, nkajua ushapigwa, Afu usisahau ma wish ts ur command, muamala leo
 
Hakika maisha magum. Kinywaji cha 3500 kinaanzishiwa Uzi kwamba ni cha bei Kali.
 
hahahahahahahaha.........dah ukiwa na buku 10 unakamata toto Kali!!unajihisi upo dunian
 
Kama huna hakika na jambo lolote ni bora ukauliza wajuzi kwanza, hiyo hiyo elfu tatu yako ulipaswa kuandika 3k. Sawa sawa?
 
Mi nna muendelezo wa huu uzi
 
Punguza shobo Dada.
 
Wanywa juice mnatuingilia kwenye anga zetu kuja kulalamika?
 
Buguruni kuna baa nyingi sana,lakini kwa nini baa ya SEWA na KIMBOKA ni maarufu sana kuliko baa zote za buguruni?............
 
Hawanywi, chupa zinatiwa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…