Barabara za mitaani jijini Arusha ni afadhali za mkoa wa Singida

Barabara za mitaani jijini Arusha ni afadhali za mkoa wa Singida

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Jiji la Arusha linahitaji bajeti kubwa sana ili kujenga barabara hasa za mitaani

Hii ni kutokana na aina ya ardhi ili ujenge barabara ni lazima uhamishe ule udongo wa eneo husika na kuleta udongo ule mgumu,

ikifika kiangazi vumbi ikifika masika ndo balaa zaidi.

Sina uzoefu na gharama za ujenzi wa barabara lakini kwa kuisia tu kujenga kilometa tano ya barabara za jiji la Arusha ni sawa na kujenga kilometa 15 kwa mkoa wa Singida.
 
jiji la arusha linahitaji bajeti kubwa sana ili kujenga barabara hasa za mitaani

hii ni kutokana na aina ya ardhi ili ujenge barabara ni lazima uhamishe ule udongo wa eneo husika na kuleta udongo ule mgumu,

ikifika kiangazi vumbi ikifika masika ndo balaa zaidi

sina uzoefu na gharama za ujenzi wa barabara lakini kwa kuisia tu kujenga kilometa tano ya barabara za jiji la arusha ni sawa na kujenga kilometa 15 kwa mkoa wa singida
Hatari sana
 
Jiji limekaa kisiasa kuliko maelezo ase. 2025 Gambo utatueleza nini sijui...
 
Back
Top Bottom