Yaan km mimi, ht huwa sielewei anaimba vitu gani.Sijawahi hata kumkubali hata kwa bahati mbaya!!
Yule dogo inaelekea ana hasira sana na ndugu yake, Yaani anamchana jamaa pamoja na demu wake mpaka wazee wa SHILAWADU wenyewe wamepata mshtukao, ile shoo inaendelea wiki ijayo sijui itakuajeMi nimeangalia Clouds Tv jana (ijumaa) kipindi cha weekend chart show (shilawadu) kuna ndugu yake katoa ya moyoni! Kamnanga sana jamaa kuwa ana roho mbaya, mchoyo, hana brain
Mugabe alisema, mtoto wa kike akikimbia shule, sehemu zake za siri ndizo zitakazoumia zaidi......Baada ya baraka da prince kutupitia picha mpenzi wake kwenye instagram msanii mwenzake Msami alicomment kwa kumtania lakini baraka alipandwa na harisa na kumtukana mwenzake
View attachment 418573
Wanaume wa dar waoga hawawezi kumchapa! [emoji12] [emoji12] [emoji12]Kila nikipita mitandaon nakutana na
Baraka kamtukana LINEX
Baraka kamtukana BLUE
Baraka kamtukana Stani bakora
Baraka kamtukana msami
Si mkachape Fimbo? Kila siku kanatukana mnakaangalia tuuuuu why?