Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC na M23

Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC na M23

Acha ujinga wako mumzomee kwa sababu gani? Hujui historia ya mgogoro Ndio maana unazungumza ujinga huu!
Leo hii Mkiamua kuwapa kipigo wamasai wa Tanzania unadhani wamasai wa Kenya wataacha kuja kuwasaidia ndugu zao? Ndio Kagame anachofanya DRC.
Siungi mkono hoja ya kumzomea Kagame....Ila wewe unayemwita mwenzako mjinga ni dhahiri wewe ndiyo mjinga zaidi ...na wala hujui kabisa kile kinachotokea DRC na hata chanzo cha mgogoro wake....Kagame ni very arrogant na siyo mara ya kwanza kwa anayoyafanya sasa...Lakini pamoja na ukatili wake ameifanya Rwanda kwa sasa kupiga hatua kubwa kijamii na kiuchumi.....Ila kupeleka mmajeshi DRC...No..
 
Jana nimesikia radio France International (RFI) wakizungumza kwamba uwezekano wa kagame kuja Dar es salaam leo ni mdogo sana.
Kwahiyo kweli huenda asihudhurie.
asipohudhuria atolewe kwa nguvu huko DRC
 
Kinachoendelea pale Eastern Congo ni sahihi kabisa. M23 na makundi mengine yaliyoungana nao wanapigania haki yao ambayo serikali iliyopo Kinshasa inawanyima! Mgogoro ndio upo hapo. M23 are bona fide Congolese who the Kinshasa government has decided not to recognize them as such! They have no option except to fight for their god given right!
Wanataka nini wakati wao wameongoza DRC miaka zaidi ya kumi?
 
Kinachoendelea pale Eastern Congo ni sahihi kabisa. M23 na makundi mengine yaliyoungana nao wanapigania haki yao ambayo serikali iliyopo Kinshasa inawanyima! Mgogoro ndio upo hapo. M23 are bona fide Congolese who the Kinshasa government has decided not to recognize them as such! They have no option except to fight for their god given right!
muachage kusema serikali ya DRC inabagua raia wake, hakuna kitu kama hicho, wale ni waasi na inatakiwa wakomeshwe na anayewasaidia naye anyukwe
 
muachage kusema serikali ya DRC inabagua raia wake, hakuna kitu kama hicho, wale ni waasi na inatakiwa wakomeshwe na anayewasaidia naye anyukwe
Je, unaelewa maana ya neno Waasi?

Watu wa M23 wengi zaidi ni Raia Halali wa nchi hiyo ya DRC (Zaire), pia ni Ukweli kwamba hao M23 ni Waasi.

Kumbuka: Neno Waasi haimaanishi kwamba ni Watu Wavamizi wa nchi kutoka Mataifa ya nje.
M23 ni Raia wa DRC, wana Haki ya kutambuliwa Kama Raia halali wa nchi hiyo.
 
Je, unaelewa maana ya neno Waasi?

Watu wa M23 wengi zaidi ni Raia Halali wa nchi hiyo ya DRC (Zaire), pia ni Ukweli kwamba hao M23 ni Waasi.

Kumbuka: Neno Waasi haimaanishi kwamba ni Watu Wavamizi wa nchi kutoka Mataifa ya nje.
waasi ni raia wa nchia ambao huanza kuipinga serikali yao kwa vita. Ndio hao M23, wanasaidiwa na Rwanda
 
waasi ni raia wa nchia ambao huanza kuipinga serikali yao kwa vita. Ndio hao M23, wanasaidiwa na Rwanda
Hoja yako ni ipi hasa?

Je, unataka kusema kwamba hao Watu wa M23 hawana Haki za kuipinga Serikali ya nchi yao ya DRC endapo kama wanaona kuwa hawatendewi Haki na Serikali hiyo?

Kiini au chanzo kikuu cha kuwepo kwa Migogoro mingi Sana ya kibinadamu husababishwa na kukosekana kwa HAKI na kuwepo kwa DHULUMA na Uonevu.

Kumbuka: "Njia pekee ambayo Wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni Madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote Mbili ni kwa kupitia mtutu wa bunduki " (By Jeffs O'Brien)
 
Kwa wanaojua ratiba ya kufika Kagame, tafadhali. Tunataka tumuandalie hafla ya kumzomea
Kinemb...wewe si ndiye ulikuwa unauliza muda wa Ngongoti kutia timu? Chuma hiki hapa sasa sijui ulipata muda wa kukizomea?
operanews1739007205175.jpg
 
Back
Top Bottom