Ukiangalia namna wanavyopangwa Watangazaji wa Azam TV utaona kuwa Baraka Mpenja ndiyo Mtangazaji namba 1 hivyo hupewa mechi nyingi kubwa au zile zenye mvuto. Utaratibu huu pia upo kwenye Channel kubwa za Kimataifa kama Sky Sports, BT Sports pamoja na ITV ( Uingereza) ndiyo maana Peter Drury hupewa mechi nyingi kubwa kule BT Sports.
Baraka Mpenja sio Mtangazaji mbaya ila anapenda sana kuongea mambo yasiyohusiana na Soka wakati anatangaza. Baadhi ya mapungufu yake ni kama ifuatavyo.
1. Kupenda kutaja baba yake anamsikiliza. Hii sio pointi. Ingekuwa kila Mtangazaji katika kila kipindi anamtaja Baba yake au Mama yake kwenye kila mechi/kila kipindi ingekuwa too boring. Aache hayo na kupenda kutaja kina Lawina Nsonda au wanamlipa nyuma ya pazia?
2. Akiona Mashabiki wanawake utamsikia Mashallah maua maua, huku akicheka cheka hovyo. Hii ni tabia mbaya. Inamuonesha sio mtu mwenye maadili lakini ni very unprofessional. Wengine ni wake za watu wapo uwanjani , hayo maneno anayotamka hayana connotation nzuri hata kidogo. Aache awe focused na kilichompeleka kutangaza.
3. Kutumia lugha/ maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Utasikia nanunua pasi moja milioni moja, pasi milioni mbili, milioni kumi. Hayo maneno hayana mantiki. Ajikite kutaja idadi ya pasi na ubora wa timu sio kutaja figures zisizo make sense.
4. Aache kutaja masuala ya Siasa na Vyama akitangaza mpira. Kwenye mechi na Viwanja hata kama kuna CCM aachane na hayo maneno, hajui Wangapi hawana affiliation na hicho chama na wasingependa kukisikia.
Nasema ajifunze kwa Gharib Mzinga huyu ni very composed commentator. Tunaona kule Bundesliga, alivyotangaza AFCON 2021 na hata anavyotangaza mechi za CAF unaona alivyotulia.
Anajua kueleza matukio yaliyopo uwanjani, hatoki nje ya matangazo na hana lugha zisizofaa. Bahati mbaya naona Gharib hatangazi mechi za Ligi ya NBC but he is one of the best pale Azam TV. Mpenja ajitahidi kumuiga huyu mwenziwe.
Baraka Mpenja sio Mtangazaji mbaya ila anapenda sana kuongea mambo yasiyohusiana na Soka wakati anatangaza. Baadhi ya mapungufu yake ni kama ifuatavyo.
1. Kupenda kutaja baba yake anamsikiliza. Hii sio pointi. Ingekuwa kila Mtangazaji katika kila kipindi anamtaja Baba yake au Mama yake kwenye kila mechi/kila kipindi ingekuwa too boring. Aache hayo na kupenda kutaja kina Lawina Nsonda au wanamlipa nyuma ya pazia?
2. Akiona Mashabiki wanawake utamsikia Mashallah maua maua, huku akicheka cheka hovyo. Hii ni tabia mbaya. Inamuonesha sio mtu mwenye maadili lakini ni very unprofessional. Wengine ni wake za watu wapo uwanjani , hayo maneno anayotamka hayana connotation nzuri hata kidogo. Aache awe focused na kilichompeleka kutangaza.
3. Kutumia lugha/ maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Utasikia nanunua pasi moja milioni moja, pasi milioni mbili, milioni kumi. Hayo maneno hayana mantiki. Ajikite kutaja idadi ya pasi na ubora wa timu sio kutaja figures zisizo make sense.
4. Aache kutaja masuala ya Siasa na Vyama akitangaza mpira. Kwenye mechi na Viwanja hata kama kuna CCM aachane na hayo maneno, hajui Wangapi hawana affiliation na hicho chama na wasingependa kukisikia.
Nasema ajifunze kwa Gharib Mzinga huyu ni very composed commentator. Tunaona kule Bundesliga, alivyotangaza AFCON 2021 na hata anavyotangaza mechi za CAF unaona alivyotulia.
Anajua kueleza matukio yaliyopo uwanjani, hatoki nje ya matangazo na hana lugha zisizofaa. Bahati mbaya naona Gharib hatangazi mechi za Ligi ya NBC but he is one of the best pale Azam TV. Mpenja ajitahidi kumuiga huyu mwenziwe.