Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC na M23

Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC na M23

Acha ujinga wako mumzomee kwa sababu gani? Hujui historia ya mgogoro Ndio maana unazungumza ujinga huu!
Leo hii Mkiamua kuwapa kipigo wamasai wa Tanzania unadhani wamasai wa Kenya wataacha kuja kuwasaidia ndugu zao? Ndio Kagame anachofanya DRC.
Uongo mtupu...
 
Acha ujinga wako mumzomee kwa sababu gani? Hujui historia ya mgogoro Ndio maana unazungumza ujinga huu!
Leo hii Mkiamua kuwapa kipigo wamasai wa Tanzania unadhani wamasai wa Kenya wataacha kuja kuwasaidia ndugu zao? Ndio Kagame anachofanya DRC.
Je, ni haki kuingia taifa lingine kutetea watu wa asili yako? Tafakari juu ya mgogoro wa Congo DRC Rwanda kutetea jamii inayozungumza kitusi, nchi za magharibi ziko kimya, pia tafakari mgogoro wa Ukraine na Russia, Russia ikitetea jamii inayozungumza kirusi, nchi za magharibi hazitulii, hivi ni nini waona? Hivi wafikiri Kenya ikiwaswaga wamasai wa Kenya, Tanzania itashituka? , Hatushituki Kwa kuwa hatudhamini ukabila!
 
Kwanini unamuita mpumbavu? Kwa kulinda maslahi ya nchi yake?
Kumbuka DRC inawafuga watu ambao walihusika na genocide Rwanda na mpaka sasa wanashambulia Rwanda from Congo! Ungekuwa wewe ndio mwana nchi wa Rwanda ungechukua hatua gani?
Chanzo cha hiyo genocide ilikuwa ni nini?
 
Je, ni haki kuingia taifa lingine kutetea watu wa asili yako? Tafakari juu ya mgogoro wa Congo DRC Rwanda kutetea jamii inayozungumza kitusi, nchi za magharibi ziko kimya, pia tafakari mgogoro wa Ukraine na Russia, Russia ikitetea jamii inayozungumza kirusi, nchi za magharibi hazitulii, hivi ni nini waona? Hivi wafikiri Kenya ikiwaswaga wamasai wa Kenya, Tanzania itashituka? , Hatushituki Kwa kuwa hatudhamini ukabila!
1. Ni Halali na Haki kwa mtu yoyote yule Mpenda HAKI kuingia kwenye nchi nyingine yoyote ile ili kuwatetea Watu wengine ambao wanadhulumiwa Haki zao. Kimaadil hii inaruhusiwa na ni halali kabisa kufanya hivyo.
Vitendo vyovyote vile vya Uvunjaji wa Haki za binadamu ni lazima vitapingwa na Wapenda HAKI Mahali popote pale hapa duniani regardless ya kujali mipaka ya nchi.
"Injustice somewhere is the threat to Justice everywhere;" (By Mao Zedong).

Also, "If you are neutral in the situation of injustice you have chosen the side of oppressor;" (By Archbishop Desmond Tutu).

2. Mgogoro huu Kati ya DRC (Zaire) na Rwanda+M23 na Mgogoro mwingine uliopo huko Ulaya Kati ya Ukraine na Urusi una scenario tofauti zinazokinzana.

Wananchi wengi zaidi wa Majimbo ya Kivu (Goma na Bukavu) huko DRC (Zaire) hawaukubali Sana Utawala wa nchi hiyo ya huko, Wananchi hao wamekuwa wakifanyiwa DHULUMA za Kubaguliwa ndani ya nchi yao wenyewe, Rwanda imeingilia Kati huko Zaire ili kutetea Haki za hawa Watu wa Kivu wanaofanyiwa Ubaguzi.
Wakati Urusi imevamia kwenye Ardhi ya nchi nyingine ya jirani ya Ukraine kwa lengo nia ovu ya kupora Ardhi na rasilimali za nchi hiyo ya Ukraine bila uhalali wowote ule. Kumbuka: Urusi ingekuwa na uhalali juu ya Uvamizi wake nchini Ukraine endapo kama Raia wengi wa Ukraine wangeiunga mkono nchi hiyo ya Urusi kwenye huo uvamizi wake.
Kwa bahati mbaya sana ni kwamba Raia wengi zaidi wa Ukraine (Kama siyo wote kabisa) hawaungi mkono Uvamizi wa Urusi Wala hawaungi mkono uwepo wa Majeshi ya Urusi ndani ya nchi yao ya Ukraine.
 
"Injustice somewhere is the threat to Justice everywhere."
Martin Luther King Jr.

Usifikiri kwamba Watu wataogopa kuvuka mipaka ya nchi yoyote ile ili kwenda kutoa msaada kwa Watu wengine ambao wanaamini wazi kabisa kwamba hawatendewi HAKI.
Utawala wa nchi au Serikali ya Nchi yoyote ile hapa duniani inapofanya DHULUMA dhidi ya Watu fulani fulani katika nchi husika basi Utawala huo unapaswa utambue ya kwamba kwa kufanya hivyo itakuwa inawaalika kwa LAZIMA Watu Wapenda HAKI kuweza kuingia kwa nguvu kwenye hiyo nchi ili kuwasaidia wale Watu wanaodhulumiwa Haki zao.

DHULUMA huwa Ina kawaida ya kuwakusanya na kuwaunganisha pamoja wale Watu ambao wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya DHULUMA.
Sina cha kukujibu, nenda kasoma alichokisema Secretary General wa UN labda utaelewa angalau kidogo kuhusu hayo mambo
 
"I know the leaders when I see them and I know the idiot when I see them" - PK.
If you are a leader and an idiot, it's the disaster, absolutely disaster" - PK.
 
Acha ujinga wako mumzomee kwa sababu gani? Hujui historia ya mgogoro Ndio maana unazungumza ujinga huu!
Leo hii Mkiamua kuwapa kipigo wamasai wa Tanzania unadhani wamasai wa Kenya wataacha kuja kuwasaidia ndugu zao? Ndio Kagame anachofanya DRC.
we ndio umepotea kabisa, yule ni mvamizi wa nchi ya wengine kwa kisingizio cha ukabila
 
Back
Top Bottom