Huyu wa Unguja ananiboa kabisa kabisa na hunifanya nihame chaneli nikimsikia. Kinachonikera ni hicho cha kumuiga Hilary, ajifunze kusimama yeye mwenyewe na si kipitia bahati ya mwengine.Gharib mzinga, Pascal kabombe na alwatan ngoda ndio watangazaji wanaonivutia kwangu Mimi,na kuna yule jamaa anasauti kama ya Charles Hilary kule Zanzibar jina limenikimbia kidogo.
Ila ukitaka kupata ladha ya utangazaji halisi wa mpira msikilize Enock Bwigane na Jesse John.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
JAMANI NJOENI , MPENJA MWENYEWE UYU HAPA 👆👆😂😂😂😂😂Mm nimechangi sio kwa kuangalia galada,nimeangalia tone ya author ni sadness and grief. Yanga ndio timu yenye wanawake wabaya na wasio na mvuto,sijajua tatizo vijora vya jezi zao au kitu gani ila hata sura zao ni chafu na Mpenja hajawahi kuwasifia, tofauti na Simba yenye mahuraini na warembo wa world class.
Lakini pia Yanga na mashabiki wao ndio watu wa kulia lia kwa hoja mfu kama hii.
Mpenja akitangaza kama mzungu wao anavyotangaza game basi angekuja na mada MPENJA ACHA KUIGA,TENGENEZA UNIQUE YAKO e.t.c. Uzi huu ni wakiduanzi na hauna afya kwa mustaghbari wa soka letu hasa waandishi na watangazaji. Mpenja amekataa kumtumikia kafiri GSM na wamebaki na bubs tu
ww umenichekesha mm nimekuwa baraka tena🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔JAMANI NJOENI , MPENJA MWENYEWE UYU HAPA 👆👆😂😂😂😂😂
Ukiangalia namna wanavyopangwa Watangazaji wa Azam TV utaona kuwa Baraka Mpenja ndiyo Mtangazaji namba 1 hivyo hupewa mechi nyingi kubwa au zile zenye mvuto. Utaratibu huu pia upo kwenye Channel kubwa za Kimataifa kama Sky Sports, BT Sports pamoja na ITV ( Uingereza) ndiyo maana Peter Drury hupewa mechi nyingi kubwa kule BT Sports.
Baraka Mpenja sio Mtangazaji mbaya ila anapenda sana kuongea mambo yasiyohusiana na Soka wakati anatangaza. Baadhi ya mapungufu yake ni kama ifuatavyo.
1. Kupenda kutaja baba yake anamsikiliza. Hii sio pointi. Ingekuwa kila Mtangazaji katika kila kipindi anamtaja Baba yake au Mama yake kwenye kila mechi/kila kipindi ingekuwa too boring. Aache hayo na kupenda kutaja kina Lawina Nsonda au wanamlipa nyuma ya pazia?
2. Akiona Mashabiki wanawake utamsikia Mashallah maua maua, huku akicheka cheka hovyo. Hii ni tabia mbaya. Inamuonesha sio mtu mwenye maadili lakini ni very unprofessional. Wengine ni wake za watu wapo uwanjani , hayo maneno anayotamka hayana connotation nzuri hata kidogo. Aache awe focused na kilichompeleka kutangaza.
3. Kutumia lugha/ maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Utasikia nanunua pasi moja milioni moja, pasi milioni mbili, milioni kumi. Hayo maneno hayana mantiki. Ajikite kutaja idadi ya pasi na ubora wa timu sio kutaja figures zisizo make sense.
4. Aache kutaja masuala ya Siasa na Vyama akitangaza mpira. Kwenye mechi na Viwanja hata kama kuna CCM aachane na hayo maneno, hajui Wangapi hawana affiliation na hicho chama na wasingependa kukisikia.
Nasema ajifunze kwa Gharib Mzinga huyu ni very composed commentator. Tunaona kule Bundesliga, alivyotangaza AFCON 2021 na hata anavyotangaza mechi za CAF unaona alivyotulia.
Anajua kueleza matukio yaliyopo uwanjani, hatoki nje ya matangazo na hana lugha zisizofaa. Bahati mbaya naona Gharib hatangazi mechi za Ligi ya NBC but he is one of the best pale Azam TV. Mpenja ajitahidi kumuiga huyu mwenziwe.
Basi yupo kwenye PS3 😄😄Peter Drury hayupo BT sport..
Kweli kila mtu na mtuwe,Ukiangalia namna wanavyopangwa Watangazaji wa Azam TV utaona kuwa Baraka Mpenja ndiyo Mtangazaji namba 1 hivyo hupewa mechi nyingi kubwa au zile zenye mvuto. Utaratibu huu pia upo kwenye Channel kubwa za Kimataifa kama Sky Sports, BT Sports pamoja na ITV ( Uingereza) ndiyo maana Peter Drury hupewa mechi nyingi kubwa kule BT Sports.
Baraka Mpenja sio Mtangazaji mbaya ila anapenda sana kuongea mambo yasiyohusiana na Soka wakati anatangaza. Baadhi ya mapungufu yake ni kama ifuatavyo.
1. Kupenda kutaja baba yake anamsikiliza. Hii sio pointi. Ingekuwa kila Mtangazaji katika kila kipindi anamtaja Baba yake au Mama yake kwenye kila mechi/kila kipindi ingekuwa too boring. Aache hayo na kupenda kutaja kina Lawina Nsonda au wanamlipa nyuma ya pazia?
2. Akiona Mashabiki wanawake utamsikia Mashallah maua maua, huku akicheka cheka hovyo. Hii ni tabia mbaya. Inamuonesha sio mtu mwenye maadili lakini ni very unprofessional. Wengine ni wake za watu wapo uwanjani , hayo maneno anayotamka hayana connotation nzuri hata kidogo. Aache awe focused na kilichompeleka kutangaza.
3. Kutumia lugha/ maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Utasikia nanunua pasi moja milioni moja, pasi milioni mbili, milioni kumi. Hayo maneno hayana mantiki. Ajikite kutaja idadi ya pasi na ubora wa timu sio kutaja figures zisizo make sense.
4. Aache kutaja masuala ya Siasa na Vyama akitangaza mpira. Kwenye mechi na Viwanja hata kama kuna CCM aachane na hayo maneno, hajui Wangapi hawana affiliation na hicho chama na wasingependa kukisikia.
Nasema ajifunze kwa Gharib Mzinga huyu ni very composed commentator. Tunaona kule Bundesliga, alivyotangaza AFCON 2021 na hata anavyotangaza mechi za CAF unaona alivyotulia.
Anajua kueleza matukio yaliyopo uwanjani, hatoki nje ya matangazo na hana lugha zisizofaa. Bahati mbaya naona Gharib hatangazi mechi za Ligi ya NBC but he is one of the best pale Azam TV. Mpenja ajitahidi kumuiga huyu mwenziwe.
Ghalib ndio anajua kutangaza mpiraUkiangalia namna wanavyopangwa Watangazaji wa Azam TV utaona kuwa Baraka Mpenja ndiyo Mtangazaji namba 1 hivyo hupewa mechi nyingi kubwa au zile zenye mvuto. Utaratibu huu pia upo kwenye Channel kubwa za Kimataifa kama Sky Sports, BT Sports pamoja na ITV ( Uingereza) ndiyo maana Peter Drury hupewa mechi nyingi kubwa kule BT Sports.
Baraka Mpenja sio Mtangazaji mbaya ila anapenda sana kuongea mambo yasiyohusiana na Soka wakati anatangaza. Baadhi ya mapungufu yake ni kama ifuatavyo.
1. Kupenda kutaja baba yake anamsikiliza. Hii sio pointi. Ingekuwa kila Mtangazaji katika kila kipindi anamtaja Baba yake au Mama yake kwenye kila mechi/kila kipindi ingekuwa too boring. Aache hayo na kupenda kutaja kina Lawina Nsonda au wanamlipa nyuma ya pazia?
2. Akiona Mashabiki wanawake utamsikia Mashallah maua maua, huku akicheka cheka hovyo. Hii ni tabia mbaya. Inamuonesha sio mtu mwenye maadili lakini ni very unprofessional. Wengine ni wake za watu wapo uwanjani , hayo maneno anayotamka hayana connotation nzuri hata kidogo. Aache awe focused na kilichompeleka kutangaza.
3. Kutumia lugha/ maneno yasiyo na kichwa wala miguu. Utasikia nanunua pasi moja milioni moja, pasi milioni mbili, milioni kumi. Hayo maneno hayana mantiki. Ajikite kutaja idadi ya pasi na ubora wa timu sio kutaja figures zisizo make sense.
4. Aache kutaja masuala ya Siasa na Vyama akitangaza mpira. Kwenye mechi na Viwanja hata kama kuna CCM aachane na hayo maneno, hajui Wangapi hawana affiliation na hicho chama na wasingependa kukisikia.
Nasema ajifunze kwa Gharib Mzinga huyu ni very composed commentator. Tunaona kule Bundesliga, alivyotangaza AFCON 2021 na hata anavyotangaza mechi za CAF unaona alivyotulia.
Anajua kueleza matukio yaliyopo uwanjani, hatoki nje ya matangazo na hana lugha zisizofaa. Bahati mbaya naona Gharib hatangazi mechi za Ligi ya NBC but he is one of the best pale Azam TV. Mpenja ajitahidi kumuiga huyu mwenziwe.
Nimeamini kwenye msafara wa mamba na kenge wamo.Mm ni seme tu utopolo acheni malalamiko kwa mpira wetu. Mmeanza na TFF,mkaenda kwa marefa na sasa kwa watangazaji. Mpenja anapotangaza mpira huwa anatafsiri sana vitendo vya mchezaji uwanjani. Chukulia anaposema "Mpira ni kazi rahisi sana kwa kumuangalia Chama anavyocheza" kauli hii wengi waliunganisha na namna Nchimbi anavyohangaika uwanjani na kuona Mpenja anawasema wachezaji wa Yanga. Hata sasa namna Yanga wanavyokimbizana uwanjani utazani ni vita fulani au hurricane na storm kubwa sana inakuja,wachezaji hawana utulivu,paniki,kelele,na ujinga mwingi uwanjani. Eti mayele mwenye goli 6 kwao ndio habari ya mjini na ni level nyingine huku ameachana goli moja tu na kagere. Mayele atazidiwa magoli na Kagere na Boko.