Barabara za Bongo bana, yaani mvua kidogo inakwamisha watu kutokea mikoa mingi hata wa kutoka Nairobi wanakwama

Ni wajibu wangu kufurahia maendeleo ya nchi yangu,
Alafu mbona unachange gear hewani.
 
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.

Jiwe anaendelea kujenga barabara akiamini zinadumu milele, badala aimarishe kipato cha mwananchi mmoja mmoja na kurudisha nyumba za serikaali alizouza kwa bei chee
 
Wabongo si wana ndege 7. Kwanini wasipande hizo ndege? Au umasikini umewachapa KO mithili ya KO za Mayweather?
 
Ingekua we ndo raisi ungeweza kufanya inachokiongea hapa? Au unahisi raia mil 56 ni kakundi tu ka wahuni. Em tumia akili wew, muheshimiwa anaimarisha miundombinu ambayo itawasaidia wanainchi wote kwa ujumla mkuu.
Jiwe anaendelea kujenga barabara akiamini zinadumu milele, badala aimarishe kipato cha mwananchi mmoja mmoja na kurudisha nyumba za serikaali alizouza kwa bei chee
 
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.
jambo ambalo halisemwi ni kwamba hizo barabara zilizo chini ya kiwango zilijengwa chini ya usimamizi wa huyu mtukufu wa sasa a.k.a Jiwe anayesifiwa kwa kuleta maendeleo.
 
Hata Marekani, China, UK, German nk huwa mvua zikizidi zinaharibu miundombinu, Kenya sikhizi mvua hazinyeshi ndo maana mnajiona mnamiundombonu bora
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.

 
jambo ambalo halisemwi ni kwamba hizo barabara zilizo chini ya kiwango zilijengwa chini ya usimamizi wa huyu mtukufu wa sasa a.k.a Jiwe anayesifiwa kwa kuleta maendeleo.

ni kweli anafanya Makubwa.
 
Watz kila siku humu wanasifia madaraja yao na barabara, ila kwao mvua kidogo tu, maelfu ya watu kutokea mikoa tofauti wanaishia kukwama, huduma zote zinakwama.

Hii ishu duniani kote tena hasa India ndo wanateseka sana harafu TZ mvua nyingi tofauti na Kenya , juzi kati hapo ilitokea Iran sasa hali hii huwez kuizuia na kama Kenya itaweza bc ndo itakua nchi ya kwanza Duniani.
 
Sio kosa lake msameheni tu kosa la nchi yake kua na lana mpaka mvua wanaisikia tu hajawahi kuona mvua kubwa
 
Hutokea lakini sio kwa kiasi hiki cha Bongo kufungia mikoa muhimu, yaani wa kutoka au kwenda Arusha, Moshi na hata wanaotokea Nairobi wanakwama au kuelekezwa kwenye vijibarabara vya porini.
Kwenu hata reli inasombwa








Hicho kipande cha mto mkondoa ni historia, walishahamisha reli na kuweka gabion wall upande wa mto kama wahandisi wa Yapi Merkezi na TRC walivyoshauri. Na kwa taarifa tuu reli mpya inayojengwa itaukwepa mto kwa kupita chini ya mlima..
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these farces?

Why are you always vaunting for purchasing Airbuses which your citizens can't afford?
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?
 
Utafiti unaonesha Duniani kote ni 5% tu ya Watu wamewahi safiri kwa ndege,
Wewe uko kwenye 95%
Relax, si kila mtu atapanda ndege.
Where did you get these faeces?

Why are you always vaunting for purchasing airbuses which your citizens can't afford?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…