Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Na ujinga ulipo viongozi wanaangalia maslahi yao binafsi kuliko ya TaifaUnajua kibaya zaidi, unlike zamani, waafrika wa sasa wameelimika. Lakin hata hivyo elimu hizo haziwasaidii kujitegemea
Bado mkoloni analumbatiwa na hata baadhinya viongozi kuwa chawa kabisa
Kuna mambo yanakasirisha sana aisee.Halafu ukiuliza kuhusu tozo unaambiwa uende kigoma mwisho wa reli
Hivi mvp wa ligi yetu ya ndani msimu uliopita anatako nchi gani and then connect the dotsKuna mambo yanakasirisha sana aisee.
Acha uongo, Masoud Kipanya kagundua gari zuri lingefaa mawaziri wetu ila hawataki kutoa nakala nyingi ili tuachane na ma -vx3. Low capital
4. Taxation
5. Low technology
Hawataki kutoa nakala nyingi kwasababu ya ;Acha uongo, Masoud Kipanya kagundua gari zuri lingefaa mawaziri wetu ila hawataki kutoa nakala nyingi ili tuachane na ma -vx
Nadhani low technologyHawataki kutoa nakala nyingi kwasababu ya ;
1. Low capital
2. Taxation
3. Low technology
Yaan mule mule hizi factor zimetupa vyeti mkuu
Hebu elezea kidogo?Hapo mkoloni mwenye unafuu kidogo ni China tu. Wengine ni wanyonyaji
Wanasahau solution ya cchangamoto nyingi ziko kwenye vichwa vya wanchi, wao bize. Kuwateka na kuwateka na kuwauwa alafu wanaenda ulaya kuomba omba
Mikutano ya Viongozi wetu wapendwa , wazalendo, wamekuwa wakizunguka duniani kututafutia maendeleo.
Kumekuwa na mikutano ya nchi za ulaya na Africa, Hapa chini nimeweka nchi zilizoita wakuu wa nchi za afrika.
Mwezi huu wa 9 mwaka 2024 inasemekana wapo CHINA , kuimarisha ushirikiano.
France -------Africa
Türkiye -------Africa
China -------Africa ,
Russia------- Africa
Japan------- Africa
South------- Korea Africa
Italy------- Africa
Qatar------- Africa
USA------- Africa
Viongozi wa Africa wapongezwe, wanafanya kazi kutafuta maendeleo, walichelewa sana, hu ndio wakati.
Inasemekana wananchi wenyewe wapo boze na "Simba na Yanga' huku wiki nzima wakijadili suala la Diamond kuwa tajiri namba moja duniani.Wanasahau solution ya cchangamoto nyingi ziko kwenye vichwa vya wanchi, wao bize. Kuwateka na kuwateka na kuwauwa alafu wanaenda ulaya kuomba omba
Inabidi viongozi wetu wafanye "radical change" - ukiiangalia rasilimali watu na rasilimali asilia na hali ya maisha ya Waafrika hakuna uwiano.
Mikutano ya Viongozi wetu wapendwa , wazalendo, wamekuwa wakizunguka duniani kututafutia maendeleo.
Kumekuwa na mikutano ya nchi za ulaya na Africa, Hapa chini nimeweka nchi zilizoita wakuu wa nchi za afrika.
Mwezi huu wa 9 mwaka 2024 inasemekana wapo CHINA , kuimarisha ushirikiano.
France -------Africa
Türkiye -------Africa
China -------Africa ,
Russia------- Africa
Japan------- Africa
South------- Korea Africa
Italy------- Africa
Qatar------- Africa
USA------- Africa
Viongozi wa Africa wapongezwe, wanafanya kazi kutafuta maendeleo, walichelewa sana, hu ndio wakati.
Mtu ambaye amefika miaka zaidi ya 65 una amini atabadilika?Inabidi viongozi wetu wafanye "radical change" - ukiiangalia rasilimali watu na rasilimali za asilia na hali ya maisha ya watu hakuna uwiano.
Mikutano ya Viongozi wetu wapendwa , wazalendo, wamekuwa wakizunguka duniani kututafutia maendeleo.
Kumekuwa na mikutano ya nchi za ulaya na Africa, Hapa chini nimeweka nchi zilizoita wakuu wa nchi za afrika.
Mwezi huu wa 9 mwaka 2024 inasemekana wapo CHINA , kuimarisha ushirikiano.
France -------Africa
Türkiye -------Africa
China -------Africa ,
Russia------- Africa
Japan------- Africa
South------- Korea Africa
Italy------- Africa
Qatar------- Africa
USA------- Africa
Viongozi wa Africa wapongezwe, wanafanya kazi kutafuta maendeleo, walichelewa sana, hu ndio wakati.
Ujinga na ubinafsi utauweka wapi ili hayo yawezekane?.umaskini wetu sio wa pesa wala rasilimali bali ujinga na ubinafsi ndo chanzo.Kimsingi, maendeleo ya msingi kabisa yako hapa hapa. Ni vile tu tayari tumeshakabidhi rasimilai nyeti kwa maendeleo yetu kwa wageni na kwa namna yale mamikataba yalivyo, ni ngumu kuchomoka. Lakini tungeweza kutumia our own resources kujenga nchi (miundombinu), kuimarisha upatikanaji na ubora wa huduma za afya na hali ya maisha ya watu wetu kwa ujumla.
Hivi hakuna sheria yoyote ya kuzuia further exprolations ya resources hasa hasa madini adimu kwa ajili ya manufaa ya vizazi vijavyo? Au wajukuu zetu watajijua wenyewe??
Unafuu wake ni nini?Hapo mkoloni mwenye unafuu kidogo ni China tu. Wengine ni wanyonyaji
Wachina wameleta maendeleo makubwa kwa nchi za Afrika hasa katika sekta ya miundombinu na biashara.Unafuu wake ni nini?