Bara la Afrika kugombewa kama "kigoli"

Bara la Afrika kugombewa kama "kigoli"

Kikubwa ni Ardhi cha pili ni kutafuta malighafi za Viwanda vyako, cha tatu ni kuwapatia watu wao ajira, mfano china wanakuja na zaidi ya asilimia 90% ni watu wao, baadae , utakuja utawala wao au tamaduni zao nk Mwisho watatuletea vita tumalizane Sisi wenyewe. Na wao fursa ya kututawala vizuri kisiasa na kiuchumi.
Ujenzi 90% tunawapa wachina, tunawalipa dola, wanaweka kwenye akaunti zao za china.

Sasa, tatizo ni laana ya Afrika au ni nini?
 
Ujenzi 90% tunawapa wachina, tunawalipa dola, wanaweka kwenye akaunti zao za china.

Sasa, tatizo ni laana ya Afrika au ni nini?
Tatizo linaweza kuwa sio Hilo , tatizo tunapewa chambo , ambacho Mwisho wa siku faida kubwa inaenda huko. Mkataba mzuri ni wote mpate. Lakini kwenye hii wao ndio wanapaka zaidi , Kwa kuwapatia watu wao KAZI zenye tija Sisi kuambulia makombo.
 
Tatizo linaweza kuwa sio Hilo , tatizo tunapewa chambo , ambacho Mwisho wa siku faida kubwa inaenda huko. Mkataba mzuri ni wote mpate. Lakini kwenye hii wao ndio wanapaka zaidi , Kwa kuwapatia watu wao KAZI zenye tija Sisi kuambulia makombo.
Sasa unafikiri tunaweza kutoka huko?
 
Sasa unafikiri tunaweza kutoka huko?
Tukiwa na uongozi Boratutaweza kutoka , lakini tukiwa tuna uongozi huu waku export hata kazi na faida kwenye vitu tunavyoweza kufanya ni wazi hatuwezi kutoka . Mfano ni la Bandari ambalo unajua unatakiwa kuwa na vifaa vya kutosha za kuinua ma container wewe hufanyi hivyo, unatakiwa kuwa na eneo la kuhifadhi ma container na tumetengeneza kwala lakini umekazana Bandari kavu za naniliu. Pili kuuza malighafi badala ya bidhaa yenye thamani zaidi. Kuchelewesha miradi, mfano SGR na mwendokasi Kasi .
 
Tukiwa na uongozi Boratutaweza kutoka , lakini tukiwa tuna uongozi huu waku export hata kazi na faida kwenye vitu tunavyoweza kufanya ni wazi hatuwezi kutoka . Mfano ni la Bandari ambalo unajua unatakiwa kuwa na vifaa vya kutosha za kuinua ma container wewe hufanyi hivyo, unatakiwa kuwa na eneo la kuhifadhi ma container na tumetengeneza kwala lakini umekazana Bandari kavu za naniliu. Pili kuuza malighafi badala ya bidhaa yenye thamani zaidi. Kuchelewesha miradi, mfano SGR na mwendokasi Kasi .
Ili tupate uongozi bora tufanyeje?

Tuombe Mungu atatupatia?
 
Back
Top Bottom