balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hakuna anayeteseka,labda wale old school wanaoamini maisha ni City center tuWanawatesa sana wananchi wa Dar es Salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anayeteseka,labda wale old school wanaoamini maisha ni City center tuWanawatesa sana wananchi wa Dar es Salaam
Ila inaathiri shughuli za kiuchumi mkuuHakuna anayeteseka,labda wale old school wanaoamini maisha ni City center tu
Wacha wateswe, pengine wataamka kwani ni wajinga sana. Nchi gani inakuwa na wananchi mazezeta namna hii.
Tena!Tanzania imepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ambapo Mkutano huo utakuwa chini ya uenyeji wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kufuatia ugeni huo hali ya usalama imeimarishwa maradufu Februari 07, hadi 08, 2025 ambapo Jeshi la Polisi limetangaza baadhi ya barabara zitakuwa zinafungwa kwa muda na kufunguliwa haraka kupisha misafara ya viongozi wa Mkutano huo.
Barabara ambazo zitafungwa kwa muda na kufunguliwa haraka kadri itakavyoruhusu
ni ;
1. Barabara ya Nyerere kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwenda katikati ya Jiji.
2. Barabara ya Sokoine, Kivukoni na Lithuli kuanzia taa za Gerezani kwenda Hoteli ya Johari Rotana, Hyatt Regency hadi Ikulu.
3. Barabara ya Ohio kutokea Kivukoni kwenda Hoteli ya Serena.
4. Barabara ya Garden kutokea barabara ya Lithuli kwenda Hoteli ya Southern Sun.View attachment 3227940View attachment 3227942
View attachment 3227937
Vavina vagona kwiya?/Wakubwa watalala wapi mikutano kama hii ikiletwa huku Kidegembe Iringa?Mikoani wanaleta lini mikutano hii mikubwa? Hii mikutano inapanua sana fursa
Idea yako ni nzuri kabisaaa,hujazongatia malighafi,masoko ...Dar ipo karibu na Bandari,Anga na Bahari yaani ni multipurpose tofauti na SingidaI wish all universities wahamishie vyuo Dodoma,singida na tabora mpaka shinyanga yaani dar Iko crowded mno , pia baadhi ya viwanda viletwe hata singida na Dodoma Kuna mapori mno Mana hapo ni rahisi mno kusafirisha kwenda pengine within a country
Wafalala ihanzutwa Kama sio nyakavangaraVavina vagona kwiya?/Wakubwa watalala wapi mikutano kama hii ikiletwa huku Kidegembe Iringa?
EeehhHuenda asihudhurie
No... Saa sita kasoro nane..🤪Atafika saa nne asubh ,
Acha ujinga wako mumzomee kwa sababu gani? Hujui historia ya mgogoro Ndio maana unazungumza ujinga huu!Kwa wanaojua ratiba ya kufika Kagame, tafadhali. Tunataka tumuandalie hafla ya kumzomea