Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
-
- #81
Ujenzi 90% tunawapa wachina, tunawalipa dola, wanaweka kwenye akaunti zao za china.Kikubwa ni Ardhi cha pili ni kutafuta malighafi za Viwanda vyako, cha tatu ni kuwapatia watu wao ajira, mfano china wanakuja na zaidi ya asilimia 90% ni watu wao, baadae , utakuja utawala wao au tamaduni zao nk Mwisho watatuletea vita tumalizane Sisi wenyewe. Na wao fursa ya kututawala vizuri kisiasa na kiuchumi.
Tatizo linaweza kuwa sio Hilo , tatizo tunapewa chambo , ambacho Mwisho wa siku faida kubwa inaenda huko. Mkataba mzuri ni wote mpate. Lakini kwenye hii wao ndio wanapaka zaidi , Kwa kuwapatia watu wao KAZI zenye tija Sisi kuambulia makombo.Ujenzi 90% tunawapa wachina, tunawalipa dola, wanaweka kwenye akaunti zao za china.
Sasa, tatizo ni laana ya Afrika au ni nini?
Sasa unafikiri tunaweza kutoka huko?Tatizo linaweza kuwa sio Hilo , tatizo tunapewa chambo , ambacho Mwisho wa siku faida kubwa inaenda huko. Mkataba mzuri ni wote mpate. Lakini kwenye hii wao ndio wanapaka zaidi , Kwa kuwapatia watu wao KAZI zenye tija Sisi kuambulia makombo.
Aah kudadeki Africa ndio rangi za majinga low IQAKILI[ Rasilimali pekee ya umuhimu kushinda zote ]
IQ level hiyo hapo, haishangazi View attachment 3088579
Tukiwa na uongozi Boratutaweza kutoka , lakini tukiwa tuna uongozi huu waku export hata kazi na faida kwenye vitu tunavyoweza kufanya ni wazi hatuwezi kutoka . Mfano ni la Bandari ambalo unajua unatakiwa kuwa na vifaa vya kutosha za kuinua ma container wewe hufanyi hivyo, unatakiwa kuwa na eneo la kuhifadhi ma container na tumetengeneza kwala lakini umekazana Bandari kavu za naniliu. Pili kuuza malighafi badala ya bidhaa yenye thamani zaidi. Kuchelewesha miradi, mfano SGR na mwendokasi Kasi .Sasa unafikiri tunaweza kutoka huko?
Ili tupate uongozi bora tufanyeje?Tukiwa na uongozi Boratutaweza kutoka , lakini tukiwa tuna uongozi huu waku export hata kazi na faida kwenye vitu tunavyoweza kufanya ni wazi hatuwezi kutoka . Mfano ni la Bandari ambalo unajua unatakiwa kuwa na vifaa vya kutosha za kuinua ma container wewe hufanyi hivyo, unatakiwa kuwa na eneo la kuhifadhi ma container na tumetengeneza kwala lakini umekazana Bandari kavu za naniliu. Pili kuuza malighafi badala ya bidhaa yenye thamani zaidi. Kuchelewesha miradi, mfano SGR na mwendokasi Kasi .
5. Hostile neighboring societies3. Poor employment policy
4. Lack of jobs
Ukijaribu tu kuvunja mikataba unapotezwa!!Kaka, wewe ndio wale mnapaswa kupewa pHD ya heshma.
Yani ,Mungu sometimes hawezi kutusaidia kutunasua huku?
Ukivunja mkataba unapelekwa mahakamani kule Canada?Ukijaribu tu kuvunja mikataba unapotezwa!!
Jamani, si wanatuletea mikopo ?Hatuna Viongozi Zaidi Walamba Viatu Tu Hao