Bara la Afrika kuja na Sarafu yake itakayoitwa Afro au Afric (Afro currency au Afric currency)

Bara la Afrika kuja na Sarafu yake itakayoitwa Afro au Afric (Afro currency au Afric currency)

Hili sio swala la viongozi ni swala la sisi wenyewe wananchi, kiongozi mwenyewe anatoka kwa wananchi... Kiongozi atakuwa na nguvu endapo tu wananchi wasipokuwa na kauli mmoja... Hakuna nchi ambayo kiongozi wake anaweza kuwapelekesha wananchi endapo wakiwa na sauti moja... Utofauti wetu ndio unapekelekea inakuwa rahisi kupelekeshwa, kwa sababu wengine wanakuwa wana support ndio na wengine wanasapoti hapana sasa hapo ndipo Kiongozi wananchi anatumia mwanya kuwaangamiza wale wasioendana naye, ila kama wote mna kauli mmoja, kiongozi anakuwa mchache sana
Mkuu nadhani hilo linawezekana kwa viongozi wa mabara mengine ila siyo hili bara letu ambalo viongozi wake wengi ni mamluki, viongozi wengi Africa ni vibaraka na watumwa wa wazungu yani kwao mambo mengi yanayohusu nchi zao kufanyika ni hadi mzungu aseme yes na akisema no basi hayafanyiki, mfano mzuri tu ni hili swala la ushoga pamoja na waafrika wengi kupinga na kuwa na sauti moja ila ni viongozi wachache kama kina Museveni ndio walifanyia kazi na wakaanza kupewa vitisho ila wengine wameufyata
 
Tanzania yenyewe imeshindwa kuendesha bandari zake, kusimamia huduma ya mawasiliano (TTCL) na kutoa huduma ya ndege. Itaweza kuwekeza Kenya?
Ni jibu hili swali kwanza.
Una huduma yoyote unayotoa mtandaoni kwa mataifa mbalimbali?
Afadhali hata umenisaidia kumjibu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ndoto ni nzuri, tatizo kuna kuingiliwa sana, na, mataifa makubwa ya, magharibi ili hii mission isifsnikiwe,
Kama tatizo LA Niger, tunashindwa kusimama kama wa Afrika kutatua, sasa hv wa Afrika wengine wana unga mkono msimamo wa Ufaransa, kutaka Raisi aliyepinduliwa arudishwe madarakani, wengine wapo tayari kusimama na niger kupambana na wengine watakao ivamia,
Hatuwezi kwenda hv, Mambo ya Afrika inabidi yasimamiwe na Wa Afrika tu,,
Angalia Ulaya ilivyosimama pamoja kwenye swala LA ukraine,
 
Katafute maisha usilete makasiriko kwenye post za watu... Stress zako za maisha peleka hiko
Sidhani kama unafahamu hata maana halisi ya neno stress -vis a vis emotion nafikiri umekariri tu kwa sababu uko kwenye moja ya nchi zenye watu wenye IQ ndogo sana duniani.
 
Back
Top Bottom