Bara la Afrika kugombewa kama "kigoli"

Bara la Afrika kugombewa kama "kigoli"

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
o.jpeg

Mikutano ya Viongozi wetu wapendwa , wazalendo, wamekuwa wakizunguka duniani kututafutia maendeleo.
Kumekuwa na mikutano ya nchi za ulaya na Africa, Hapa chini nimeweka nchi zilizoita wakuu wa nchi za afrika.
Mwezi huu wa 9 mwaka 2024 inasemekana wapo CHINA , kuimarisha ushirikiano.

France -------Africa
Türkiye -------Africa
China -------Africa ,
Russia------- Africa
Japan------- Africa
South------- Korea Africa
Italy--------- Africa
Qatar-------- Africa
USA---------- Africa


Viongozi wa Africa wapongezwe, wanafanya kazi kutafuta maendeleo, walichelewa sana, huu ndio wakati.

NB: Soma kitabu cha WALTER RODNEY "How Europe Underdevelop Africa"
 
Kimsingi, maendeleo ya msingi kabisa yako hapa hapa. Ni vile tu tayari tumeshakabidhi rasimilai nyeti kwa maendeleo yetu kwa wageni na kwa namna yale mamikataba yalivyo, ni ngumu kuchomoka. Lakini tungeweza kutumia our own resources kujenga nchi (miundombinu), kuimarisha upatikanaji na ubora wa huduma za afya na hali ya maisha ya watu wetu kwa ujumla.

Hivi hakuna sheria yoyote ya kuzuia further exprolations ya resources hasa hasa madini adimu kwa ajili ya manufaa ya vizazi vijavyo? Au wajukuu zetu watajijua wenyewe??​
 
Kimsingi, maendeleo ya msingi kabisa yako hapa hapa. Ni vile tu tayari tumeshakabidhi rasimilai nyeti kwa maendeleo yetu kwa wageni na kwa namna yale mamikataba yalivyo, ni ngumu kuchomoka. Lakini tungeweza kutumia our own resources kujenga nchi (miundombinu), kuimarisha upatikanaji na ubora wa huduma za afya na hali ya maisha ya watu wetu kwa ujumla.

Hivi hakuna sheria yoyote ya kuzuia further exprolations ya resources hasa hasa madini adimu kwa ajili ya manufaa ya vizazi vijavyo? Au wajukuu zetu watajijua wenyewe??​
Wajukuu zetu watajijua wenyewe!
 
View attachment 3088561

Mikutano ya Viongozi wetu wapendwa , wazalendo, wamekuwa wakizunguka duniani kututafutia maendeleo.
Kumekuwa na mikutano ya nchi za ulaya na Africa, Hapa chini nimeweka nchi zilizoita wakuu wa nchi za afrika.
Mwezi huu wa 9 mwaka 2024 inasemekana wapo CHINA , kuimarisha ushirikiano.

France -------Africa
Türkiye -------Africa
China -------Africa ,
Russia------- Africa
Japan------- Africa
South------- Korea Africa
Italy------- Africa
Qatar------- Africa
USA------- Africa


Viongozi wa Africa wapongezwe, wanafanya kazi kutafuta maendeleo , walichelewa sana, hu ndio wakati.
Nani kawachelewesha
 
Back
Top Bottom