Barabara inayojengwa kibada-mwasonga wananchi wanapogwa na wakandarasi

Barabara inayojengwa kibada-mwasonga wananchi wanapogwa na wakandarasi

mackj

Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
84
Reaction score
98
Barabara ya kibada-mwasonga inayoendelea na ujenzi mkandarasi hajaweka barabara ya mchepuo (diversion) kitu kinachopelekea watumishi wanaojenga barabara hiyo kuwazuia watumiaji wa barabara kutopita mpaka wamalize kazi yao kitu amabacho kinazua usumbufu mkubwa hivyo watumiaji wa barabara wakiwemo bodaboda kulazimika kutafuta njia ya upenyo iliwawaishe abiria wao nkandarasi na wafanyakazi wake wanawakimbiza na kuwachapa fimbo pamoja na kutoa funguo za pikipiki tunaomba Tanroad wachukue hatua tofauti na hapo wananchi watachukua hatua wenyewe sema file ni kubwa ningetuma video
 

Attachments

  • Screenshot_20241003-110322.png
    Screenshot_20241003-110322.png
    900.7 KB · Views: 17
  • Screenshot_20241003-110255.png
    Screenshot_20241003-110255.png
    895.8 KB · Views: 18
  • Screenshot_20241003-110322.png
    Screenshot_20241003-110322.png
    900.7 KB · Views: 18
Barabara ya kibada-mwasonga inayoendelea na ujenzi mkandarasi hajaweka barabara ya mchepuo (diversion) kitu kinachopelekea watumishi wanaojenga barabara hiyo kuwazuia watumiaji wa barabara kutopita mpaka wamalize kazi yao kitu amabacho kinazua usumbufu mkubwa hivyo watumiaji wa barabara wakiwemo bodaboda kulazimika kutafuta njia ya upenyo iliwawaishe abiria wao nkandarasi na wafanyakazi wake wanawakimbiza na kuwachapa fimbo pamoja na kutoa funguo za pikipiki tunaomba Tanroad wachukue hatua tofauti na hapo wananchi watachukua hatua wenyewe sema file ni kubwa ningetuma video
Ujenz umeanza lini kaka? Alhamdulillah nitaanza na mm ujenzi kiwanja changu.

Naomba picha zinazoonekana vizur kama hutojali mkuu
 
Barabara ya kibada-mwasonga inayoendelea na ujenzi mkandarasi hajaweka barabara ya mchepuo (diversion) kitu kinachopelekea watumishi wanaojenga barabara hiyo kuwazuia watumiaji wa barabara kutopita mpaka wamalize kazi yao kitu amabacho kinazua usumbufu mkubwa hivyo watumiaji wa barabara wakiwemo bodaboda kulazimika kutafuta njia ya upenyo iliwawaishe abiria wao nkandarasi na wafanyakazi wake wanawakimbiza na kuwachapa fimbo pamoja na kutoa funguo za pikipiki tunaomba Tanroad wachukue hatua tofauti na hapo wananchi watachukua hatua wenyewe sema file ni kubwa ningetuma video
Hii barabara ikikamilika itakuwa poa sana tukajenge viwanja vyetu tulivyo vitelekeza
 
Barabara ya kibada-mwasonga inayoendelea na ujenzi mkandarasi hajaweka barabara ya mchepuo (diversion) kitu kinachopelekea watumishi wanaojenga barabara hiyo kuwazuia watumiaji wa barabara kutopita mpaka wamalize kazi yao kitu amabacho kinazua usumbufu mkubwa hivyo watumiaji wa barabara wakiwemo bodaboda kulazimika kutafuta njia ya upenyo iliwawaishe abiria wao nkandarasi na wafanyakazi wake wanawakimbiza na kuwachapa fimbo pamoja na kutoa funguo za pikipiki tunaomba Tanroad wachukue hatua tofauti na hapo wananchi watachukua hatua wenyewe sema file ni kubwa ningetuma video
Ni mkoa na wilaya gani
 
Kule jamaa wa maviwanda wamechukua maeneo makubwa na kuyaacha mapori kuendelea sio leo japo lami itarahisisha usafiri
Usafiri mkuu unatosha. Maendeleo yanaweza kuletwa na variables kama hizi. Mana umeme kule umefika shida unatokaje sehem moja kwenda nyingine? Wakituwekea barabara pale nauli automatic itakuwa regulated na itapoa tu kila mtu atashawishika kujenga kule mana wengi wetu ni toiler. Idad ya viwanda kule itatutosha kumaliza kila kitu kule kule
 
Usafiri mkuu unatosha. Maendeleo yanaweza kuletwa na variables kama hizi. Mana umeme kule umefika shida unatokaje sehem moja kwenda nyingine? Wakituwekea barabara pale nauli automatic itakuwa regulated na itapoa tu kila mtu atashawishika kujenga kule mana wengi wetu ni toiler. Idad ya viwanda kule itatutosha kumaliza kila kitu kule kule
Ni kweli mkuu unachosema ila maeneo mengi yenye viwanda yanakuwaga na slum nyingi ( ujenzi wa vibanda na mahame kiholela) mfano keko, vingunguti nk
 
Barabara ya kibada-mwasonga inayoendelea na ujenzi mkandarasi hajaweka barabara ya mchepuo (diversion) kitu kinachopelekea watumishi wanaojenga barabara hiyo kuwazuia watumiaji wa barabara kutopita mpaka wamalize kazi yao kitu amabacho kinazua usumbufu mkubwa hivyo watumiaji wa barabara wakiwemo bodaboda kulazimika kutafuta njia ya upenyo iliwawaishe abiria wao nkandarasi na wafanyakazi wake wanawakimbiza na kuwachapa fimbo pamoja na kutoa funguo za pikipiki tunaomba Tanroad wachukue hatua tofauti na hapo wananchi watachukua hatua wenyewe sema file ni kubwa ningetuma video

Hii barabara itavutq wengi kule,maana watu wamenunuq viwanja kule ila barabara ndiyo ilikuwa ni ishu kubwa sana.kulikuwa mbali sana kutoka kibada.

sijajua barqbara inayojengwa itaishia maeneo gani kwa awamu hii,hata ikifika Dar es Salaam Zuu siyo Mbaya
 
Ni kweli mkuu unachosema ila maeneo mengi yenye viwanda yanakuwaga na slum nyingi ( ujenzi wa vibanda na mahame kiholela) mfano keko, vingunguti nk
Slum inazalishwa na mipango miji, standard iliyotumika kuhalalisha mauziano ya maeneo baina ya watu. Kule labda magodani ndo kunauzwa kiholela. Lakini mwasonga inauzwa sana na makampuni ya real estate so inapangwa vizuri
 
Hii barabara itavutq wengi kule,maana watu wamenunuq viwanja kule ila barabara ndiyo ilikuwa ni ishu kubwa sana.kulikuwa mbali sana kutoka kibada.

sijajua barqbara inayojengwa itaishia maeneo gani kwa awamu hii,hata ikifika Dar es Salaam Zuu siyo Mbaya
Si nimesikia inaunga mpaka kimbiji. Mana mwasonga ina watu wengi asee
 
Slum inazalishwa na mipango miji, standard iliyotumika kuhalalisha mauziano ya maeneo baina ya watu. Kule labda magodani ndo kunauzwa kiholela. Lakini mwasonga inauzwa sana na makampuni ya real estate so inapangwa vizuri
Nina kiplot changu kule huwa napaangalia kwa macho mawili ngoja tuone

Maana wafanyakazi wa viwandani ndio wanaojengaga mahema ya kulala na kuamka tu kwenda kazini unakuta mji mzima nyumba za maana ni za kuhesabu
 
Nina kiplot changu kule huwa napaangalia kwa macho mawili ngoja tuone

Maana wafanyakazi wa viwandani ndio wanaojengaga mahema ya kulala na kuamka tu kwenda kazini unakuta mji mzima nyumba za maana ni za kuhesabu
Hilo la aina ya makazi ni socially defined. Kipato ndo factor kubwa... umeiona mikocheni? Ina industrial area lakin haina slums
 
Hilo la aina ya makazi ni socially defined. Kipato ndo factor kubwa... umeiona mikocheni? Ina industrial area lakin haina slums
Mikocheni ina viwanda vichache sanaaaa mkuu halafu ni KM chache kutokea baharini na imepakana na maeneo yenye hadhi hivyo automatically ni ngumu kuwa na slums. Kingine viwanja vingi vya mikocheni vilipimwa na serikali enzi hizo na vikubwa sasa makampuni ya real estate mengi makanjanja tu wanajali kupata hela na ndo hapo ndo unakuta wameweka njia nyembamba za mita kiduchu sasa mikocheni kuna njia za mita kiduchu?
Kingine angalia hadhi ya wakaaz wa mikocheni wengi sana wana hadhi kubwa na ni profile ambazo huwezi kuta huko kwengine.
 
Mikocheni ina viwanda vichache sanaaaa mkuu halafu ni KM chache kutokea baharini na imepakana na maeneo yenye hadhi hivyo automatically ni ngumu kuwa na slums. Kingine viwanja vingi vya mikocheni vilipimwa na serikali enzi hizo na vikubwa sasa makampuni ya real estate mengi makanjanja tu wanajali kupata hela na ndo hapo ndo unakuta wameweka njia nyembamba za mita kiduchu sasa mikocheni kuna njia za mita kiduchu?
Kingine angalia hadhi ya wakaaz wa mikocheni wengi sana wana hadhi kubwa na ni profile ambazo huwezi kuta huko kwengine.
That's a very tiny fact! Uchache wa viwanda na kukosekana slums haiwez kuwa sayansi nzur ya kuiweka mezani. Ukiangalia hili swala la industrial areas kufata barabara kuu nne za jiji utagundua kuwa maeneo yenye viwanda hayna uhusiano na uwepo wa slums.

Hadhi, makazi, aina ya maisha ni sayansi ya kipato. Maeneo yanayouzwa na miji au makampuni ya viwanja hayatoi slums wala shunty Town! Umeiona kinondoni? Umeiona sinza? Ile sio urban slums lakin pia sio mazingira yenye hadhi ila imepangika mana chochoro hazioneshi kuweka michoro ya kambakamba zilizojinyonga ukiangalia katka ramani kutokea juu
 
Mikocheni ina viwanda vichache sanaaaa mkuu halafu ni KM chache kutokea baharini na imepakana na maeneo yenye hadhi hivyo automatically ni ngumu kuwa na slums. Kingine viwanja vingi vya mikocheni vilipimwa na serikali enzi hizo na vikubwa sasa makampuni ya real estate mengi makanjanja tu wanajali kupata hela na ndo hapo ndo unakuta wameweka njia nyembamba za mita kiduchu sasa mikocheni kuna njia za mita kiduchu?
Kingine angalia hadhi ya wakaaz wa mikocheni wengi sana wana hadhi kubwa na ni profile ambazo huwezi kuta huko kwengine.
Umeiona ile chang'ombe? Ina maeneo ya viwanda kutokea city center.. nyerere road mpaka inapoanza vingunguti na haina slums. Slums zinafatilia mkakat wa uuzwaji wa maeneo uliopitishwa n mamlaka. Ukiangalia barabara hiz kubwa nne za dar
1. Pugu /Nyerere Road
2. Bagamoyo Road
3. Kilwa Road
4. Morogoro road

Maendeleo yote yamefata hiz barabara kwa sabab ya mpango wa CBD wa mjerumani 1904. Slums ziliibuka baada ya kuwekwa kwa class ya maeneo. Low density areas na high density areas.

Na high density areas zote zinaanzia kilometer kadhaa kutokea City center! Angalia Ilala ile haina slums lakin umeona ilivyo na idadi ya watu inayopatikana pale? Ina tofauti gani na kipawa?
 
That's a very tiny fact! Uchache wa viwanda na kukosekana slums haiwez kuwa sayansi nzur ya kuiweka mezani. Ukiangalia hili swala la industrial areas kufata barabara kuu nne za jiji utagundua kuwa maeneo yenye viwanda hayna uhusiano na uwepo wa slums.

Hadhi, makazi, aina ya maisha ni sayansi ya kipato. Maeneo yanayouzwa na miji au makampuni ya viwanja hayatoi slums wala shunty Town! Umeiona kinondoni? Umeiona sinza? Ile sio urban slums lakin pia sio mazingira yenye hadhi ila imepangika mana chochoro hazioneshi kuweka michoro ya kambakamba zilizojinyonga ukiangalia katka ramani kutokea juu
Hiyo Mwasonga ya kuisogelea Mikocheni kamwe siioni anyway wakati msema kweli hiyo barabara ikjengwa sanasana Mwasonga hiyo kwa hadhi itakuwa ni madale au goba nyingine, Angalau ungeniambia maeneo kama kibugumo labda angalau napo japo kwa mbali.
 
Back
Top Bottom