Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

Mjuaji wa jamii forum... Hakuna kitu usichojua.
 
Bar Ni moja tu... KB Bar kisima Cha burudani iko pale Tegeta pale karibu na Brazil Bar.
 
Mjuaji wa jamii forum... Hakuna kitu usichojua.
Unaona hivyo kwa sababu vitu nisivyovijua sichangii.

Kuna uzi wa vitongoji vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa kachangia sana Mshana Jr. anayeijua mitaa hiyo, mimi sijachangia kwa sababu si mitaa yangu hiyo.

Sasa unataka nisichangie uzi unaojadili habari za mtaa wangu?
 

Sijui Kwa nini JF ukielezea vitu kadha wa kadha unaishia kupewa majina [emoji848]

Negativity all over the forum
 
Sijui Kwa nini JF ukielezea vitu kadha wa kadha unaishia kupewa majina [emoji848]

Negativity all over the forum
Nilikuwa napinga sana ku simplify vitu kwa minajili ya "ni wivu tu".

Lakini sehemu nyingine hamna jinsi. Inaonekana "Ni wivu tu" ina apply.

Mtu anaona uchungu mimi kuijua Mbezi Beach tangu enzi za Nyerere.

Kwani yeye kakatazwa kuandika kwenye uzi wa kijiji chao?
 
Huyo jamaa ni kiboko, hakuna asichojua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anakera saana yaani hakuna hata siku moja kikasemwa kitu Asilete ujuaji wake labda kiwe hakimpi maujiko Kama kile Cha mitaa ya mwananyamala kakaushia akamwacha mshana Jr aangaike na uswazi.
Ulipokuja mjadala wa kishua anasema amejenga mbezi kipindi Cha Nyerere. [emoji1787][emoji1787]
Kweli JF hakuna mtu choka mbaya kila mtu Ni wa kishua.
 
Wewe ile Bar duuh, Brazil imekufa hatari Whats Up imeifunika Brazil kwa mapochopocho yale
KB Bar haifi... Ilikuja China Bar imekufa, ikaja WhatsApp naona inachechemea. Pale Club 71 ya kibo ishajifia.
Lakini KB Bar inarindima daily na vibe Lile lile daily.
 
Endelea kujinadi maana JF kila mtu ana gari na kila mtu kasoma abroad, Mimi tu ndo natokea Ludewa isipokuwa wakina kiranga na wenzie machino.
 
Huyo jamaa ni kiboko, hakuna asichojua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza Hii Avatar Ni ya jamaa naemheshimu na kumkubali saana bw Humble African? Ni wewe au? Ilikuwaje na wewe ukaweka hiyo Avatar? What's the story behind?
I'm curious?
 
Endelea kujinadi maana JF kila mtu ana gari na kila mtu kasoma abroad, Mimi tu ndo natokea Ludewa isipokuwa wakina kiranga na wenzie machino.
Unahisi hayo maneno yatabadili uhalisia?. Endelea kupambana mkuu.
 
Endelea kujinadi maana JF kila mtu ana gari na kila mtu kasoma abroad, Mimi tu ndo natokea Ludewa isipokuwa wakina kiranga na wenzie machino.
Wewe umeona kuwa na gari na kusoma abroad ndiyo kuyapatia maisha?

Unanitafuta nifunguke halafu useme zaidi Kiranga anajitapa siyo?

Wewe kama una roho ndogo mimi nikieleza maisha yangu ya kawaida tu lazima utaona najitapa.

Hayo maisha ya magari na kusoma abroad kwetu nimeyakuta kabla sijazaliwa.

Acha kijiba cha roho.
 
Kumbe
 
Apo Juliana kuna watoto wazuri sana
 
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa
 
Una maisha gani kiranga? Kutwa unashinda JF. Unafanya kazi muda gani kwanza? [emoji1787][emoji1787]
 
Una maisha gani kiranga? Kutwa unashinda JF. Unafanya kazi muda gani kwanza? [emoji1787][emoji1787]
Wewe unataka nikuambie kwamba upeo wa mawazo yako ni kwamba kila mtu anafanya kazi.

Hujui wengine inawezekana hatufanyi kazi, tumewekeza hela inatufanyia kazi.

Wengine ni "Trust Fund Babies".

Do you even know what is a Trust Fund?[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…