Baraka Mpenja hawezi kumfikia Nazarethi Upete

Baraka Mpenja hawezi kumfikia Nazarethi Upete

Wapi picha zao nasie wa Nyakibimbirii tuwajue hata kwa picha tu???
 
Punguza chuki za kishamba jamaa

Mbona mnanipinga wakati siwapingi? Nyie mnatoa maoni ya mnavyomfahamu kwani umeona nawapinga nyie kenge gani mnaotaka mawazo yakiyo vichwani mwenu yawe kwa wengine?
 
Ni Kama unakaroho ka wivu...kwani ww unajua kila kitu?

Acha ukengerema

Mbona mnanipinga wakati siwapingi? Nyie mnatoa maoni ya mnavyomfahamu kwani umeona nawapinga nyie kenge gani mnaotaka mawazo yakiyo vichwani mwenu yawe kwa wengine?
 
Mbona mnanipinga wakati siwapingi? Nyie mnatoa maoni ya mnavyomfahamu kwani umeona nawapinga nyie kenge gani mnaotaka mawazo yakiyo vichwani mwenu yawe kwa wengine?
Pinga kwa maneno ya staha tu siyo kumpiga kwa maneno ya chuki namna hiyo
 
Acha ukengerema

Mbona mnanipinga wakati siwapingi? Nyie mnatoa maoni ya mnavyomfahamu kwani umeona nawapinga nyie kenge gani mnaotaka mawazo yakiyo vichwani mwenu yawe kwa wengine?
Sorry mkuu
 
Upete namfaham zaidi ya unavyomfahamu kwa sababu nimempokea mwanza na nimekua nikimshauri mengi

Nimeandika nikimfahamu tabia yake vyema
Kuna mengi yake hajui ila tabu yake anakazana kwamba anajua

Upete alikua haangalii soka old trafford upete alikua anatazama soccer city
Punguza makasiriko mkuu.. jamaa anajua kutangaza mpira na anakufanya utabasamu na vionjo vyake.
Hayo mapungufu mengine ya kibinadamu kila mtu anayo,ukweli unabaki palepale mwamba anajua kutangaza
 
Back
Top Bottom