Jisemee wewe, huku tanavaa barakoa. Nikuulize, Jiwe yuko wapi? Mmepigwa mkapigika, Mungu ni Mwema sana, daima na MileleWakaqti mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safeKuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!
Hapa kwetu ndio kwanza!
Magu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?Kuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!
Hapa kwetu ndio kwanza!
Aliharibu sana akili za watuMagu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?
Anti-Samia on duties, keep it up.Kuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!
Hapa kwetu ndio kwanza!
Unawaza watalii kuliko uhai. mzaha , mzaha ulimponza mbuziKwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Anti-Samia on their daily routine attacks 🤣🤣Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Nani kasema ni haramu?Magu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?
Hamia uingereza 🤣🤣Kuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!
Hapa kwetu ndio kwanza!
kama lissu.Hamia uingereza [emoji1787][emoji1787]
Hahhahaha halafu anasema yeye na mtangulizi wake ni wamoja! kweli??Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremeta !!!!!!!!!!!!
View attachment 1780307
Kwann wapinge uvaaji barakoa as if ni jinai? Safari hii kama vip hameni NCHI, OVER!!nani kasema ni haramu??
Ogopa sana propaganda la nguvu miaka 6 mfululizo.Aliharibu sn akili za watu