Barabara ya Njia nne Namanga- Tengeru mkoani Arusha mbona inasomeka ni Mradi wa EAC?

Barabara ya Njia nne Namanga- Tengeru mkoani Arusha mbona inasomeka ni Mradi wa EAC?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Nimemsikia Mhe. Rais akisema barabara ya Namanga hadi Tengeru ni barabara iliyojengwa kwa usumbufu wa RC Arusha, nikipitia kwenye website na maandiko mbalimbali yanaonyesha ile ni barabara ya Afrika Mashariki na mipango yake ya ujenzi imeanza miaka mingi nyuma, aidha inaelezwa hiyo barabara itaenda hadi sehemu inaitwa Tarakea Kenya.

Najiuliza lengo la kuihusisha na Mrisho Gambo ni kwamba Mhe. ajaelezwa vizuri kuhusu huo mradi au nikuwafanya watu wa Arusha kama hawaelewi?

Wapiga kura kazi mnayo
 
Ukiwa na wivu Sana mwishowe unajitundika

Na baada Tu ya 28 October, mtaanza kusema yaleyale ya Mbowe,Aachie ngazi
Sijui Watanzania ni waoga Sana
JPM Sjui dikiteta
Sijui Kwa nini police wametuzuia maandamano

Sababu kibaaao hakuna hata la maana
Mbona hujajibu swali? Kwani kuwa ccm ndiyo tiketi ya kuwa mjinga?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kila nchi ilichangia ujenzi kivyake uliza kabla ya kumuita mtu mzima muongo
 
Taarifa kutoka kwa maafisa vipenyo wizara ya fedha ni kuwa barabara hii ilitakiwa kuwa double road toka arusha hadi himo then single wide hadi holili ambako inakuwa tena double kwa kilometa chache ..Ni pesa ya eac ...Lakini kuna mtu kwa roho yake mbaya kazuia isijengwe kwakua hakupewa kura.

Na kuacha tu ikabimilike hadi tengeru na ile ya bypass kwakua ilishaanza toka kipendi cha kikwete ...Ukisikia joka la mdimu ndio hilo linakuuma usichume ndimu hata kama hali ndimu. Hii barabara pesa hatoi yeye lakini kazuia tu

Anasema wakipata double road ndefu kuliko zote tanzania wataringa

ukitaka kuamini maneno haya na alivyokua hana kifua Karopoka mwenyewe hapo chini
just imagine angezuiaje barabara ikiyopangwa na EAC kuboresha makao makuu ya jumuia ; by pass inapita Mahakama Dunia arusha ya uhalifu ni barabara ya mikakati ; ya kuunganisha Arusha na nairobi na mombasa kupitia Holili alitamani iende chato

Wakati inaanza Rais alikuwa Kikwete na yeye akiwa waziri na Kakoko walisimamia ubomoaji ianze leo a nafikiri watu hawana kumbukumbu na kutudaanganya eti aliyeomba ni gambo.

“"Gambo amewatetea mambo mengi hata Barabara ya KM 14 ya njia 4, Barabara ambayo hakuna Mtu aliyetegemea itajengwa Arusha kwa Watu ambao walininyima kura, ingeweza hata tukaipeleka Mkoa mwingine, hata ile Diversion ya Barabara hii tumemwaga zaidi ya Bil 164"- JPM

Arusha 23 october 2020
 
Nimemsikia Mhe. Rais akisema barabara ya Namanga hadi Tengeru ni barabara iliyojengwa kwa usumbufu wa RC Arusha, nikipitia kwenye website na maandiko mbalimbali yanaonyesha ile ni barabara ya Afrika Mashariki na mipango yake ya ujenzi imeanza miaka mingi nyuma, aidha inaelezwa hiyo barabara itaenda Hadi sehemu inaitwa Tarakea Kenya.

Najiuliza lengo la kuihusisha na Mrisho Gambo ni kwamba Mhe. ajaelezwa vizuri kuhusu huo mradi au nikuwafanya watu wa Arusha kama hawaelewi?

Wapiga kura kazi mnayo
Hivi wewe Mpaka Leo hujamuelewa tu vizuri huyu Mzee mjasilia siasa political interpreneur Kama mhedhimiwa Assad CAG mstaafu alivyomdadavua kwenye ripoti zake.
 
Kuna ki
Nimemsikia Mhe. Rais akisema barabara ya Namanga hadi Tengeru ni barabara iliyojengwa kwa usumbufu wa RC Arusha, nikipitia kwenye website na maandiko mbalimbali yanaonyesha ile ni barabara ya Afrika Mashariki na mipango yake ya ujenzi imeanza miaka mingi nyuma, aidha inaelezwa hiyo barabara itaenda Hadi sehemu inaitwa Tarakea Kenya.

Najiuliza lengo la kuihusisha na Mrisho Gambo ni kwamba Mhe. ajaelezwa vizuri kuhusu huo mradi au nikuwafanya watu wa Arusha kama hawaelewi?

Wapiga kura kazi mnayo
pindi nilikutana na injinia aliyeshiriki kufanya michoro ya hiyo barabara akiwa mwajiriwa wa EAC. aliniambia hii barabara inatakiwa ifike Holili na siyo Tengeru. Kwa ufupi design ilifanyika kabla hata Mrisho Gambo hajawa DC kule Korogwe. Kwa hiyo mh. ajitahidi asiwe kama Trump. Wafadhili ni African Development Bank (AfDB) kupitia EAC na siyo Arusha regional commissioner Office. Principal engineer wa EAC analijua hili vizuri sana kuwa hakuna mkono wa Gambo kwenye Hizi barabara mbili za Namanga Tengeru wala arusha Bypass
 
Back
Top Bottom