Baraka Shamte aliyefukuzwa CCM mbona sio Mwarabu kama baba yake Mohamed Shamte?

Baraka Shamte aliyefukuzwa CCM mbona sio Mwarabu kama baba yake Mohamed Shamte?

Kwani Zanzibar kuna 'clanism', kama ilivyo Somalia?

Hili ni swali 'genuine', naomba kuelimishwa.

..kwa uelewa wangu Znz hakuna "clanism" kama ilivyo kwa Somalia.

..lakini walikuwa na matatizo ya kijamii na kisiasa yaliyopelekea kufanyika kwa Mapinduzi ya 1964.

..they need to look at themselves internally ili kubaini tatizo lao lilikuwa ni nini
 
..kwa uelewa wangu Znz hakuna "clanism" kama ilivyo kwa Somalia.

..lakini walikuwa na matatizo ya kijamii na kisiasa yaliyopelekea kufanyika kwa Mapinduzi ya 1964.

..they need to look at themselves internally ili kubaini tatizo lao lilikuwa ni nini
Kwa wakati ule (1964), mbali ya Usultan, na pengine 'heritage' zao, wengine wakiwa na uOman zaidi na wengine kujiona weusi (waafrika) zaidi, sioni tofauti zaidi ya hizo.

Hii 'heritage' ya uOman' imewashikilia sana hadi hii leo.
 
Kwa wakati ule (1964), mbali ya Usultan, na pengine 'heritage' zao, wengine wakiwa na uOman zaidi na wengine kujiona weusi (waafrika) zaidi, sioni tofauti zaidi ya hizo.

Hii 'heritage' ya uOman' imewashikilia sana hadi hii leo.
So ni nini exactly kilichochochea yale mapinduzi ya 1964?
 
..sasa kilichosababisha Mapinduzi ya 1964 ni nini kama kila kitu kilikuwa shwari?
Fuatilia nyendo za okello,ulikua mpango wa muda mrefu,wafanya mapinduzi wengine walikua wakata mkonge toka tanga,walipelekwa usiku,baada ya mapinduzi Askari wa tanganyika ndiyo wakimlinda karume,miezi mitatu baadae muungano,inadaiwa anayebebeshwa umwamba wa mapinduzi alienda toa taarifa polisi za mipango ya mapinduzi na yeye hahusiki,wakati wa mapinduzi ati alikua mitaa ya feri
 
Fuatilia nyendo za okello,ulikua mpango wa muda mrefu,wafanya mapinduzi wengine walikua wakata mkonge toka tanga,walipelekwa usiku,baada ya mapinduzi Askari wa tanganyika ndiyo wakimlinda karume,miezi mitatu baadae muungano,inadaiwa anayebebeshwa umwamba wa mapinduzi alienda toa taarifa polisi za mipango ya mapinduzi na yeye hahusiki,wakati wa mapinduzi ati alikua mitaa ya feri

..msaada unaweza kuwa umetoka nje lakini lazima walikuwepo Waznz walioshiriki ktk mipango hiyo.

..kwa sasa hivi muombeni Ssh akurudishieni serikali iliyopinduliwa, au kama hilo haliwezekani aunde Tume ya Ukweli na Maridhiano ili kuwafuta machozi waliodhulumiwa wakati wa Mapinduzi.
 
..kwa sasa hivi muombeni Ssh akurudishieni serikali iliyopinduliwa, au kama hilo haliwezekani aunde Tume ya Ukweli na Maridhiano ili kuwafuta machozi waliodhulumiwa wakati wa Mapinduzi.
Dah, akiwa na ujasiri huu, hata mimi ntamheshimu hata kama sitakubaliana na mpango huo.
 
..msaada unaweza kuwa umetoka nje lakini lazima walikuwepo Waznz walioshiriki ktk mipango hiyo.

..kwa sasa hivi muombeni Ssh akurudishieni serikali iliyopinduliwa, au kama hilo haliwezekani aunde Tume ya Ukweli na Maridhiano ili kuwafuta machozi waliodhulumiwa wakati wa Mapinduzi.
Akifanya hivyo itakuwa balaa, CCM haitamuelewa
 
..msaada unaweza kuwa umetoka nje lakini lazima walikuwepo Waznz walioshiriki ktk mipango hiyo.

..kwa sasa hivi muombeni Ssh akurudishieni serikali iliyopinduliwa, au kama hilo haliwezekani aunde Tume ya Ukweli na Maridhiano ili kuwafuta machozi waliodhulumiwa wakati wa Mapinduzi.
Siyo msaada Bali mipango,okello haiingii akilini atoke Uganda aende kufyatua tofali Pemba..Kisha awe kiongozi wa mapinduzi
 
Muhammad Shamte ubini wake ni MBONDE na mbonde ni wandengereko kutoka Rufiji

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Screenshot_20220622-111155_Chrome.jpg
 
Akitaka anguko la ccm zenji akaribishe hao hizbu..hapo atatambua kuwa muungano ni nini..na kwanini ccm ni chama cha mapinduzi.

#MaendeleoHayanaChama
CCM Zanzibar inalindwa na jeshi la Tanganyika ambaye amiri jeshi mkuu wake ni Rais, haiwezi kuanguka labda vita itokee
 
View attachment 2266924

Baraka Shamte ambaye ni mtoto wa Mohamed Shamte, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar kabla ya kupinduliwa

Huyu mtu nilikuwa simjui hadi nilipomuona kwenye video kuhusu sekeseke lake na CCM hivi majuzi

Kilichonisukuma kuanzisha uzi ni kuwa mbona huyu mtu ni Mwafrika wala hata sio chotara (mixed) wakati tunaambiwa kuwa Zanzibar kabla ya Mapinduzi ilikuwa inatawaliwa na serikali ya Waarabu ikiongozwa na Mohamed Shamte?

Na ubaguzi wa Waarabu ndio uliopelekea hadi mapinduzi kufanyika?

Ama Shamte alikuwa mweusi? Inawezekana vipi Serikali ya Waarabu wabaguzi ikaoangozwa na mtu mweusi? Maana Shamte ndio alikuwa kiongozi mkuu wa Serikali, yaani ilikuwa na mfumo wa Serikali kama wa Uingereza

Ama hao Waarabu hawakuwa wabaguzi kweli kama tunavyoaminishwa?

Maana ni kama uambiwe Serikali ya makaburu Afrika Kusini ilikuwa ya kibaguzi ila Rais wao alikuwa mweusi...lazima ujiulize maswali
Wewe nani alikwambia Shamte alikuwa Mwarabu?
 
Tafakuri muhimu: Je, ubaguzi ulikuwa Justification ya mapinduzi (mauaji) ya 1964?

Manake hadi leo utawala wa Zanzibar umesimama kidete kwenye nguzo ya yale mapinduzi na ni campaign strategy ya CCM dhidi ya yeyote “asiyeswihi” katika mapinduzi yale. Hii ina-exclude vyama vyote vya upinzani kwenye uRais wa Zanzibar. - Kama Rwanda na 1994 Genocide (nionavyo).
 
Back
Top Bottom