Mjuaji wa jamii forum... Hakuna kitu usichojua.Mbezi Beach ilishakongoroka kitambo tu mbona.
Kwa sisi ambao tumeiona Mbezi Beach tangu inajengeka, tumejenga huko tangu enzi za Nyerere, tumeliona hilo Tangi Bovu tangu lilipokuwepo zima, tumepewa mashamba ya kukatiwa na CCM bure huko siku hizo, Mbezi Beach ilishakongoroka miaka 10 iliyopita.
Unaona hivyo kwa sababu vitu nisivyovijua sichangii.Mjuaji wa jamii forum... Hakuna kitu usichojua.
[emoji16][emoji2960]Hilo Jina "Kidimbwi"...hatari sana. Ni kidimbwi cha pombe au ni kitu gani?
Unaona hivyo kwa sababu vitu nisivyovijua sichangii.
Kuna uzi wa vitongoji vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa kachangia sana Mshana Jr. anayeijua mitaa hiyo, mimi sijachangia kwa sababu si mitaa yangu hiyo.
Sasa unataka nisichangie uzi unaojadili habari za mtaa wangu?
Wewe ile Bar duuh, Brazil imekufa hatari Whats Up imeifunika Brazil kwa mapochopocho yaleBar Ni moja tu... KB Bar kisima Cha burudani iko pale Tegeta pale karibu na Brazil Bar.
Huyo jamaa ni kiboko, hakuna asichojua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjuaji wa jamii forum... Hakuna kitu usichojua.
Nilikuwa napinga sana ku simplify vitu kwa minajili ya "ni wivu tu".Sijui Kwa nini JF ukielezea vitu kadha wa kadha unaishia kupewa majina [emoji848]
Negativity all over the forum
@PdiddyMPWA JULIANA KATUWEKENNA N
A LODGE UCHELEWI KUPISHA ANA NA MMKWEO
simza NZIMA INAHAMIA HAPO WA DK KUMI
TANO NUSU SAA LISAA AWAKESHI
WANAWEKA NA ALAM UMEKO...UJAKOJ.....WABUFUSANA
Anakera saana yaani hakuna hata siku moja kikasemwa kitu Asilete ujuaji wake labda kiwe hakimpi maujiko Kama kile Cha mitaa ya mwananyamala kakaushia akamwacha mshana Jr aangaike na uswazi.Huyo jamaa ni kiboko, hakuna asichojua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KB Bar haifi... Ilikuja China Bar imekufa, ikaja WhatsApp naona inachechemea. Pale Club 71 ya kibo ishajifia.Wewe ile Bar duuh, Brazil imekufa hatari Whats Up imeifunika Brazil kwa mapochopocho yale
Endelea kujinadi maana JF kila mtu ana gari na kila mtu kasoma abroad, Mimi tu ndo natokea Ludewa isipokuwa wakina kiranga na wenzie machino.Nilikuwa napinga sana ku simplify vitu kwa minajili ya "ni wivu tu".
Lakini sehemu nyingine hamna jinsi. Inaonekana "Ni wivu tu" ina apply.
Mtu anaona uchungu mimi kuijua Mbezi Beach tangu enzi za Nyerere.
Kwani yeye kakatazwa kuandika kwenye uzi wa kijiji chao?
Kwanza Hii Avatar Ni ya jamaa naemheshimu na kumkubali saana bw Humble African? Ni wewe au? Ilikuwaje na wewe ukaweka hiyo Avatar? What's the story behind?Huyo jamaa ni kiboko, hakuna asichojua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unahisi hayo maneno yatabadili uhalisia?. Endelea kupambana mkuu.Endelea kujinadi maana JF kila mtu ana gari na kila mtu kasoma abroad, Mimi tu ndo natokea Ludewa isipokuwa wakina kiranga na wenzie machino.
Wewe umeona kuwa na gari na kusoma abroad ndiyo kuyapatia maisha?Endelea kujinadi maana JF kila mtu ana gari na kila mtu kasoma abroad, Mimi tu ndo natokea Ludewa isipokuwa wakina kiranga na wenzie machino.
KumbeKwanza naunga mkono kauli ya RC mstaafu wa Mwanza kuwa "watu wanywe bia maana bia ni uchumi" Lakini pamoja na hilo siku za karibuni kumeibuka mfululizo wa bar ukanda wa mbezi beach ya chini hali inayopelekea mtaa kukosa utulivu hii imepelekea hata baadhi ya wasanii kuhama mjini sinza na kufata viwanja Mbezi beach.
Ongezeko la bar linaweza kuleta vitendo vya uhalifu, mapaka, madawa ya kulevya na kuharibu sifa ya mtaa. Bar zenyewe zinajaa watoto wa shule za kata wanyoa viduku na vidangaji vya kutoka uswahilini Kawe. Ukiondoa Oysterbay na Masaki mtaa unaofuatia kwa ustaarabu na makazi yenye utulivu ni Mbezi beach ila tunapoelekea sasa utakuwa mtaa wa fujo. Mwanzoni zilianza kumbi za sherehe, sasa hivi bar nani anajua kitakachofuatia?
Mipango miji tupeni jicho pande hizi kuna mitaa itunzwe na kuheshimiwa kama makazi mfano Mbezi beach, Mikocheni, Mbweni na Ununio na mitaa mingine ibaki ya starehe kama Sinza, kinondoni, Tabata n.k.
Baadhi ya bar hizo ni:
Rainbow
Juliana
Kidimbwi
Na nyingine nyingi siwezi taja zote wino utaisha.
Apo Juliana kuna watoto wazuri sanaUsiwe na wasiwasi sana Baa ambazo zitabaki muda mrefu ni hizo Juliana, Nyambizi, Amsterdam,Kidimbwi . Hilo eneo la mbezi ya chini maarufu kwa zena kawawa sasa hivi ndio eneo hot kwa starehe za usiku. Wale dada popobawa wasiolala wanatoka tabata kuja kujiuza huko juliana, kidimbwi na hata mawela.
Juzi kulitokea ujambazi hapo Juliana akuwawa Jimson Kibiki na hao wezi walimpora maeneo ya juliana.
Baa hizi pia zinaleta mkusanyiko wa watu wasio wema, madalali wa sinza wote wamehamia juliana wanashinda hapo na vijana wa sinza wanajulikana wao ni pesa mbele deal yoyote watapiga. Baa hizi zinakwenda kuharibu ule utulivu uliokuwepo.
Shopping malls zinazoibuka pande hizo ni hatari pia.
Aliyeshiba hamjui mwenye njaaSio njaa yenu ndio imewafanya kila nyumba muweke fremu zinazogeuka bar? Hata Masaki nyumba za waswahili hasa waliokopeshwa na serikali ndio zimejaa fremu na kuleta vurugu. Mimi nakaa uswahili ila nimegoma kabisa kuweka hizo fremu kwasababu sitaki vurugu nje kwangu.
Watu wa mbezi beach,oysterbay wasingeendekeza njaa na kufungua vifremu kusingekuwa na vurugu huko, wakazi wa uswazi wanaokuja kunywa bia huko mnawaonea tu.
Una maisha gani kiranga? Kutwa unashinda JF. Unafanya kazi muda gani kwanza? [emoji1787][emoji1787]Wewe umeona kuwa na gari na kusoma abroad ndiyo kuyapatia maisha?
Unanitafuta nifunguke halafu useme zaidi Kiranga anajitapa siyo?
Wewe kama una roho ndogo mimi nikieleza maisha yangu ya kawaida tu lazima utaona najitapa.
Hayo maisha ya magari na kusoma abroad kwetu nimeyakuta kabla sijazaliwa.
Acha kijiba cha roho.
Wewe unataka nikuambie kwamba upeo wa mawazo yako ni kwamba kila mtu anafanya kazi.Una maisha gani kiranga? Kutwa unashinda JF. Unafanya kazi muda gani kwanza? [emoji1787][emoji1787]