Nakuaminia dea, [emoji7][emoji7][emoji7]Acha ushamba, ofa Haimanaishi anywe hapo hapo wana familia na wanategewa hao,
Mimi mwenyewe ni. Mwanamke ila Bar nikikaa lazima mdada nimpe ofa,
Hao wadada huwa nawaheshimu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo experience yako afu ya kinyonge mno, nkajua ushapigwa, Afu usisahau ma wish ts ur command, muamala leoKwani unaniangaliaje mjukuu!?[emoji23]
Hakika maisha magum. Kinywaji cha 3500 kinaanzishiwa Uzi kwamba ni cha bei Kali.Hapa kuna watu wanaona nimeleta ujinga hao jamaa nimekaa nao walikuwa wanalalamika sana.
Na hata hawa wahudumu wa Kisuma akili hakuna ama ni mpango mkakati wa wamiliki wa Bar kutaka hizi pombe za bei zitoke.
Najua Bar Maid ambao walikuwa wanahudumu Rose Garden, Mango Garden na Jackys wamejenga na ilikuwa ni nadra sana kuwakuta wanalewa lakini Kisuma Bar Maid anapiga chupa kama mteja.
hahahahahahahaha.........dah ukiwa na buku 10 unakamata toto Kali!!unajihisi upo dunianSiku ya kwanza kufika Runzewe nilifika saa moja asubuhi bado Kuna ka Giza. Lkn supu zilikua tayari. Basi nikapata supu ya Moto, nikauliza mbona ka mji kenu kamepoa Sana. Nikaambiwa subiri. Basi nikatoka nikaitekenya 2.8 nikaenda Rusumo chap. Ile narudi saa nane, aloo ndio nikaona wanyama wenyewe. Twiga za kitusi, viboko vya kisukuma, miguu ya bia ya kihaya, swala za kinyaturu, digidigi za kiluguru, vifaru vya kisukuma na nyumbu zisizo na idadi. Nikaambiwa nyumbu huna haja ya kupeleka gesti. Subiri Giza kidogo omba mkeka wa taniboi Zama chini ya Lori. Buku yako tu.
Bahati nzuri nilikua muoga. Maana wakati unaingia Runzewe kuna kibao kimeandikwa kwa maandishi makubwa mno.
SASA UNAINGIA RUNZEWE
HAPA UKIMWI UPO.
Kama huna hakika na jambo lolote ni bora ukauliza wajuzi kwanza, hiyo hiyo elfu tatu yako ulipaswa kuandika 3k. Sawa sawa?Mkubwa, labda nikufahamishe kidogo, huyu dogo alpata shavu kazini akaenda mahali akawa anaandika 80000 per day na alikaa huko kwa muda wa miezi mitatu na siku ishirin siku anatoka akapewa mzigo wake kama ulivyo mixer mshahara wa miezi mitatu ukizingatia ni ajira mpya hana mke wala mtoto so alikuwa na pesa nyingi isiyo na kazi. Kitendo cha kununua hiyo hennessy kwake ilikuwa ni Sawa na kununua sandle za 50k
Namaanisha 3000 mkuu,
Ahsante sana mkubwa.Kama huna hakika na jambo lolote ni bora ukauliza wajuzi kwanza, hiyo hiyo elfu tatu yako ulipaswa kuandika 3k. Sawa sawa?
Ha ha haHakika maisha magum. Kinywaji cha 3500 kinaanzishiwa Uzi kwamba ni cha bei Kali.
Mi nna muendelezo wa huu uziBar Maid wengi sio wameingia katika kazi hii kwa kupenda hii ni kazi kama kazi nyingine, nina mifano mingi sana marafiki na ndugu zetu wamepata wenzao kupitia hawa Bar Maid.
Siku mbili hizi nilibahatika kwenda Magomeni Usalama pale kuna wauzaji wa magari ya mkononi. Nikatia timu Bar inaitwa Kisuma. Pale kuna wahudumu wamejaliwa sana wana mizigo haswa. Nikaagizia chakula mimi situmii kilaji. Nikawa nimekaa na jamaa wawili akaja mhudumu akatusikiliza.
Mimi nikaagizia changu nao jamaa wakaagizia chao. Wakampa ofa bibie mhudumu awajoin wakamuuliza unatumia kinywaji gani akasema sijui Windhoek akaambiwa chukua mbili. Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani.
Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae.
Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500 Bar Maid unachoma pesa hiyo kwa ushamba wa kuiga vya mjini ukitoka hapo hauna hata mia ya mihogo ama utakuta wanalala gheto.
Kisuma Bar ukweli mna wadada wadada ambao hata shekhe kipozeo udenda unamtoka ila badilikeni kunywa maji ya Ilala utaweza hata kupewa chenji.
Punguza shobo Dada.Bar Maid wengi sio wameingia katika kazi hii kwa kupenda hii ni kazi kama kazi nyingine, nina mifano mingi sana marafiki na ndugu zetu wamepata wenzao kupitia hawa Bar Maid.
Siku mbili hizi nilibahatika kwenda Magomeni Usalama pale kuna wauzaji wa magari ya mkononi. Nikatia timu Bar inaitwa Kisuma. Pale kuna wahudumu wamejaliwa sana wana mizigo haswa. Nikaagizia chakula mimi situmii kilaji. Nikawa nimekaa na jamaa wawili akaja mhudumu akatusikiliza.
Mimi nikaagizia changu nao jamaa wakaagizia chao. Wakampa ofa bibie mhudumu awajoin wakamuuliza unatumia kinywaji gani akasema sijui Windhoek akaambiwa chukua mbili. Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani.
Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae.
Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500 Bar Maid unachoma pesa hiyo kwa ushamba wa kuiga vya mjini ukitoka hapo hauna hata mia ya mihogo ama utakuta wanalala gheto.
Kisuma Bar ukweli mna wadada wadada ambao hata shekhe kipozeo udenda unamtoka ila badilikeni kunywa maji ya Ilala utaweza hata kupewa chenji.
Wanywa juice mnatuingilia kwenye anga zetu kuja kulalamika?Bar Maid wengi sio wameingia katika kazi hii kwa kupenda hii ni kazi kama kazi nyingine, nina mifano mingi sana marafiki na ndugu zetu wamepata wenzao kupitia hawa Bar Maid.
Siku mbili hizi nilibahatika kwenda Magomeni Usalama pale kuna wauzaji wa magari ya mkononi. Nikatia timu Bar inaitwa Kisuma. Pale kuna wahudumu wamejaliwa sana wana mizigo haswa. Nikaagizia chakula mimi situmii kilaji. Nikawa nimekaa na jamaa wawili akaja mhudumu akatusikiliza.
Mimi nikaagizia changu nao jamaa wakaagizia chao. Wakampa ofa bibie mhudumu awajoin wakamuuliza unatumia kinywaji gani akasema sijui Windhoek akaambiwa chukua mbili. Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani.
Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae.
Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500 Bar Maid unachoma pesa hiyo kwa ushamba wa kuiga vya mjini ukitoka hapo hauna hata mia ya mihogo ama utakuta wanalala gheto.
Kisuma Bar ukweli mna wadada wadada ambao hata shekhe kipozeo udenda unamtoka ila badilikeni kunywa maji ya Ilala utaweza hata kupewa chenji.
Hawanywi, chupa zinatiwa majiBar Maid wengi sio wameingia katika kazi hii kwa kupenda hii ni kazi kama kazi nyingine, nina mifano mingi sana marafiki na ndugu zetu wamepata wenzao kupitia hawa Bar Maid.
Siku mbili hizi nilibahatika kwenda Magomeni Usalama pale kuna wauzaji wa magari ya mkononi. Nikatia timu Bar inaitwa Kisuma. Pale kuna wahudumu wamejaliwa sana wana mizigo haswa. Nikaagizia chakula mimi situmii kilaji. Nikawa nimekaa na jamaa wawili akaja mhudumu akatusikiliza.
Mimi nikaagizia changu nao jamaa wakaagizia chao. Wakampa ofa bibie mhudumu awajoin wakamuuliza unatumia kinywaji gani akasema sijui Windhoek akaambiwa chukua mbili. Alivyotoka kwenda kuhudumia meza nyingine nikasikia njemba zinalia huyu dada sio kabisa sasa hizi bia mbili ni 7000 kwani asingekunywa bia ya kawaida na akabakisha pesa hata ya kuwekeza ndani.
Looh nikajiuliza mhudumu huyu mbona hana akili unachoma 7000 wakati hata angewaambia ninunulie chakula nitakula baadae.
Nikasema acha niangalie meza zingine walizokaa wahudumu unakutana na Windhoek na zile sijui Pri nini sijui ukiuliza bei ni 3500 Bar Maid unachoma pesa hiyo kwa ushamba wa kuiga vya mjini ukitoka hapo hauna hata mia ya mihogo ama utakuta wanalala gheto.
Kisuma Bar ukweli mna wadada wadada ambao hata shekhe kipozeo udenda unamtoka ila badilikeni kunywa maji ya Ilala utaweza hata kupewa chenji.
300k na 3k ni sawa?Viwanja vinatofautiana mkuu, kuna sehemu Heineken inauzwa 3k na kwingine ni 5k
Elfu 60 ?Inaweza kuwa sahihi mkuu, kwa chupa ndogo.
malaya wacchafu sana hapo, k kama dampo la PuguBuguruni kuna baa nyingi sana,lakini kwa nini baa ya SEWA na KIMBOKA ni maarufu sana kuliko baa zote za buguruni?............