Barabara za Bongo bana, yaani mvua kidogo inakwamisha watu kutokea mikoa mingi hata wa kutoka Nairobi wanakwama

Barabara za Bongo bana, yaani mvua kidogo inakwamisha watu kutokea mikoa mingi hata wa kutoka Nairobi wanakwama

Ama mambo ya aibu hupendi? 😁😁 Mambo ya Ndege niliyazoea tangu udogo wangu Yani nilizipata Ndege za KQ sio Kama wewe unashangilia wakati umejaza mindevu...kwangu Ndege Ni kitu Cha kawaida Cha ajabu nashangaa kuona ukishangilia kama mtoto.
Ni wajibu wangu kufurahia maendeleo ya nchi yangu,
Alafu mbona unachange gear hewani.
 
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.


Jiwe anaendelea kujenga barabara akiamini zinadumu milele, badala aimarishe kipato cha mwananchi mmoja mmoja na kurudisha nyumba za serikaali alizouza kwa bei chee
 
Wabongo si wana ndege 7. Kwanini wasipande hizo ndege? Au umasikini umewachapa KO mithili ya KO za Mayweather?
 
Imagine Km 850 za Barabara kali kama hii,
Imagine Driving Maki Eksi yako toka Dar hadi Mbeya 850km Mkeka kama huu,
Hapo kenya vitu kama hivi mtaishia kusikia tu
Pictures taken by Me

IMG_0263.JPG
IMG_0264.JPG
IMG_6236.JPG
IMG_5573.JPG
IMG_8967.JPG
IMG_6208.JPG
 
Ingekua we ndo raisi ungeweza kufanya inachokiongea hapa? Au unahisi raia mil 56 ni kakundi tu ka wahuni. Em tumia akili wew, muheshimiwa anaimarisha miundombinu ambayo itawasaidia wanainchi wote kwa ujumla mkuu.
Jiwe anaendelea kujenga barabara akiamini zinadumu milele, badala aimarishe kipato cha mwananchi mmoja mmoja na kurudisha nyumba za serikaali alizouza kwa bei chee
 
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.
jambo ambalo halisemwi ni kwamba hizo barabara zilizo chini ya kiwango zilijengwa chini ya usimamizi wa huyu mtukufu wa sasa a.k.a Jiwe anayesifiwa kwa kuleta maendeleo.
 
Hata Marekani, China, UK, German nk huwa mvua zikizidi zinaharibu miundombinu, Kenya sikhizi mvua hazinyeshi ndo maana mnajiona mnamiundombonu bora
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.

 
jambo ambalo halisemwi ni kwamba hizo barabara zilizo chini ya kiwango zilijengwa chini ya usimamizi wa huyu mtukufu wa sasa a.k.a Jiwe anayesifiwa kwa kuleta maendeleo.

ni kweli anafanya Makubwa.
 
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.

Hii ishu duniani kote tena hasa India ndo wanateseka sana harafu TZ mvua nyingi tofauti na Kenya , juzi kati hapo ilitokea Iran sasa hali hii huwez kuizuia na kama Kenya itaweza bc ndo itakua nchi ya kwanza Duniani.
 
Eti mvua kidgo, hvi kwa akili zako finyu mvua kidgo itoe mafuriko kama hayo? We jamaa huoni kama hii ni kitu isiozuilika mzee? Tangulini mtu akapigana na nature? Hiv hata habar huangaliagi? Uone USA China Japan wanavyokubwa na hzi majanga. Em kuwa na akili basi sio kila kitu upinzani tu
Sio kosa lake msameheni tu kosa la nchi yake kua na lana mpaka mvua wanaisikia tu hajawahi kuona mvua kubwa
 
Hutokea lakini sio kwa kiasi hiki cha Bongo kufungia mikoa muhimu, yaani wa kutoka au kwenda Arusha, Moshi na hata wanaotokea Nairobi wanakwama au kuelekezwa kwenye vijibarabara vya porini.
Kwenu hata reli inasombwa

IMG-20180113-WA0094.jpg


2a.jpg



Screenshot_2019-10-14 Haki Ngowi on Twitter(1).png
Screenshot_2019-10-14 Haki Ngowi on Twitter.png


Hicho kipande cha mto mkondoa ni historia, walishahamisha reli na kuweka gabion wall upande wa mto kama wahandisi wa Yapi Merkezi na TRC walivyoshauri. Na kwa taarifa tuu reli mpya inayojengwa itaukwepa mto kwa kupita chini ya mlima..
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these farces?

Why are you always vaunting for purchasing Airbuses which your citizens can't afford?
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?
 
Back
Top Bottom