Organic Live Food
Senior Member
- Aug 2, 2013
- 127
- 236
- Thread starter
- #21
😁😁 hapana kwakweliNampongeza Rais Samia kwa maendeleo hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 hapana kwakweliNampongeza Rais Samia kwa maendeleo hayo
Shirima tundaKILI YANG'ARAView attachment 3153511
Huo mloma nao haueleweki mara barafu inataka kuisha mara imerudi full tena yaani ni shida..KILI YANG'ARAView attachment 3153511
Hiyo Barafu ni sababu ya mvuaa ,ngoja kua lipigeAthari ya mabadiliko ya tabia nchi ilisababisha kupungua kwa barafu. Hali ya hewa hubadilika kulingana na misimu ya nyakati, huu ni wakati wa barafu nyingi mlimani
😀😀Ngoja aje Lucas mashambwa aseme barafu juu ya mlima ni salamu za mama kizimkazi 🤣🤣
😂😂😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣Atabubujikwa MachoziNgoja aje Lucas mashambwa aseme barafu juu ya mlima ni salamu za mama kizimkazi 🤣🤣
Mkuu joto chini huku, mlimani hakuna joto kuna baridi sana.Na joto hili lote? au hii picha ya lini
Wazungu: What a nice view🥹
KiboshoMaeneo gani enzi hizo
Atasema mlima unabubujikwa na barafu za furaha....kweli mama ni chaguo Mungu.....Ngoja aje Lucas mashambwa aseme barafu juu ya mlima ni salamu za mama kizimkazi 🤣🤣
🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣Atabubujikwa Machozi
🤣🤣🤣Atasema mlima unabubujikwa na barafu za furaha....kweli mama ni chaguo Mungu.....
Kama una nyuzi za kuisema serikali humu, basi kwisha habari yako. Siyo kwa kutoa location zote hizo.Nilipiga Jana asubuhi na leo theluji iko vilevile. Usiku wakuamkia jana mvua ilinyesha kidogo kuamka asubuhi ngoma imejaa barafu
Ila wabongoWazungu: What a nice view🥹
Wabongo: Kwa mfano pale ile barafu iyeyuke huku tulipo si patakuwa bahari kabisa, au ikute kuna volkano imelala inasubiria siku ya mwisho ituunguze vizuri.