Baraka Mpenja ana mengi ya kujifunza kutoka kwa Gharib Mzinga

Baraka Mpenja ana mengi ya kujifunza kutoka kwa Gharib Mzinga

Gharib mzinga alikuwa vizuri tangu tupo shule pale mahiwa high school Lindi, aliupenda Mpira kuliko chochote..Ilikuwa kabla hatujaingia class asubuhi tunakaa nje huku tunaota jua la asubuhi tunabishana maswala ya Mpira na yeye alikuwa anajua kuuchambua na ana kipaji cha kuhadithia matukio hata ya miaka ya 90

Kupitia yeye nimeamini ukipenda kitu na kuamua kukipambania lazima ufanikiwe.Kila mechi anayotangaza namcheki na kumtia moyo apambane zaidi,ili awe mbali zaidi..napenda mafanikio yake
Ulikuwa white house au ubalozin?all in all vp Tarimo,Mussa.
 
Bila baraka mpenja ungemjua
Daktari wa mpira
Mwamba wa Lusaka
Soft touch
Mukoko tanombe mwalimu
Screen protector

Kiufupi mpenja ni mshereheshaji na mzinga ni mzee wa fact ila mpenja ni the best.
 
Namkubali Sana sauti ya radi anakua kunogesha utangazaje wake sambamba na na watangazaji wa Kenya mfano Diblo Mwana wa Kaberia, Petera Kirumba, Toldo kuria, George Waka, Thorome Thrike, Hassani Mwana wa Alli, hakika ukiwasikiliza lazima uenjoy kabumbu wanajua Sana kukoleza .
 
Hapo umesema kwa upande wako tu, mi namkubali Mpenja sababu ya hayo hayo ambayo we huyapendi
 
Gharib mzinga alikuwa vizuri tangu tupo shule pale mahiwa high school Lindi, aliupenda Mpira kuliko chochote..Ilikuwa kabla hatujaingia class asubuhi tunakaa nje huku tunaota jua la asubuhi tunabishana maswala ya Mpira na yeye alikuwa anajua kuuchambua na ana kipaji cha kuhadithia matukio hata ya miaka ya 90

Kupitia yeye nimeamini ukipenda kitu na kuamua kukipambania lazima ufanikiwe.Kila mechi anayotangaza namcheki na kumtia moyo apambane zaidi,ili awe mbali zaidi..napenda mafanikio yake
Jamaa namkubali sana yule sana sana sana.
 
Back
Top Bottom