Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G.

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji.
Unafanya watalii wana akili ndogo kama zako na za mwendazake sasa! Wewe ni Musukuma yule mbunge nini? Au Kibajaji?
 
India my friend. Kile kikikupata aurudi. Na ATCL amekunga anga, ndege azuruki kwenda huko. Mama na wataalamu wake wamemshauri kuwa na kazi hilo
 
Napinga hoja YAKO. Watalii ndo watakua kwa wingi maana wataamini tupo makini na hilo janga

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile
Kaka bado una fikra za kitumwa! hao Wazungu wako ndiyo wanaitegemea sana Africa,bila Africa Wazungu wako wangekua Masikini sana!!
Daah maybe una tatizo somewhere, penye uhalisia sema usikimbilie eti utumwa, yaan upewa misaada na hao unaowaita tegemez wa Africa?? Iweje uwategemee?
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G.

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji.
Kwahiyo unashauri rais asivae ili nae apotee duniani?
 
Leo asubuhi nilifika pale muhimbili hospital nia kuwajulia hali wagonjwa walokuwa wamelazwa wodi mbili tofauti mmoja kibasila hapa sikudaiwa kuvaa barakoa ila mwaisela pale wanasisitiza bila barakoa uingii wodini nkajiuliza sana maswali hospital moja inakuwaje na maelekezo tofauti
 
Kwa Sasa ,corona iko ikulu tu.wacha watwange mibarakoa yao,ss huku mitaani tuna enjoy oxygen safi.na maisha yanaendelea.kwa Sasa ni vigumu Sana ,kuwaingiza mjini watanzania,si z'bar,wala bara.jpm kweli amewajanjalusha wa watz.mpaka waanze kutuingiza mjini tena itachukua miaka mingi.
 
Mimi nitairoga maana hiyo si nia njema, lengo ni kututia hofu ili mwishowe walete chanjo kiulaini na kupiga mpunga huku wakituua taratibu, no way, anacheza ngoma asiyoijua inayopigwa na hayo mabeberu, au la wamemtisha akatishika, udhaifu kitu kibaya sana, tunarudi wnzi za Msoga sasa za Mr.Dhaifu
Una nini cha maana hadi watu waangaike kukuua.akili za kiafrika niza ovyo sana.kila kitu unategemea cha hao hao leo unajifanya eti wanataka kuwaua taratibu.Mnaowaza huu ujinga mna akili ndogo sana.
 
Una nini cha maana hadi watu waangaike kukuua.akili za kiafrika niza ovyo sana.kila kitu unategemea cha hao hao leo unajifanya eti wanataka kuwaua taratibu.Mnaowaza huu ujinga mna akili ndogo sana.

Unapata faida gani unapotoa ubongo kichwani na kuja kamasi? Bogus
 
Kuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!

Hapa kwetu ndio kwanza!
Uingereza wamefikia kiwango walichokiweka cha Vaccine kwa idadi ya watu wake na hasa wale waliopo kwenye risk age au chronic disease,

Hayo maamuzi yao hayakuja tu kwa kukurupuka.
 
Daah maybe una tatizo somewhere, penye uhalisia sema usikimbilie eti utumwa, yaan upewa misaada na hao unaowaita tegemez wa Africa?? Iweje uwategemee?
Wazungu wataendelea kutawala Africa kwa sababu ya watu Kama nyie ndiyo mnatuponza na njaa zenu,hamna uvumilivu na Maisha!!
 
Uko sahihi barakoa kwanza inasababisha Corona
sababu binadamu tunatoa hewa chafu tunapopumua NJE hiyo hewa chafu inaitwa carbon dioxide.Halafu tukivuta hewa ndani tunaingiza hewa safi ya oxygen,Sasa ukivaa barakoa haina matundu makubwa ya kutoa hewa chafu unapopumua hivyo haitoki yote sababu inashindwa kupenya kwenye matundu ya barakoa na ukivuta kuingiza ndani hewa safi ya oxygen nayo inakumbana na kizuizi cha barakoa inashindwa kupenya vizuri kuingia ndani

Matokeo yake inakutana ndani hapo na mabaki ya carbon dioxide ambayo imesalia kwa kushindwa kupita vizuri kwa hiyo inatengezwa hewa mpya ambayo ni muunganiko wa oxygen (o2) na carbon dioxide (co2) ambapo huzaliwa hewa mpya hataerishi kwa mapafu.Kimahesbu inakuwa hivi

oxygen +carbon dioxide=hewa mpya yenye muunganiko wa oxygen na carbon dioxide

o2+co2=co2

Hiyo hewa mpya unaivuta kuiingiza ndani ya mapafu matokeo yake unaanza kupata matatizo ya kupumua ambayo ndio corona yenyewe.Ndio maana nchi za wavaa barakoa Corona haaishi inazidi tu kuongezeka
Mwenyezi Mungu alituumba kwa hekima zake na kufanya kuvuta hewa kikawaida kuwa ni dalili ya afya nzuri.Ukivaa vizuizi vya hewa unapata matatizo.Inasemekana sehemu kubwa ya watu wanaokufa na kuhusishwa na corona ni wale wanaofika hospitali na kuvalishwa mipira ya kuvutia oxygen bila ya ridhaa zao.Wengi huwa wamepata mshtuka na kuharibu mfumo wao wa kuvuta hewa safi.Unapowavalishwa ile mipira bila sababu wanakufa kirahisi.
 
Mkuu chanjo zote ulizopata utotoni zimetengenezwa Tanzania?

Hofu unajitia mwenyewe kama utaruhusu iwe hivyo. swala la chanjo halina mjadala, sisi tupo tayari kwa maamuzi yeyote atakayochukua mama kwa sababu tumeipima dhamira yake na imeonekana kua NJEMA tofauti na mtangulizi wake. Maelfu ya watanzania wanasubiri chanjo ili waende KUHIJI.

Kaa kwa kutulia mama anafungua nchi wadogo zetu waliomaliza vyuo vikuu na sasa wanafanya kazi ya boda boda wapate ajira. ondoka katika kivuli cha mwendazake ishi katika uhalisia, zama zimebadilika. tushirikiane kumsapoti mama ili atufikishe salama.

Hizo chanjo zilikuwa za majaribio? (Emergency use authorisation)?
 
Wazungu wataendelea kutawala Africa kwa sababu ya watu Kama nyie ndiyo mnatuponza na njaa zenu,hamna uvumilivu na Maisha!

So unataka kutuambia kuwa watakachofanya uingereza ni kumpinga rais wako kisa ameamua kuvaa barakoa?.

Tuache unafiki 😬!.
Tatizo mnaishi kufuata era ya mwendazake, ile biashara ishaisha na hairudi tena. Tuishi kwa uhalisia waingereza walishachukua hatua kabla, Tanzania tumechukua hatua gan ya kukabiliana na hii pandemic? RAIS kuvaa barakoa ni sahihi na ni kielelezo cha hali halis ilivyo. Hatuwez sema tumeshinda tatizo kwa kukataa kua halipo!!!
 
Tatizo mnaishi kufuata era ya mwendazake, ile biashara ishaisha na hairudi tena. Tuishi kwa uhalisia waingereza walishachukua hatua kabla, Tanzania tumechukua hatua gan ya kukabiliana na hii pandemic? RAIS kuvaa barakoa ni sahihi na ni kielelezo cha hali halis ilivyo. Hatuwez sema tumeshinda tatizo kwa kukataa kua halipo!!!
Alafu kweli hamnazo kabisa! Kwa hiyo kila watakachofanya Waingereza na sisi tufanye Kama wao!? Wwe Mimi ndiyo maana nakuona bado una fikra za kitumwa kisa Mzungu alikuletea Chanjo ya polio eti ukaishi paka leo kisa Chanjo,umesahau kua wwe unaishi kwa uwezo wake Mungu!!
 
Alafu kweli hamnazo kabisa! Kwa hiyo kila watakachofanya Waingereza na sisi tufanye Kama wao!? Wwe Mimi ndiyo maana nakuona bado una fikra za kitumwa kisa Mzungu alikuletea Chanjo ya polio eti ukaishi paka leo kisa Chanjo,umesahau kua wwe unaishi kwa uwezo wake Mungu!!
Ni sehem nimesema tufuate waingereza? Jitambue acha kukurupuka, soma vzr na uelewa ndipo ujib
 
Back
Top Bottom