Barabara za Dar zinafanana na za sehemu gani nyingine duniani?

Barabara za Dar zinafanana na za sehemu gani nyingine duniani?

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Tuseme ukwel kabla mambo hayajaharibika sana.

Kuna muendelezo wa vitu ambavyo pengine baadae vikaleta matatizo makubwa sana.

Wakati wenzetu wamepanua njia zao kwenda kwenye 6 to 8 lanes, sisi tunatumia millions of USD kujenga highly ineffective highways.

Kuna watu ukiwauliza watachekelea lakini baadae akitokea kiongozi mjuba akanza kupiga watu pingu tutalia na kusaga meno.

Hizo chochoro lengo lake Nini ikiwa idadi ya magari Binafsi yanaongezeka Kila uchwao.

Nimeacha kudiscuss Jiji zima la Dar linafanana na Jiji Gani jingine duniani nikona huko ni mbaali na majibu hakuna.
JFYI.. Dar ndio Jiji pekee duniani halina City gardens.. (usiniambie Mbazi mmoja maana pameshazungushwa mabati bad not available for public consumption.

Sasaivi Dar ukitaka kwenda sehem ya kukaa na Ku relax ni highly expensive, na lazima iwe Bar au Restaurants.

Beach zote zina mabanda ya mama ntilie.

Tuachane na hayo.

Hizi barabara nyembamba za mwendo Kasi Jiji zima ni kwa maslahi ya nani na time copy wapi hii style?
 

Attachments

  • 5ab2a351a3a13441ee4ccc5e7d52db59.mp4
    3.7 MB
Tuseme ukwel kabla mambo hayajaharibika sana.

Kuna muendelezo wa vitu ambavyo pengine baadae vikaleta matatizo makubwa sana..

Wakati wenzetu wamepanua njia zao kwenda kwenye 6 to 8 lanes, sisi tunatumia millions of USD kujenga highly ineffective highways .

Kuna watu ukiwauliza watachekelea lakini baadae akitokea kiongozi mjuba akanza kupiga watu pingu tutalia na kusaga meno.

Hizo chochoro lengo lake Nini ikiwa idadi ya magari Binafsi yanaongezeka Kila uchwao.

Nimeacha kudiscuss Jiji zima la Dar linafanana na Jiji Gani jingine duniani nikona huko ni mbaali na majibu hakuna.
JFYI.. Dar ndio Jiji pekee duniani halina City gardens.. ( usiniambie Mbazi mmoja maana pameshazungushwa mabati bad not available for public consumption..

Sasaivi Dar ukitaka kwenda sehem ya kukaa na Ku relax ni highly expensive, na lazima iwe Bar au Restaurants.
Beach zote zina mabanda ya mama ntilie...

Tuachane na hayo...

Hizi barabara nyembamba za mwendo Kasi Jiji zima ni kwa maslahi ya nani na time copy wapi hii style?
Kwa maslahi ya chama😂
 
Tuseme ukwel kabla mambo hayajaharibika sana.

Kuna muendelezo wa vitu ambavyo pengine baadae vikaleta matatizo makubwa sana..

Wakati wenzetu wamepanua njia zao kwenda kwenye 6 to 8 lanes, sisi tunatumia millions of USD kujenga highly ineffective highways .

Kuna watu ukiwauliza watachekelea lakini baadae akitokea kiongozi mjuba akanza kupiga watu pingu tutalia na kusaga meno.

Hizo chochoro lengo lake Nini ikiwa idadi ya magari Binafsi yanaongezeka Kila uchwao.

Nimeacha kudiscuss Jiji zima la Dar linafanana na Jiji Gani jingine duniani nikona huko ni mbaali na majibu hakuna.
JFYI.. Dar ndio Jiji pekee duniani halina City gardens.. ( usiniambie Mbazi mmoja maana pameshazungushwa mabati bad not available for public consumption..

Sasaivi Dar ukitaka kwenda sehem ya kukaa na Ku relax ni highly expensive, na lazima iwe Bar au Restaurants.
Beach zote zina mabanda ya mama ntilie...

Tuachane na hayo...

Hizi barabara nyembamba za mwendo Kasi Jiji zima ni kwa maslahi ya nani na time copy wapi hii style?
Mwendo kasi una maslahi ya watu.
 
C Barabara tu yaan kiufupi Kila kitu kipo vuluvulu..na Kuna watu watakuja hapa wakuambie mama anaupiga mwingii kisa wamekula wameshibaaa...
 
Ccm ndiyo chama pekee chakavu duniani ambacho bado kipo madarakani....hawa watu wameshazeeka Akili hawawezi kuja na mawazo ya kisasa
 
Umeandika ukweli mtupu ukifikiria hii barabara ya morogoro mkapa alivyokuwa raisi kaibomoa akajenga, kikwete kaibomoa kaijenga, magufuli kaibomoa kaijenga, na sasa samia anaibomoa na kuijenga .
Kama.nchi tunakuwa hatuna malengo ya muda mrefu
 
Jiji la Dar kwa upande wa miundo mbinu ya barabara Bado sana, Lina safari ndefu.

Jiji zima barabara ya maana ni ile ya Magufuli terminal to kibaha/morogoro road 🛣️ Tena km 19.

Inashangaza kwa barabara kama ya kilwa na
ile ya airport(gmboto) walipoamua kujenga mwendokasi katikati,Huku pembeni wamejenga lane mbili kama zamani,Tena kwa kilwa road zinaishia rangi tatu na ni barabara mpya. Wakati huo watu wanazidi kununua maeneo na kujenga hadi wilaya ya mkursnga Huku wakifanya kazi dar. Wakati gongo la mboto watu wanazidi kusogea wilaya ya kisarawe!!

Mtu unaishia kujiuliza hivi hii miradi ya ujenzi wa barabara kwa nini serikali usije na mpango wa vision ya miaka 100 ikajenga lanes za kutosha angalau Tano Kila upande kwa hizi barabara kubwa?

Matokeo yake unakuta Kila baada ya miaka miwili unasikia Kuna ujenzi kwenye barabara hiyo hiyo moja.

Sisiem sijui Wana shida Gani Hawa watu.
 
C Barabara tu yaan kiufupi Kila kitu kipo vuluvulu..na Kuna watu watakuja hapa wakuambie mama anaupiga mwingii kisa wamekula wameshibaaa...
Hao wa mama anaupiga mwingi siyo kwamba wanampenda,ila wanakomba asali sana na hakuna wa kuwakataza.

Hawa Kuna Luka na choice variable humu ndani usifikiri wanafanya kazi ya kusifu Bure mkuu. Hawa watu wameshafikia hatua ya kutoboa kibuyu cha asali Huku wametegesha mirija.

Ukiwaambia mama hafai na kutekwa utatekwa.
 
Barabara zetu zilivyojengwa na namna zinavyoendelea kujengwa unaweza kuzifananisha pasi na shaka na barabara za Burundi.

Tanzania na Burundi kwenye miundombinu ya barabara katika ukanda huu wa Afrika Mashariki hatupishani kabisa, tunanyang'anyana namba za mwisho mwisho kwenye ranking halisi.
 
Tuseme ukwel kabla mambo hayajaharibika sana.

Kuna muendelezo wa vitu ambavyo pengine baadae vikaleta matatizo makubwa sana.

Wakati wenzetu wamepanua njia zao kwenda kwenye 6 to 8 lanes, sisi tunatumia millions of USD kujenga highly ineffective highways.

Kuna watu ukiwauliza watachekelea lakini baadae akitokea kiongozi mjuba akanza kupiga watu pingu tutalia na kusaga meno.

Hizo chochoro lengo lake Nini ikiwa idadi ya magari Binafsi yanaongezeka Kila uchwao.

Nimeacha kudiscuss Jiji zima la Dar linafanana na Jiji Gani jingine duniani nikona huko ni mbaali na majibu hakuna.
JFYI.. Dar ndio Jiji pekee duniani halina City gardens.. (usiniambie Mbazi mmoja maana pameshazungushwa mabati bad not available for public consumption.

Sasaivi Dar ukitaka kwenda sehem ya kukaa na Ku relax ni highly expensive, na lazima iwe Bar au Restaurants.

Beach zote zina mabanda ya mama ntilie.

Tuachane na hayo.

Hizi barabara nyembamba za mwendo Kasi Jiji zima ni kwa maslahi ya nani na time copy wapi hii style?
Sio Dar tu Majiji ya Tanzania ni ujinga mtupu, ni full Aibu
 
Barabara zetu zilivyojengwa na namna zinavyoendelea kujengwa unaweza kuzifananisha pasi na shaka na barabara za Burundi.

Tanzania na Burundi kwenye miundombinu ya barabara katika ukanda huu wa Afrika Mashariki hatupishani kabisa, tunanyang'anyana namba za mwisho mwisho kwenye ranking halisi.
Burundi? Seriously 😂 😂 😂
 
Umeandika ukweli mtupu ukifikiria hii barabara ya morogoro mkapa alivyokuwa raisi kaibomoa akajenga, kikwete kaibomoa kaijenga, magufuli kaibomoa kaijenga, na sasa samia anaibomoa na kuijenga .
Kama.nchi tunakuwa hatuna malengo ya muda mrefu
Unahara tu, barabara hiyo hupanuliwa kila awamu, samia anaongeza lane nne,habomoi
 
Tuseme ukwel kabla mambo hayajaharibika sana.

Kuna muendelezo wa vitu ambavyo pengine baadae vikaleta matatizo makubwa sana.

Wakati wenzetu wamepanua njia zao kwenda kwenye 6 to 8 lanes, sisi tunatumia millions of USD kujenga highly ineffective highways.

Kuna watu ukiwauliza watachekelea lakini baadae akitokea kiongozi mjuba akanza kupiga watu pingu tutalia na kusaga meno.

Hizo chochoro lengo lake Nini ikiwa idadi ya magari Binafsi yanaongezeka Kila uchwao.

Nimeacha kudiscuss Jiji zima la Dar linafanana na Jiji Gani jingine duniani nikona huko ni mbaali na majibu hakuna.
JFYI.. Dar ndio Jiji pekee duniani halina City gardens.. (usiniambie Mbazi mmoja maana pameshazungushwa mabati bad not available for public consumption.

Sasaivi Dar ukitaka kwenda sehem ya kukaa na Ku relax ni highly expensive, na lazima iwe Bar au Restaurants.

Beach zote zina mabanda ya mama ntilie.

Tuachane na hayo.

Hizi barabara nyembamba za mwendo Kasi Jiji zima ni kwa maslahi ya nani na time copy wapi hii style?
Maccm ni janga la kitaifa! Wizi na ufisadi TU!
 
Back
Top Bottom