Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm akili zenu za hovyo sana miradi muipange nyiekifali lawama kea chadema ambao hawajawahi hata siku moja kurun government ,semeni tu huwa mnakurupuka na hamjawahi kuwa na plan inayoelewekaBarabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.
Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.
My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
![]()
Barabara ya njia nane Dar-Kibaha yakwama
Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia...www.mwananchi.co.tz
Chadema hata ndege zikikamatwa wanashangilia ,hayo majitu yana laanaCcm akili zenu za hovyo sana miradi muipange nyiekifali lawama kea chadema ambao hawajawahi hata siku moja kurun government ,semeni tu huwa mnakurupuka na hamjawahi kuwa na plan inayoeleweka
Tanzania Ni Tajiri Ndugu ZanguDonor country
Nalog off
Amekariri Kila Mzungu Ni Pastor Kumbe Wengine Walikuwa Kama Carl Peter WapeleleziChadema inahusika na nini kwenye kukwama kwa Barabara? kha!.
Tozo wanakusanya CCM.
Kule Mwanza Ulisema Hawa Waacheni Wapiga Kura WanguHuwezi bomolea watu nyumba zao na ubaki salama
Nani anayekusanya mapato kwenye nchi hii , act ,chadema , cuf? Huwezi kulaumu mtu au chama chochote ambacho hakijaundShetani huwa hana guarantee ya kile anachopanga kwa binadam. Sasa hivi wataumbuka na ujenzi utaendelea.
View attachment 1959289
Hakuna cha laana hapo sema mlikuwa mnafanya mambo kinyume na utaratibu kwani mngesikiliza ushauri na kuvunjwa mikataba kwa kubadilisha sheria ili hao mnaowaita mabeberu wasisafirishe mali zetu kiholela mkaona chadema siyo wazalendo wakati nyie wenyeww mliamua kuwapatia rasilimali za nchi maslahi yenu binafsiChadema hata ndege zikikamatwa wanashangilia ,hayo majitu yana laana
Kichwa kimejaa makamasi hiki....Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.
Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.
My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
![]()
Barabara ya njia nane Dar-Kibaha yakwama
Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia...www.mwananchi.co.tz
Huyo hana tofauti na lile kundi la mwenyekiti fulani ambalo kila unapofika uchaguzi wa chama chao huja na kauli mbiu ya "mwamba tuvushe" bila kujali maana ya neno "demokrasia" waliloliweka katika kirefu cha jina la chama chao, au ni muda mrefu gani aliokaa madarakani mwenyekiti wao. Kifupi wanaamini kwamba bila yeye hakuna chama yan ni yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuongoza chama na sio viongozi wengine.Narudia tena na tena, tuwe na taasisi imara jamani, hivi JPM angeishi miaka 200 nyie?? Hii nchi ina watanzania milioni 60 hakuna kweli wenye uwezo wa kujenga taasisi imara isipokuwa mtu mmoja ambaye Mola amempenda zaidi?? Mfano wewe hapo hakuna chochote unachoweza kusaidia hii nchi yako? Huna hata kimoja unachoweza???
Nani anayekusanya mapato kwenye nchi hii , act ,chadema , cuf? Huwezi kulaumu mtu au chama chochote ambacho hakijaunda serikali ,wakuwaumu ni hao watumia pesa zetu kujinufaishaShetani huwa hana guarantee ya kile anachopanga kwa binadam. Sasa hivi wataumbuka na ujenzi utaendelea.
View attachment 1959289
Hazikamatwi sasaNani anayekusanya mapato kwenye nchi hii , act ,chadema , cuf? Huwezi kulaumu mtu au chama chochote ambacho hakijaund
Hakuna cha laana hapo sema mlikuwa mnafanya mambo kinyume na utaratibu kwani mngesikiliza ushauri na kuvunjwa mikataba kwa kubadilisha sheria ili hao mnaowaita mabeberu wasisafirishe mali zetu kiholela mkaona chadema siyo wazalendo wakati nyie wenyeww mliamua kuwapatia rasilimali za nchi maslahi yenu binafsi
Kwa tulio k'koo makontena yashaanza kutolewa na wakala GSM kama ilivyokuwa home shopping center kipindi MkweleKwa speed hii ya wafanyabiashata wakubwa kukwepa kodi, matumizi ya ovyo ya serikali, kwenda UN na delegates 100+, ama kweli tunarudi enzi zile za hospitali kukosa dawa, polisi kushindwa kufika kwenye matukio ya kiharifu maana magari yao hayatakuwa na mafuta.
Siandiki hapa kulalamika, la hasha nawakumbusha manesi na daktari kuwa enzi zao za kula bata zinakaribia, wanaanza kubeba dawa zao na vifaa tiba kwa ajili ya kupiga hela...msimu wa Mavuno unanukia!
CCM Oyeeee! Mama apewe nafasi hadi 2030!
[emoji1787][emoji1787] umemkaanga mkuuHuyo hana tofauti na lile kundi la mwenyekiti fulani ambalo kila unapofika uchaguzi wa chama chao huja na kauli mbiu ya "mwamba tuvushe" bila kujali maana ya neno "demokrasia" waliloliweka katika kirefu cha jina la chama chao, au ni muda mrefu gani aliokaa madarakani mwenyekiti wao. Kifupi wanaamini kwamba bila yeye hakuna chama yan ni yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuongoza chama na sio viongozi wengine.
Acha uchocheziMy take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
Yaani Serikali ya CCM kishindwe kuendeleza miradi ya nchi lawama iende CDM? Ama kweli mataga ni wendawazimu au wachawi.Shangilieni sasa