Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kila mmoja atazomewa kwa muda wake.Huwezi kuzomea vibaka wawili at a time wakati wapo sehemu tofautitofauti.Umzomee,amefanya nini?
Kwa sababu anawasapoti M23?
Wa Emirati wanaiunga mkono RSF wanaleta unnecessary complication katika kuimaliza vita ya Sudan,mbona hatujasikia mtu yoyote anawazomea?