Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Ona ngoma hii huko kigamboniSasa hii ndo nini? Zimezidiwa hata barabara wakati wa dola ya rumi maelfu ya miaka.
View attachment 2940832
allypipi the Roman emperor
Hii ni dharau, ni nini hiki? Mamlaka husika ziingilieHapa gari ndogo haiwezi kupita maana itaharibika kabisa. Mkandarasi kama huyu inakuwaje anapewaa kazi na kuharibu barabara.
Any way mzee baba alishaondoka acha mjipigie tu.
Bara bara za zima moto....bora liendeHapa gari ndogo haiwezi kupita maana itaharibika kabisa. Mkandarasi kama huyu inakuwaje anapewaa kazi na kuharibu barabara.
Any way mzee baba alishaondoka acha mjipigie tu.
Barabara ipo wapi hapo? mi i naona mtaro wa kutoa maji barabaraniHapa gari ndogo haiwezi kupita maana itaharibika kabisa. Mkandarasi kama huyu inakuwaje anapewaa kazi na kuharibu barabara.
Any way mzee baba alishaondoka acha mjipigie tu.
Kalemani mlikuwa mnamuita chapa kaziHapa gari ndogo haiwezi kupita maana itaharibika kabisa. Mkandarasi kama huyu inakuwaje anapewaa kazi na kuharibu barabara.
Any way mzee baba alishaondoka acha mjipigie tu.