Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyetuonea mbaoe huko mtaani mwambieni aje aiokoe ufaransa inazama huku..... Amka Mbape ucheze mpira, ni shida zako tu!
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
😂😂😂 Jamaa ni one-liner,Upete ni Comedian Sana
😂😂😂 Ulikua unatoka kapa, hujui anaongea nini?!au kile kiarabu cha uongo na kweli?
Andika ukiwa imetulia mkuu punguza makaseiko,akampeleka na mtakao makubwa ndugu oscar Nickson
Anatanga radio ipi au Rafiki Fm?!Gharibu Mzinga
Kila mmoja abaki kucheza ligi yake na wachambuzi wake na watangazaji wake na mtazamo wako, itoshe kusema hata mimi nilimwelewa Upete, alikua akija mtu mwingine km Chacha sikuelewi kabisa gemu akishika Upete najua hapa Leo naenda kucheka huku naangalia ball napata burudani mbili kwenye jukwaa moja kwa wakati mmoja 😂Binafsi huyu upete nimemskia kwenye hii michuano Ila anajua, alaf atakua mzanzibari kama sikosei.
Hatumii nguvu nyingiiii na anawajua wachezaji mmojammoja
😂😂😂 Ulikua unatoka kapa, hujui anaongea nini?!
😂 Jamaa alikua akichezesha ulimi tu yaan utaelewa wewe, Ila waarabu walimwelewa anamaanisha nini tusio waarabu tulitoka kapaNafikiri ni kwasabau hakikua sawa kile kiarabu.
Azam hasa mechi za kimataifa na bundesligaAnatanga radio ipi au Rafiki Fm?!
gharib mzingaWote hao watasubiri kwa Ayubu Mzinga,
Huyu upete kuna Wakati najiuliza anatamkaje majina ya watu?? Au kujua mchezaji flan ni wa team gani..
Huyu dogo hamna kitu kabisa anatangaza boli kama anawatangazia watoto wa shule ya msingi....anaongeaga pumba tupuHuyo dogo mnampa hype sana ila bado ni mtangazaji wa hovyo, kelele na maneno mengi ambayo hayana maana kabisa.
Yeye na baraka wana utofauti gani, au kile kiarabu cha uongo na kweli?
"Wivu humuua mtu mjinga" -Fid Q.Upete ni mtoto na dogo mmoja tulie mpokea SAUT ambae hajui kitu lakini anajiona anajua ni mjivuni na mwana ccm hoyeeee ndio maana alipata kazi tibisiiiii mara tu baada ya kumaliza chuo akampeleka na mtakao makubwa ndugu oscar Nickson
Upete ni 0 na hajui kitu
Write your reply...jamaa yukoo njema
SAUT MWANZA product. ni kijana mdogo anajua.
mwaka jana anatangaza fainali ya kombe la Fawasco pale Raila odinga anakuambia..
" yeah naona watu wamemiminika hapa uwanjani aiseee hadi namuona mama watoto wangu naye yumo hapa"
lets appreciate wivu hautakiwi. jamaa yuko humble. mitaa ya jioni utamkuta banda la mpira la old Trafford mitaa ya Nyamalango.
wenye hate kaeni kule
Mimi namkubali Sana upete yaani mechi alizotangaza yeye kombe la dunia zilikuwa na burudani ya namna yake...hasa fainaliWrite your reply...jamaa yukoo njema
SAUT MWANZA product. ni kijana mdogo anajua.
mwaka jana anatangaza fainali ya kombe la Fawasco pale Raila odinga anakuambia..
" yeah naona watu wamemiminika hapa uwanjani aiseee hadi namuona mama watoto wangu naye yumo hapa"
lets appreciate wivu hautakiwi. jamaa yuko humble. mitaa ya jioni utamkuta banda la mpira la old Trafford mitaa ya Nyamalango.
wenye hate kaeni kule
Ni Kama unakaroho ka wivu...kwani ww unajua kila kitu?Upete namfaham zaidi ya unavyomfahamu kwa sababu nimempokea mwanza na nimekua nikimshauri mengi
Nimeandika nikimfahamu tabia yake vyema
Kuna mengi yake hajui ila tabu yake anakazana kwamba anajua
Upete alikua haangalii soka old trafford upete alikua anatazama soccer city
Punguza chuki za kishamba jamaaUpete ni mtoto na dogo mmoja tulie mpokea SAUT ambae hajui kitu lakini anajiona anajua ni mjivuni na mwana ccm hoyeeee ndio maana alipata kazi tibisiiiii mara tu baada ya kumaliza chuo akampeleka na mtakao makubwa ndugu oscar Nickson
Upete ni 0 na hajui kitu