Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Na wwe hamia Ikulu ukavae Barakoa!
Na bado mtanyooka tu shubaaamiiit! Enzi imepita sasa tuna awamu ya sita 🤣🤣🤣 avatar yako ungeweka picha ya mzalendo pekee wa taifa tangu uhuru ambae ni Julius Kambarage Nyerere, ingekua vzr, OVER!!
 
Eti hiz ndo mentality za wabongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji115], wizara ya afya ndo ilitoa maelekezo ya uvaaji barakoa sasa wewe na ignorance zako unakuja na hoja mfu eti nna barakoa [emoji1787][emoji1787]dumbass! Inamaana kwa mujibu wa hoja yako wizara ndo ina barakoa wanataka wauze sio. Next time shirikisha kikamilifu ubongo wako
Kwani huko Wizara ya Afya hakuna wapiga deal!? Wwe kumbe bado mdogo,hujui Maisha nyuma ya pazia yakoje!!
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G.

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji.
We jamaa bana😂😂😂 kwahiyo unadhani watalii walikuwa hawajui kuwa corona hata hapa ipo ila ni kuwa hatukufunga mipaka ndiyo sababu ya wao kuja. Tanzania siyo kisiwa kilichoko nje ya dunia mjomba.
 
Wee nae hata sio mfuatiliaji, tafuta tangazo la wizara ya afya juu ya uvaaji barakoa kweny mikusanyiko. Ulitaka wizara itembeze bakora kwa wasiovaa? Kujikinga it's all bout ur health.
Ngoja nikupe Siri kidogo na wwe utoke nje ya box kidogo! Swala la Barakoa siyo la Wizara ya Afya! ni swala la WHO ndiyo wanatoa hayo mashariti,Kama unataka mpunga wao lazima ufuate mashariti yao,Sasa Mama Yeye huwo mpunga anautaka ndiyo maana unaona Kama anajilazimisha tu na hayo ma Barakoa! Mwendazake alikataa mashariti yao,alafu yeye ndiyo akawapa mashariti yake!! Kweli Magu alikua na misimamo mikali! na huo ndiyo maana ya Uwongozi thabiti!! RIP JEMBE!!
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G.

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji.
Napinga hoja YAKO. Watalii ndo watakua kwa wingi maana wataamini tupo makini na hilo janga

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Magu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?
Utumiaji wa barakoa kwa public una hasara zake watu hawajui matumizi sahihi ya kutumia barakoa na matokeo yake inakuwa ni kusambaza virusi badala ya kuzuia, kama watu wanafikiria kuvaa tu barakoa na kujiona wako salama huku hawajui uvaaji na uvuaji wa barakoa uliyo sahihi hapo barakoa itakuwa ni kisambaza maradhi na si kuzuia.

Barakoa inaenda sambamba na social distance pamoja na kunawa mikono na kujizui kushika uso,macho,pua na mdomo ila sasa katika disadvantages za kuvaa barakoa public ni watu kujiona wako safe baada ya kuvaa barakoa na matokeo yake ni kutozingatia hayo mambo na hapo barakoa haitokuwa na faida bali hasara.
Yani mtu anataka avae barakoa aende kwenye mechi ya simba na yanga na kujiona yupo safe kisa kavaa barakoa.

Barakoa sio hirizi kwamba ukiwa nayo tu mfukoni inakukinga.
 
Ngoja nikupe Siri kidogo na wwe utoke nje ya box kidogo! Swala la Barakoa siyo la Wizara ya Afya! ni swala la WHO ndiyo wanatoa hayo mashariti,Kama unataka mpunga wao lazima ufuate mashariti yao,Sasa Mama Yeye huwo mpunga anautaka ndiyo maana unaona Kama anajilazimisha tu na hayo ma Barakoa! Mwendazake alikataa mashariti yao,alafu yeye ndiyo akawapa mashariti yake!! Kweli Magu alikua na misimamo mikali! na huo ndiyo maana ya Uwongozi thabiti!! RIP JEMBE!!
Akili yako bado ndogo sana kweny huu ulimwengu, nan alikwambia Tanzania inaweza shindana na wazungu? Yaan tunawategemea karibu kila kitu even budget yetu inawategemea haohao. Fungua akili yako ww, tuna nn mpaka tushindane nao? Kikubwa tuna safar ndefu ya kujijenga kiuchumi na sio hizo blabla cjui mwendazake, chanjo nying tunawategeme, maendeleo ya elimu tunawategemea kwa misaada yao, hata miradi inayoendelea ni mikopo. My advice to you... Piga moyo konde kubali mwendazake hayupo tena then kubali kua Rais ni Samia, mwisho kbs fanya kaz kwa maendeleo yako. Maan tumepiga marufuku kikundi cha kusifu na kuabudu mwanadam.
 
Kwani huko Wizara ya Afya hakuna wapiga deal!? Wwe kumbe bado mdogo,hujui Maisha nyuma ya pazia yakoje!!
Hakuna kitu kibaya kama hujui kama hujui!! Wapiga dili wapo tangu enz ya mwalimu, then uliifuatilia report ya CAG ya hivi karibun?? Au nyie ndo wale ambao mnampinga CAG kisa kafumua madudu??
 
Akili yako bado ndogo sana kweny huu ulimwengu, nan alikwambia Tanzania inaweza shindana na wazungu? Yaan tunawategemea karibu kila kitu even budget yetu inawategemea haohao. Fungua akili yako ww, tuna nn mpaka tushindane nao? Kikubwa tuna safar ndefu ya kujijenga kiuchumi na sio hizo blabla cjui mwendazake, chanjo nying tunawategeme, maendeleo ya elimu tunawategemea kwa misaada yao, hata miradi inayoendelea ni mikopo. My advice to you... Piga moyo konde kubali mwendazake hayupo tena then kubali kua Rais ni Samia, mwisho kbs fanya kaz kwa maendeleo yako. Maan tumepiga marufuku kikundi cha kusifu na kuabudu mwanadam.
Kaka bado una fikra za kitumwa! hao Wazungu wako ndiyo wanaitegemea sana Africa,bila Africa Wazungu wako wangekua Masikini sana!!
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G.

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji.
[/Q
Ili waje inabidi tuchajwe kwanza kwalazima.
Tumekubari ugonjwa upo na ni hatari sanaa.
 
Back
Top Bottom