Baraka Shamte ambaye ni mtoto wa Mohamed Shamte, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar kabla ya kupinduliwa
Huyu mtu nilikuwa simjui hadi nilipomuona kwenye video kuhusu sekeseke lake na CCM hivi majuzi
Kilichonisukuma kuanzisha uzi ni kuwa mbona huyu mtu ni Mwafrika wala hata sio chotara (mixed) wakati tunaambiwa kuwa Zanzibar kabla ya Mapinduzi ilikuwa inatawaliwa na serikali ya Waarabu ikiongozwa na Mohamed Shamte?
Na ubaguzi wa Waarabu ndio uliopelekea hadi mapinduzi kufanyika?
Ama Shamte alikuwa mweusi? Inawezekana vipi Serikali ya Waarabu wabaguzi ikaoangozwa na mtu mweusi? Maana Shamte ndio alikuwa kiongozi mkuu wa Serikali, yaani ilikuwa na mfumo wa Serikali kama wa Uingereza
Ama hao Waarabu hawakuwa wabaguzi kweli kama tunavyoaminishwa?
Maana ni kama uambiwe Serikali ya makaburu Afrika Kusini ilikuwa ya kibaguzi ila Rais wao alikuwa mweusi...lazima ujiulize maswali
HISTORICAL SPEECH BY FIRST PRIME MINISTER OF ZANZIBAR MOHAMMED SHAMTE HAMAD DECEMBER 10,1963
Tomorrow June 3nd , Tanzania will release the draft of the New Constitution while the aspirations of the people of the Zanzibar is self determination to have government of People of Zanzibar with full Indipendence.
There is no small voice with out representation , Listen to the Speech of First Prime Minister of Independent Zanzibar Honorable Mohammed Shamte.
Photo : Mohamed Shamte Hamadi (far right), with other prominent Zanzibari politicians
Did you really have to go there, let alone remind those of us still seeking inspiration, that lack of political models leaves us holding onto to corpses for inspiration?
Did you have to be so cruel at a time when the majority of us are desperately seeking in every which way for better political models and sane leadership throughout all corners of what is left of the Zanzibar Republic?
When in reality, all that everyone of the leading politicians, post colonial vanguard and regional groups that had emerged after independence, ever wanted was to become Tanzanized versions of little Europeans aka Bwana Kubwas Nyerere at the expense of real Uhuru, freedom, better governance, justice and equity for all.
The bottom line is that, the people who ended paying the highest price and continue to do so, are the ordinary Zanzibari, given their current collective abysmal state of life 50yrs after this cold war Aka Union , as well as since Jamnuary 12 when impunity won the day
1963 UN Speech Prime Minister Muhammed Shamte Hamad (as Head of Government of the independent and Sovereign State of Zanzibar) delivered the following historic speech on the historic day of 16th December, 1963 to the General Assembly of the United Nations Organization in New York. Mr...
HISTORICAL SPEECH BY FIRST PRIME MINISTER OF ZANZIBAR MOHAMMED SHAMTE HAMAD DECEMBER 10,1963
Tomorrow June 3nd , Tanzania will release the draft of the New Constitution while the aspirations of the people of the Zanzibar is self determination to have government of People of Zanzibar with full Indipendence.
There is no small voice with out representation , Listen to the Speech of First Prime Minister of Independent Zanzibar Honorable Mohammed Shamte.
Photo : Mohamed Shamte Hamadi (far right), with other prominent Zanzibari politicians
Did you really have to go there, let alone remind those of us still seeking inspiration, that lack of political models leaves us holding onto to corpses for inspiration?
Did you have to be so cruel at a time when the majority of us are desperately seeking in every which way for better political models and sane leadership throughout all corners of what is left of the Zanzibar Republic?
When in reality, all that everyone of the leading politicians, post colonial vanguard and regional groups that had emerged after independence, ever wanted was to become Tanzanized versions of little Europeans aka Bwana Kubwas Nyerere at the expense of real Uhuru, freedom, better governance, justice and equity for all.
The bottom line is that, the people who ended paying the highest price and continue to do so, are the ordinary Zanzibari, given their current collective abysmal state of life 50yrs after this cold war Aka Union , as well as since Jamnuary 12 when impunity won the day
1963 UN Speech Prime Minister Muhammed Shamte Hamad (as Head of Government of the independent and Sovereign State of Zanzibar) delivered the following historic speech on the historic day of 16th December, 1963 to the General Assembly of the United Nations Organization in New York. Mr...
HISTORICAL SPEECH BY FIRST PRIME MINISTER OF ZANZIBAR MOHAMMED SHAMTE HAMAD DECEMBER 10,1963
Tomorrow June 3nd , Tanzania will release the draft of the New Constitution while the aspirations of the people of the Zanzibar is self determination to have government of People of Zanzibar with full Indipendence.
There is no small voice with out representation , Listen to the Speech of First Prime Minister of Independent Zanzibar Honorable Mohammed Shamte.
Photo : Mohamed Shamte Hamadi (far right), with other prominent Zanzibari politicians
Did you really have to go there, let alone remind those of us still seeking inspiration, that lack of political models leaves us holding onto to corpses for inspiration?
Did you have to be so cruel at a time when the majority of us are desperately seeking in every which way for better political models and sane leadership throughout all corners of what is left of the Zanzibar Republic?
When in reality, all that everyone of the leading politicians, post colonial vanguard and regional groups that had emerged after independence, ever wanted was to become Tanzanized versions of little Europeans aka Bwana Kubwas Nyerere at the expense of real Uhuru, freedom, better governance, justice and equity for all.
The bottom line is that, the people who ended paying the highest price and continue to do so, are the ordinary Zanzibari, given their current collective abysmal state of life 50yrs after this cold war Aka Union , as well as since Jamnuary 12 when impunity won the day
1963 UN Speech Prime Minister Muhammed Shamte Hamad (as Head of Government of the independent and Sovereign State of Zanzibar) delivered the following historic speech on the historic day of 16th December, 1963 to the General Assembly of the United Nations Organization in New York. Mr...
Baraka Shamte ambaye ni mtoto wa Mohamed Shamte, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar kabla ya kupinduliwa
Huyu mtu nilikuwa simjui hadi nilipomuona kwenye video kuhusu sekeseke lake na CCM hivi majuzi
Kilichonisukuma kuanzisha uzi ni kuwa mbona huyu mtu ni Mwafrika wala hata sio chotara (mixed) wakati tunaambiwa kuwa Zanzibar kabla ya Mapinduzi ilikuwa inatawaliwa na serikali ya Waarabu ikiongozwa na Mohamed Shamte?
Na ubaguzi wa Waarabu ndio uliopelekea hadi mapinduzi kufanyika?
Ama Shamte alikuwa mweusi? Inawezekana vipi Serikali ya Waarabu wabaguzi ikaoangozwa na mtu mweusi? Maana Shamte ndio alikuwa kiongozi mkuu wa Serikali, yaani ilikuwa na mfumo wa Serikali kama wa Uingereza
Ama hao Waarabu hawakuwa wabaguzi kweli kama tunavyoaminishwa?
Maana ni kama uambiwe Serikali ya makaburu Afrika Kusini ilikuwa ya kibaguzi ila Rais wao alikuwa mweusi...lazima ujiulize maswali
Mohamed Shamte pamoja na kuwa waziri mkuu wa serikali iliyopinduliwa 12 January 1964 ,hakuwa mwarabu.Mwanzoni alikuwa ASP lakini 1959 ulitokea mgogoro akajitoa na kuunda ZPPP.Uarabu hata wa Sultan Jamshid mwenyewe ulishakuwa wa kichotara ni vile uarabu ukitumika kuwabagua wazanzibari walio wengi.Ni siasa za ghiriba zilizoigubika Zanzibar baada ya
Mapinduzi ya 1964.
Mohamed Shamte pamoja na kuwa waziri mkuu wa serikali iliyopinduliwa 12 January 1964 ,hakuwa mwarabu.Mwanzoni alikuwa ASP lakini 1959 ulitokea mgogoro akajitoa na kuunda ZPPP.Uarabu hata wa Sultan Jamshid mwenyewe ulishakuwa wa kichotara ni vile uarabu ukitumika kuwabagua wazanzibari walio wengi.Ni siasa za ghiriba zilizoigubika Zanzibar baada ya
Mapinduzi ya 1964.
Haijambo umelielewa hili. Kinachotumika Sasa ni kile cha "mpe mbwa jina ubaya ili umuue". Kuna siku jamii itaamka kutoka usingizini na kuwaambia wanaosambaza kasumba kwamba hawasemi kweli.
Mohamed Shamte pamoja na kuwa waziri mkuu wa serikali iliyopinduliwa 12 January 1964 ,hakuwa mwarabu.Mwanzoni alikuwa ASP lakini 1959 ulitokea mgogoro akajitoa na kuunda ZPPP.Uarabu hata wa Sultan Jamshid mwenyewe ulishakuwa wa kichotara ni vile uarabu ukitumika kuwabagua wazanzibari walio wengi.Ni siasa za ghiriba zilizoigubika Zanzibar baada ya
Mapinduzi ya 1964.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.