[emoji205] [emoji205] [emoji205][emoji23] [emoji23] asante
Nasikia sio mwanza. Huyu anatokea visiwani huko ndani karibia na uganda. Kwakifupi ni mganda. Tanzania hatuna gene za vile aiseYule dogo mshamba kichiz na sjui katoka Mwanza ya wap hyu [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Inaezekana na Kaliokota Fenes chin ya Mwembe kale kajamaa inabd kashukur kila leo.Eti inasemekena eti Naj ndo anampa kiburi....
Inasemekana lakini[emoji124]
Hivi kumbe kile kitoto kinamtia wehu sana eh![emoji15] [emoji15] [emoji15]Labda aachane na Naj ndo atakaa kimya.
Ha ha dogo atakula makofi. Huyu huyu ney wa mitego????. Dogo anacheza na [emoji91] [emoji91]Kamtukana na Ney pia...Ushamba mzigo.
NdioHivi kumbe kile kitoto kinamtia wehu sana eh![emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji23] naanza kui apply usiku huuMsamiati mpya...
Ushamba = UBaraka
BAKITA chukueni hiyo!
Hapo wamekutana mjini tu na huyo dem ni hivyo, je ingekuwa yeye ndio ameshangilia msimbazi kwa huyo dem sijui ingekuajeHivi hua anaimbaga nn mana simuelewag hata anaimbaga nini alafu hii tabia ya kuonesha mpenz wako mitandaoni ili iweje au tujue ana dem mkali ...mxieeeew!!!! Rubish in rubish pit.
Nahisi wasukuma wana tatizo mana hata mkulu nae ni hivyo hivyo!Baraka de prince huwa anakurupukaga saannaa
Naendelea kusisitiza ni mjaluoNahisi wasukuma wana tatizo mana hata mkulu nae ni hivyo hivyo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hajawajua mabinti huyu. Siku akipigwa kibuti atalia kama mbwa mwizi. Kwanza nasikia mshakaji hakai na masela afu huyo binti ndo alimtongoza jamaaEti inasemekena eti Naj ndo anampa kiburi....
Inasemekana lakini[emoji124]
Kumbe alitongozwa basi ndo maana....[emoji23] [emoji23] [emoji23] hajawajua mabinti huyu. Siku akipigwa kibuti atalia kama mbwa mwizi. Kwanza nasikia mshakaji hakai na masela afu huyo binti ndo alimtongoza jamaa
huyu hana akilibKila nikipita mitandaon nakutana na
Baraka kamtukana LINEX
Baraka kamtukana BLUE
Baraka kamtukana Stani bakora
Baraka kamtukana msami
Si mkachape Fimbo? Kila siku kanatukana mnakaangalia tuuuuu why?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dogo mwenyew mweusi kama tarmac road
Naendelea kusisitiza ni mjaluo
[emoji23] nasema hivi ni mjaluo...bwanangu Msukuma hana mambo ka hayo.[emoji23][emoji23][emoji23] hapana ni msukuma