Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Unaonekana huna hata gari weweWewe dada ni punguwani. EAC imeletwa na Magufuli?? Au unazungumzia barara ya njia 4??
Nchii hii ina ushamba sana. Yaani barabara ya njia nne nayo ni maajabu? Haishangazi kuona tunapokea ndege!! Tunafanya ufunguzi wa mashimo ya vyoo!
Huu mradi unafadhiliwa na akina nani?Next uje na data. Usidandie miradi iliyofadhiliwa na watu wengine uje kusema flani alifanya.
Sasa EAC ipo wapi, si inafanya kazi na Tanzania, au? Bila Magufuli hiyo EAC ingekuwepo?
Kampeni za hadaa zama hizi za utandawazi nikivunjia heshima madhara makubwa yakuzungukwa nawatu wanaokupigia makofi tu kwa maslahi yao binafsiNimemsikia Mhe. Rais akisema barabara ya Namanga hadi Tengeru ni barabara iliyojengwa kwa usumbufu wa RC Arusha, nikipitia kwenye website na maandiko mbalimbali yanaonyesha ile ni barabara ya Afrika Mashariki na mipango yake ya ujenzi imeanza miaka mingi nyuma, aidha inaelezwa hiyo barabara itaenda hadi sehemu inaitwa Tarakea Kenya.
Najiuliza lengo la kuihusisha na Mrisho Gambo ni kwamba Mhe. ajaelezwa vizuri kuhusu huo mradi au nikuwafanya watu wa Arusha kama hawaelewi?
Wapiga kura kazi mnayo
Hivi wewe ni mtoto wa mh.yule au?Sasa EAC ipo wapi, si inafanya kazi na Tanzania, au? Bila Magufuli hiyo EAC ingekuwepo?
Huyo mdada siyo wa kumchukulia serious, hajui hata NDC ni shirika la kitu gani, sasa hayo EAC atayaelewa kweli??Eti unasemaje? Bila nani EAC isingekuwepo?
EAC ilianza baada ya huyo uliyemtaja kuwepo madarakani?
Hivi wewe ni mtoto wa mh.yule au?
Wewe dada ni punguwani. EAC imeletwa na Magufuli?? Au unazungumzia barara ya njia 4??
Nchii hii ina ushamba sana. Yaani barabara ya njia nne nayo ni maajabu? Haishangazi kuona tunapokea ndege!! Tunafanya ufunguzi wa mashimo ya vyoo!
EAC. Ama east frica communityHuu mradi unafadhiliwa na akina nani?
Ahaaa,umepotea na acha kukariri uongo. Adb walikopesha Kenya na Tanzania. Kusema ni mradi wa EAC ni sababu una manufaaa kwa EAC nzima.EAC. Ama east frica community
Ww ndio uache kukariri man. Mradi huwez kusema uko chini ya EAC halaf ukasema mkuu wa mkoa kasukuma.Ahaaa,umepotea na acha kukariri uongo. Adb walikopesha Kenya na Tanzania. Kusema ni mradi wa EAC ni sababu una manufaaa kwa EAC nzima.
Hoja hapa ni nani anafinance? Mlitaka kudanganya watu kuwa EAC as a community wanafinace kitu ambacho ni uongo. Mkuu wa mkoa anasukuma mradi wowote ule maana ni muwakilishi wa rais. Bith/ shitholeWw ndio uache kukariri man. Mradi huwez kusema uko chini ya EAC halaf ukasema mkuu wa mkoa kasukuma.
Bullshit lies man
kwan tatizo lako nini?Najiuliza lengo la kuihusisha na Mrisho Gambo ni kwamba Mhe. ajaelezwa vizuri kuhusu huo mradi au nikuwafanya watu wa Arusha kama hawaelewi?