goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
- Thread starter
- #41
Acha wivu mkuu dah kwani ujui kuwa mpenja Ni msomi wa udsm kuliko hata huyu gharibu wenuBaraka Mpenja ni mpayukaji na sio mtangazaji! DSTV unadhani kuna maneno ya kwenye khanga. Makelele ya kijinga jamaa hana uwezo huo kbs sema tumezoea kula vitu vibaya. DSTV hauwezi kusikia" huyu Dube sura ya upole kama mama yake au dada yake" au " macho yangu ama macho yake yanaona kama yangu" huyu ni nonprofossional kbs katika kutangaza hajui kutangaza. Sikiliza akina Martin Taylor wanavyotangaza mpira unafarijika kbs sijui huyu na yule sasa hivi yupo TBC1 Nazareti ni wapayukaji sana. Mpenja ajifunze kuwa mpira ni sayansi na sio kupayuka na kuropoka. Pale Azam siku zake zinahesabika hana maisha marefu pale.
Mpenja amefanya mpira wa bongo uwe na ladha na kufatiliwa Mbna hamna roho mbya hvyo
Kijna wa watu han kosa analisha familia yake kwa kelele zake
Hata Kama DStv wamembania ila iko siku watamtafuta