Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC na M23

Unajidanganya Sana.

Amani ya Kudumu kamwe haiwezi kuwepo endapo kama HAKI haipo.

Guarantee ya uhakika ya kuwepo kwa Amani hutokana na kuwepo kwa HAKI.

Amani ni tunda la HAKI.

If there is no Justice then there will be no Peace!
Tutsi gang!
Yeye kagame kama hao m 23 ana huruma nao kwakuwa ni watutsi wenzake kwanini asiwaite Rwanda akawapa kazi za kufanya kuliko kuendeleza vurugu ndani ya nchi nyingine?!
Akili za watutsi kama wasomali vile !
Ni watu wanaoendekeza sana ubaguzi dhidi ya koo au makabila mengine!
Hata kama watu wote wa Afrika mashariki na ya kati tukiondoka na kuwaacha watutsi peke yao bado wenyewe kwa wenyewe watapigana kwa kuanza kubaguana kwa kuangalia wewe ni mtutsi mwenye asili ya wapo?! Nyerere alishasema dhambi ya ubaguzi haina mwisho kwamba hata wahaya wanabaguana wenyewe kwa wenyewe kwamba HAWA NI WAYOZA NA HAWA NI WAZIBA WAKATI MAKABILA MENGINE WANAONA WAHAYA WOTE NI KITU KIMOJA!
Mimi natokea Ngara mkoani Kagera na mama yangu mzazi (Allaah amrehemu na ajalie pepo kuwa makazi yake!) ni mtutsi wa kitanzania mzaliwa wa Kabanga wilayani Ngara lakini vurugu anazozifanya Kagame katika nchi za maziwa makuu zinakera sana !.
 
Yani bongo ukija ugeni tu shughuli za kiuchumi zinasimama, na wanatangaza kiroho mbaya tu hawajali ngapi unapoteza so long as haziwahusu
 
Je unajua wahutu waliohusika na mauaji ya kimball hivi sasa wa naendelea na mashambulizi ya Rwanda toka wapi?
Je utamyima haki ya kulinda nchi yake simply because you perceive him as arrogant? You should be objective and not sentimental!
 
Mtamuweza nyie maana tz mmekuwa kama wakongo
Wakata uno +kujichubuaachubua

Pk ngoma ngumu

Ova
Wanajifurahisha mkuu hapo hata akipita mgambo wa jiji pendwa hata kama ana ushuzi utaubana sembuse kumzomea huyo mtu mrefuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…