Barabara Kuu ya Dar-Tunduma imefungwa kwa saa mbili hadi sasa

Barabara Kuu ya Dar-Tunduma imefungwa kwa saa mbili hadi sasa

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
20220903_081610.jpg
20220903_081558.jpg

Barabara Kuu ya Tunduma-Dar ea salaam imefungwa.

Maso nipo hapa kijiji cha Viwenge Iringa.
Mpaka sasa kuna magari zaidi ya elfu moja yanasubiri kupita.

Tunajua hii barabara kuu ni biashara kubwa na tunachosikia eti kuna shughuli ya Mwenge kijijini.

Hii ni absurdity at its best.
Unafunga biashara ya Zambia, Congo, Malawi na mikoa yote ya Nyanda za juu Kusini ili shughuli ya Mwenge ifanyike.

Mimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge.

Waziri wa Ujenzi na CCM ni vyema wajue jinsi hili linavyo hujumu biashara na shughuli za uchumi.
 
View attachment 2343827View attachment 2343828
Barabara Kuu ya Tunduma-Dar ea salaam imefungwa.

Maso nipo hapa kijiji cha Viwenge Iringa.
Mpaka sasa kuna magari zaidi ya elfu moja yanasubiri kupita.

Tunajua hii barabara kuu ni biashara kubwa na tunachosikia eti kuna shughuli ya Mwenge kijijini.

Hii ni absurdity at its best.
Unafunga biashara ya Zambia, Congo, Malawi na mikoa yote ya Nyanda za juu Kusini ili shughuli ya Mwenge ifanyike.

Mimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge.

Waziri wa Ujenzi na CCM ni vyema wajue jinsi hili linavyo hujumu biashara na shughuli za uchumi.
Mwenge ndio mungu wao usiuchukulie poa.

Ktk ulimwengu wa roho unaona kama ni ujinga lakini kuna jambo zito hapo
 
View attachment 2343827View attachment 2343828
Barabara Kuu ya Tunduma-Dar ea salaam imefungwa.

Maso nipo hapa kijiji cha Viwenge Iringa.
Mpaka sasa kuna magari zaidi ya elfu moja yanasubiri kupita.

Tunajua hii barabara kuu ni biashara kubwa na tunachosikia eti kuna shughuli ya Mwenge kijijini.

Hii ni absurdity at its best.
Unafunga biashara ya Zambia, Congo, Malawi na mikoa yote ya Nyanda za juu Kusini ili shughuli ya Mwenge ifanyike.

Mimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge.

Waziri wa Ujenzi na CCM ni vyema wajue jinsi hili linavyo hujumu biashara na shughuli za uchumi.
Mimi ni mwana CCM, lakini haya ni matumizi MABAYA ya Mwenge.

Waziri wa Ujenzi na CCM ni vyema wajue jinsi hili linavyo hujumu biashara na shughuli za uchumi.[emoji2827]
 
Back
Top Bottom