Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu huyu ndiyo bora kuliko wote ajabu hazungumzwi kabisa na wadau.Gharibu Mzinga jamaa anaifanya assignment yake vizuri sana, anaupa matukio ya miaka iliyopita, história ya team na mchezaji mmoja mmoja. Bundesliga hana mpinzani kule na huku NPL ashaanza kuingia taratibu
Uliangalia mechi ya Ureno na Senegal, Ronaldo alivofunga penati? Upete alishangilia na kumsifia kama vile ndo binadamu wa kwanza kufunga goliIla wengi wanaomchukia Upete ni mashabiki wa Ronaldo
Sasa wengi wanaomchukia Upete sababu kuu ni kumsifia sana MessiUliangalia mechi ya Ureno na Senegal, Ronaldo alivofunga penati? Upete alishangilia na kumsifia kama vile ndo binadamu wa kwanza kufunga goli
Huyo Upete alizingua Mechi ya Fainali, alikuwa anasifia Upande mmoja.Sasa wengi wanaomchukia Upete sababu kuu ni kumsifia sana Messi
kuna uzi humu ulianzishwa upitie ukiupata utanipa jibu.
Mahaba hayajifichi.Huyo Upete alizingua Mechi ya Fainali, alikuwa anasifia Upande mmoja.
Mi nilidhani atakuwa jamaa kama Dulla wa planet bongo kumbe ni mtu fulani tu kama Dokta Msukuma
Huyu jamaa ni mtoto wa katekista na mama yake anaimba kwaya..... Amka Mbape ucheze mpira, ni shida zako tu!
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
HahahahahEt "pasi ndefu kama usiku wa maluwe luwe"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..... Amka Mbape ucheze mpira, ni shida zako tu!
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Kabia Kabisa Kabisa, Upete ni habari nyingine kwa watangazaji kabumbu wa Kibongo.Ni ukweli kijana yupo vizuri anaijua historia ya timu husika na hachoshi kumsikiliza [emoji119][emoji119]
Gharibu Mzinga ndiye mtangazaji mzuri kuliko wote kwasasa hapa bongo.Kwangu huyu ndiyo bora kuliko wote ajabu hazungumzwi kabisa na wadau.