masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Mwenge ndio mungu wao usiuchukulie poa.View attachment 2343827View attachment 2343828
Barabara Kuu ya Tunduma-Dar ea salaam imefungwa.
Maso nipo hapa kijiji cha Viwenge Iringa.
Mpaka sasa kuna magari zaidi ya elfu moja yanasubiri kupita.
Tunajua hii barabara kuu ni biashara kubwa na tunachosikia eti kuna shughuli ya Mwenge kijijini.
Hii ni absurdity at its best.
Unafunga biashara ya Zambia, Congo, Malawi na mikoa yote ya Nyanda za juu Kusini ili shughuli ya Mwenge ifanyike.
Mimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge.
Waziri wa Ujenzi na CCM ni vyema wajue jinsi hili linavyo hujumu biashara na shughuli za uchumi.
Umeongea kiroho sana...Mwenge ndio mungu wao usiuchukulie poa.
Ktk ulimwengu wa roho unaona kama ni ujinga lakini kuna jambo zito hapo
Kazi ipo
Mwenge ni moja ya alama za taifa bilashaka
Vumilia tu haina namna
Kupoteza pesa na muda tu. Mwenge hauna faida yoyote kitaifaMwenge ni moja ya alama za taifa bilashaka
Vumilia tu haina namna
Mungu wa ccmMwenge ni moja ya alama za taifa bilashaka
Vumilia tu haina namna
Mimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge.View attachment 2343827View attachment 2343828
Barabara Kuu ya Tunduma-Dar ea salaam imefungwa.
Maso nipo hapa kijiji cha Viwenge Iringa.
Mpaka sasa kuna magari zaidi ya elfu moja yanasubiri kupita.
Tunajua hii barabara kuu ni biashara kubwa na tunachosikia eti kuna shughuli ya Mwenge kijijini.
Hii ni absurdity at its best.
Unafunga biashara ya Zambia, Congo, Malawi na mikoa yote ya Nyanda za juu Kusini ili shughuli ya Mwenge ifanyike.
Mimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge.
Waziri wa Ujenzi na CCM ni vyema wajue jinsi hili linavyo hujumu biashara na shughuli za uchumi.
Ndio muache wenge, acha akili ziwakae! Nikajua CHADEMA ndio peke Yao wamefungiwa barabaraMimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge