Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha

Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha

Kwa speed hii ya wafanyabiashata wakubwa kukwepa kodi, matumizi ya ovyo ya serikali, kwenda UN na delegates 100+, ama kweli tunarudi enzi zile za hospitali kukosa dawa, polisi kushindwa kufika kwenye matukio ya kiharifu maana magari yao hayatakuwa na mafuta.

Siandiki hapa kulalamika, la hasha nawakumbusha manesi na daktari kuwa enzi zao za kula bata zinakaribia, wanaanza kubeba dawa zao na vifaa tiba kwa ajili ya kupiga hela...msimu wa Mavuno unanukia!
CCM Oyeeee! Mama apewe nafasi hadi 2030!
 
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.

Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.

My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.

Ccm akili zenu za hovyo sana miradi muipange nyiekifali lawama kea chadema ambao hawajawahi hata siku moja kurun government ,semeni tu huwa mnakurupuka na hamjawahi kuwa na plan inayoeleweka
 
Ccm akili zenu za hovyo sana miradi muipange nyiekifali lawama kea chadema ambao hawajawahi hata siku moja kurun government ,semeni tu huwa mnakurupuka na hamjawahi kuwa na plan inayoeleweka
Chadema hata ndege zikikamatwa wanashangilia ,hayo majitu yana laana
 
Shetani huwa hana guarantee ya kile anachopanga kwa binadam. Sasa hivi wataumbuka na ujenzi utaendelea.

View attachment 1959289
Nani anayekusanya mapato kwenye nchi hii , act ,chadema , cuf? Huwezi kulaumu mtu au chama chochote ambacho hakijaund
Chadema hata ndege zikikamatwa wanashangilia ,hayo majitu yana laana
Hakuna cha laana hapo sema mlikuwa mnafanya mambo kinyume na utaratibu kwani mngesikiliza ushauri na kuvunjwa mikataba kwa kubadilisha sheria ili hao mnaowaita mabeberu wasisafirishe mali zetu kiholela mkaona chadema siyo wazalendo wakati nyie wenyeww mliamua kuwapatia rasilimali za nchi maslahi yenu binafsi
 
Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.

Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.

My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.

Kichwa kimejaa makamasi hiki....
Chadema na Lissu wanahusikaje hapo.....🤔 tozo na Kodi nani mkusanyaji
 
Narudia tena na tena, tuwe na taasisi imara jamani, hivi JPM angeishi miaka 200 nyie?? Hii nchi ina watanzania milioni 60 hakuna kweli wenye uwezo wa kujenga taasisi imara isipokuwa mtu mmoja ambaye Mola amempenda zaidi?? Mfano wewe hapo hakuna chochote unachoweza kusaidia hii nchi yako? Huna hata kimoja unachoweza???
Huyo hana tofauti na lile kundi la mwenyekiti fulani ambalo kila unapofika uchaguzi wa chama chao huja na kauli mbiu ya "mwamba tuvushe" bila kujali maana ya neno "demokrasia" waliloliweka katika kirefu cha jina la chama chao, au ni muda mrefu gani aliokaa madarakani mwenyekiti wao. Kifupi wanaamini kwamba bila yeye hakuna chama yan ni yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuongoza chama na sio viongozi wengine.
 
Nani anayekusanya mapato kwenye nchi hii , act ,chadema , cuf? Huwezi kulaumu mtu au chama chochote ambacho hakijaund

Hakuna cha laana hapo sema mlikuwa mnafanya mambo kinyume na utaratibu kwani mngesikiliza ushauri na kuvunjwa mikataba kwa kubadilisha sheria ili hao mnaowaita mabeberu wasisafirishe mali zetu kiholela mkaona chadema siyo wazalendo wakati nyie wenyeww mliamua kuwapatia rasilimali za nchi maslahi yenu binafsi
Hazikamatwi sasa
 
Kwa speed hii ya wafanyabiashata wakubwa kukwepa kodi, matumizi ya ovyo ya serikali, kwenda UN na delegates 100+, ama kweli tunarudi enzi zile za hospitali kukosa dawa, polisi kushindwa kufika kwenye matukio ya kiharifu maana magari yao hayatakuwa na mafuta.

Siandiki hapa kulalamika, la hasha nawakumbusha manesi na daktari kuwa enzi zao za kula bata zinakaribia, wanaanza kubeba dawa zao na vifaa tiba kwa ajili ya kupiga hela...msimu wa Mavuno unanukia!
CCM Oyeeee! Mama apewe nafasi hadi 2030!
Kwa tulio k'koo makontena yashaanza kutolewa na wakala GSM kama ilivyokuwa home shopping center kipindi Mkwele
 
Nani anayekusanya mapato kwenye nchi hii , act ,chadema , cuf? Huwezi kulaumu mtu au chama chochote ambacho hakijaunda serikali ,wakuwaumu ni hao watumia pesa zetu kujinufaisha
Chadema ndiyo wanahujumu hiyo miundombinu
 
Huyo hana tofauti na lile kundi la mwenyekiti fulani ambalo kila unapofika uchaguzi wa chama chao huja na kauli mbiu ya "mwamba tuvushe" bila kujali maana ya neno "demokrasia" waliloliweka katika kirefu cha jina la chama chao, au ni muda mrefu gani aliokaa madarakani mwenyekiti wao. Kifupi wanaamini kwamba bila yeye hakuna chama yan ni yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuongoza chama na sio viongozi wengine.
[emoji1787][emoji1787] umemkaanga mkuu
 
My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
Acha uchochezi
 
Back
Top Bottom