Barabara za Bongo bana, yaani mvua kidogo inakwamisha watu kutokea mikoa mingi hata wa kutoka Nairobi wanakwama

Barabara za Bongo bana, yaani mvua kidogo inakwamisha watu kutokea mikoa mingi hata wa kutoka Nairobi wanakwama

Yanatokea Ila hatufuchi Kama nyinyi [emoji16]
Itafikiaje na mvua zenyewe hazitoshi kwa Lana yenu mara ooo! Mvua ya Kenya imekwama Tanzania yani wakenya wana akili ndogo kweli, sasa munasema kwenu mafuriko hayatokei kama Tanzania wakati mvua inayonyesha hata haitoshi kwa kilimo harafu munataka mushindane na TZ kuhusu mafuriko kwahiyo Mto unaweza kutema maji bila ya kujaa ? Kilakitu kwenu mashindano mpaka neema za mwenyezimungu pia mashindano . Hapa ndo unapokuja kujua kama wakenya wengi wanaugua uchizi. Hii ni sawa na sii tuposti ukame unaotokea Kenya harafu tuwaone hawana akili sababu Tanzania hautokei na ukitokea kwa kiasi kidogo sana sasa ya uzima haya kweli !!.
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?
 
Imagine Km 850 za Barabara kali kama hii,
Imagine Driving Maki Eksi yako toka Dar hadi Mbeya 850km Mkeka kama huu,
Hapo kenya vitu kama hivi mtaishia kusikia tu
Pictures taken by Me

View attachment 1232876View attachment 1232878View attachment 1232879View attachment 1232883View attachment 1232884View attachment 1232892

Hayo mavitu huku yamejaa hayana jipya, siku hizi habari ndio kama kwenye hii picha hapa chni

kr.jpg
 
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?

Umeniquote mara 10 karibu,

Rudi tena kasome nilichoandika, I said only 5% in The world, Sio Tz pekee. Sasa kama dunia ingekuwa inafikiria kama wewe basi wangeachana na Ndege kabisa kwa kuangalia hawa wengine 95%
 
Hayo mavitu huku yamejaa hayana jipya, siku hizi habari ndio kama kwenye hii picha hapa chni

kr.jpg

Hiyo ni km 850 mzee, usifanye mchezo na hiyo Distance, yaani ni Sawa na uende Naorobi - mombasa na Kurudi,
Kenya hakuna barabara ya Kama hiyo yenye km100, zilizopo ni kama ile Barabara Nzee ya Mombasa Road, mashimo kila kona, barabara nyembamba sababu ya wizi wa wanasiasa wanaotoka kabila lako.
 
Hiyo ni km 850 mzee, usifanye mchezo na hiyo Distance, yaani ni Sawa na uende Naorobi - mombasa na Kurudi,
Kenya hakuna barabara ya Kama hiyo yenye km100, zilizopo ni kama ile Barabara Nzee ya Mombasa Road, mashimo kila kona, barabara nyembamba sababu ya wizi wa wanasiasa wanaotoka kabila lako.

Nimekuambia hamjafika kwenye level ya kujilinagisha na Kenya kwenye mambo ya barabara
Kulingana na Roads Board yenu, nchi yote hiyo pamoja na makelele yote paved road ni 7,611 Km is paved and 91.3 percent are unpaved.

Sasa waza hilo halafu uje kwa Kenya, paved road ni mara mbili ya yenu

 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mkuu suala la mvua no natural disaster popote huweza kutokea
 
Mkuu suala la mvua no natural disaster popote huweza kutokea

Hutokea, ndio maana engineers wanafundshwa jinsi ya kuweka miundo mbinu iliyo thabiti, check hiki kipande chenu cha reli, hapo uniambie mawazo gani yalitumika kwenye ujenzi wake.

IMG-20180113-WA0094.jpg
 
Hutokea, ndio maana engineers wanafundshwa jinsi ya kuweka miundo mbinu iliyo thabiti, check hiki kipande chenu cha reli, hapo uniambie mawazo gani yalitumika kwenye ujenzi wake.

IMG-20180113-WA0094.jpg
Mawzo ya "mjeremani" hayo. 🙂
 
Hutokea, ndio maana engineers wanafundshwa jinsi ya kuweka miundo mbinu iliyo thabiti, check hiki kipande chenu cha reli, hapo uniambie mawazo gani yalitumika kwenye ujenzi wake.

IMG-20180113-WA0094.jpg
Afadhali ya hiyo kuliko hii yenu iliyosombwa kabla hata ya kuanza kutumika 😂😂😂

 
Hutokea lakini sio kwa kiasi hiki cha Bongo kufungia mikoa muhimu, yaani wa kutoka au kwenda Arusha, Moshi na hata wanaotokea Nairobi wanakwama au kuelekezwa kwenye vijibarabara vya porini.
Kwenu hata reli inasombwa
Ndio mana mnakufa njaa,mvua kwenu ni maajabu
Mafuriko yanatokea china,marekani na njia zinakatika itakua Tanzania?
Halafu siku hizi ukitoka Arusha sio lazima ufike segera,unaingia korogwe,unatokea mkata,unaingia bagamoyo,fasta upo Dar
 
We mwamba upo ka tahira, hyo reli ya wakoloni afu unalaumu engineers? Wafate uwalaumu c wameamia kwenu hapo, sashv hii kitu inerekebishwa na kando ya mto kumepgwa zege maji yasihame na reli imehamishwa, sgr imekwepa mto inapita underground aka chini ya huo mlima, sas kipind cha wakoloni na sasahv inaingiliana vp
Hutokea, ndio maana engineers wanafundshwa jinsi ya kuweka miundo mbinu iliyo thabiti, check hiki kipande chenu cha reli, hapo uniambie mawazo gani yalitumika kwenye ujenzi wake.

IMG-20180113-WA0094.jpg
 
Mawzo ya "mjeremani" hayo. 🙂

Duh! Yaani kisa Mjerumani alifanya kosa mkaamua kuacha libaki hivyo miaka yote hiyo mpka leo ndio mnawaza kushughulika, miafrika bana.
 
Afadhali ya hiyo kuliko hii yenu iliyosombwa kabla hata ya kuanza kutumika 😂😂😂


Angalia vizuri na uelewe nini maana ya thabiti, hapo mahali pamepigwa na mafuriko ya kufa mtu lakini reli ikabaki imesimama, nyie mvua kidogo tu miko yote inafungwa.
 
Duh! Yaani kisa Mjerumani alifanya kosa mkaamua kuacha libaki hivyo miaka yote hiyo mpka leo ndio mnawaza kushughulika, miafrika bana.
Utani pembeni, inawezekana wakati reli inajengwa miaka ya 1900 hakukuwa na mmomonyoko wa udongo kiasi hicho ila jiografia hubadilika. Hivyo kuna uwezekano hali hiyo ya maji kusogelea reli ilianza miaka ya karibuni kipindi watawala wetu hawakuona umuhimu wa kuendeleza mashirika ya umma.
 
Back
Top Bottom