Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan huko 254 huwaga hayatokei hayo?
Ukiona ishafika hatua Mtu anajilinganisha nawe kwa kila ufanyacho basi ujue tayari kashaishiwa pumzi so hana jingine jipya hasa zaidi ya kutapatapa tu [emoji23]Kama mmefikia hatua hii ni wazi sasa tumewashika kisa sawa.
Yanatokea Ila hatufuchi Kama nyinyi 😁Kwan huko 254 huwaga hayatokei hayo?
Nani kaficha kuwa mvua imenyeesha?Yanatokea Ila hatufuchi Kama nyinyi 😁
Sindano😁Akili za kibera
Sindano 😁Nani kaficha kuwa mvua imenyeesha?
Huwa ikitokea mnaleta humu?
Sindano according to S 🐵 like youSindano 😁
Mbona hukukurupuka na hizi habari hapa?? Za aibu hamsemi lakini za Ndege mkakimbia huku mbio umbea Kama wanawake.Nani kaficha kuwa mvua imenyeesha?
Huwa ikitokea mnaleta humu?
Haina haja nikurupuke nazo wakati tayari zimeshapostiwa kwenye thread kibao,Mbona hukukurupuka na hizi habari hapa?? Za aibu hamsemi lakini za Ndege mkakimbia huku mbio umbea Kama wanawake.
[emoji1][emoji1][emoji1]kumbe sasa ni afadhali ya sisi, ambao barabara yote ni poa,isipokuwa mto umemeza daraja,ni swala la kusubiri tu masaa kadhaa safari iendelee.ila huko kwa kina njugunaa hata barabara yote ni shamba la viazi[emoji38][emoji38][emoji38]Utafikiri mvua kubwa zikinyeesha kenya huwa hii hali haitokei,
Yule Mzungu aliyewatukana juzi kati yupo sahihi 100%
Hawa jamaa ni wajinga kinoma 😂😂😂 Wakati hapo maji yakipungua barabara inarudi kwenye hali yake freshi tu.[emoji1][emoji1][emoji1]kumbe sasa ni afadhali ya sisi, ambao barabara yote ni poa,isipokuwa mto umemeza daraja,ni swala la kusubiri tu masaa kadhaa safari iendelee.ila huko kwa kina njugunaa hata barabara yote ni shamba la viazi[emoji38][emoji38][emoji38]
Ama mambo ya aibu hupendi? 😁😁 Mambo ya Ndege niliyazoea tangu udogo wangu Yani nilizipata Ndege za KQ sio Kama wewe unashangilia wakati umejaza mindevu...kwangu Ndege Ni kitu Cha kawaida Cha ajabu nashangaa kuona ukishangilia kama mtoto.Haina haja nikurupuke nazo wakati tayari zimeshapostiwa kwenye thread kibao,
Mjinga pekee ndio atarudia rudia kupost wakati zilishapostiwa,
Hizo ndege naona zinakuuma kweli kweli 😂😂😂
Nyie ndio wanafiki kwa sababu huwa hamleti vitu vyenu vya aibu zaidi ya vitu vya kujisifia ujinga.