Bar Maids wa Kisuma Bar Magomeni njaa kali

Elfu 60 ?
Ni kweli mkuu, mwezi Jana nilikuwa Mwanza nilitembelea sehemu Kama nne hivi Kila watu Wana Bei zao. Mfano hiyo ya 60k bucket wanauza 80k, ile ya Kati bucket wanauza 150k the cask wanauza 180k. Kuna moja nilinunua 250k sehem moja wanaita DV8 shentemba hiyohiyo nikainunua 300k Malaika.
 
Huyo dogo mpumbavu sana, sasa alimkomoa nani zaidi ya kuonesha ulimbukeni wake?
 
Mkuu kama huelewi matumizi ya hivi vifupi achana navyo andika zako tu kibantu. 300K ni laki tatu.
 
Hizo chupa wanakuwa wameziandaa mapema wala sio bia...katika bia nne utakazo mnunulia mbili zinaweza kuwa apple punch imejazwa umo... wajanja wengine mpaka wamejenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…