Bara la Afrika kugombewa kama "kigoli"

Hawajaanza Leo kugombea Toka enzi za kabla ya Berlin Conference na hawajamaliza Mali hapa Afrika ndio kwanza Bado sie ni vigoli.

Wacha watifuane ,mwenye better deals ndio ata th win
 
Hawajaanza Leo kugombea Toka enzi za kabla ya Berlin Conference na hawajamaliza Mali hapa Afrika ndio kwanza Bado sie ni vigoli.

Wacha watifuane ,mwenye better deals ndio ata th win
Wakituachia mashimo ndio tunakuwa "malapu-lapu?
 
Nilimuambia dogo mmoja kuwa China amekusanya kodi na fedha nchini kwake kwa faida yake sio kwa afrika.
Kamekuja na ujinga mwingii eti ni Exhange.

Hapo wameenda mnadani kuuza rasilimali zetu.
Wachina wana upendo sana!
 
Pamoja na ukorofi wake na utekaji lakini jiwe aliwakazia sana mabeberu kwa hili.
Jiwe yeye alikua anataka 50/50, na Mabeberu wao hawataki hiyo 50, wanataka 95 alafu 5 ndiyo wanakupa wwe!! Kweli Jiwe atakumbukwa kwa mazuri yake na siyo mabaya.yake!!
 
Nilimuambia dogo mmoja kuwa China amekusanya kodi na fedha nchini kwake kwa faida yake sio kwa afrika.
Kamekuja na ujinga mwingii eti ni Exhange.

Hapo wameenda mnadani kuuza rasilimali zetu.
Wanapigwa za uso eti 'thank you so much and God bless you' ukigeuka anakung'ong'a na mbele ya thank you wanaongeza wenyewe bila shuti, na, your 'excellence' mtusamehe ila ukweli ndiyo huo
 
Urusi na Ukraine wanailisha Africa
Uko sahihi. Ndio maana nimesema lenye uwezo wa kulisha dunia ila sio kwamba linalisha. Baadae hao wanaweza kulisha Dunia kupitia bara la Africa
 
Kimsingi nchi zetu za Africa zinauzwa kupitia mikataba kama enzi za ukoloni. Wakijifanya kujisahaulisha tu mikataba inaenda mahakama za kimataifa chap.
Unajua kibaya zaidi, unlike zamani, waafrika wa sasa wameelimika. Lakin hata hivyo elimu hizo haziwasaidii kujitegemea
Bado mkoloni analumbatiwa na hata baadhinya viongozi kuwa chawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…