Hawezi kufunga mipaka kwa sababu yeye na jiwe ni kitu kimoja....Hahahhaafanye hima afunge mipaka.
corona ni ugonjwa hatari sana.
Na alipowaambia hivyo mkakenua memo yote nje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kufunga mipaka kwa sababu yeye na jiwe ni kitu kimoja....Hahahhaafanye hima afunge mipaka.
corona ni ugonjwa hatari sana.
mnadhani urais ni kelele!!!Hawezi kufunga mipaka kwa sababu yeye na jiwe ni kitu kimoja....Hahahha
Na alipowaambia hivyo mkakenua memo yote nje.
Mkuu chanjo zote ulizopata utotoni zimetengenezwa Tanzania?Mimi nitairoga maana hiyo si nia njema, lengo ni kututia hofu ili mwishowe walete chanjo kiulaini na kupiga mpunga huku wakituua taratibu, no way, anacheza ngoma asiyoijua inayopigwa na hayo mabeberu, au la wamemtisha akatishika, udhaifu kitu kibaya sana, tunarudi wnzi za Msoga sasa za Mr.Dhaifu
Urais si kelele, na wala sio kula mahindi barabarani na kugawa mapapai huku unawapiga fix Mataga kuwa ATCL inatengeneza faida ya 28bilion kumbe ni mwendo wa hasara kwa miaka yote 5, na cha ajabu Mataga wanaamini na kushangilia.mnadhani urais ni kelele!!!View attachment 1780550
Hahahaha...Dah, Hizi ndio akili za Mataga.Uko sahihi barakoa kwanza inasababisha Corona
sababu binadamu tunatoa hewa chafu tunapopumua NJE hiyo hewa chafu inaitwa carbon dioxide.Halafu tukivuta hewa ndani tunaingiza hewa safi ya oxygen,Sasa ukivaa barakoa haina matundu makubwa ya kutoa hewa chafu unapopumua hivyo haitoki yote sababu inashindwa kupenya kwenye matundu ya barakoa na ukivuta kuingiza ndani hewa safi ya oxygen nayo inakumbana na kizuizi cha barakoa inashindwa kupenya vizuri kuingia ndani
Matokeo yake inakutana ndani hapo na mabaki ya carbon dioxide ambayo imesalia kwa kushindwa kupita vizuri kwa hiyo inatengezwa hewa mpya ambayo ni muunganiko wa oxygen (o2) na carbon dioxide (co2) ambapo huzaliwa hewa mpya hataerishi kwa mapafu.Kimahesbu inakuwa hivi
oxygen +carbon dioxide=hewa mpya yenye muunganiko wa oxygen na carbon dioxide
o2+co2=co2
Hiyo hewa mpya unaivuta kuiingiza ndani ya mapafu matokeo yake unaanza kupata matatizo ya kupumua ambayo ndio corona yenyewe.Ndio maana nchi za wavaa barakoa Corona haaishi inazidi tu kuongezeka
haya mwezi wa pili sasa yunataka kuona urais ni kitu gani.Urais si kelele, na wala sio kula mahindi barabarani na kugawa mapapai huku unawapiga fix Mataga kuwa ATCL inatengeneza faida ya 28bilion kumbe ni mwendo wa hasara kwa miaka yote 5, na cha ajabu Mataga wanaamini na kushangilia.
I see....Kinga ni bora kuliko tiba!
Watanzania hawajui wanataka nini bwashe.Kinga ni bora kuliko tiba!
Kwa hiyo Mataga sasa ndio mmekuwa wapinzani wa serikali ya CCM?haya mwezi wa pili sasa yunataka kuona urais ni kitu gani.
mataga wana 5 ubaoni.
mama ana 0 ubaoni.
nyumbu wana 0 mkononi.
Halafu yale "matatizo ya upumuaji" mbona hayasikiki tena?Watanzania hawajui wanataka nini bwashehh
Wakati wa jpm alikuwa havai watu walikuwa wanamshambulia,sahv mama anavaa anashambuliaaa
Ova
Wewe unaonaje?Uzi nyingine ndo maana zinakuwa na viewers wengi lakini comments chache.
Kwahy unataka lockdown.?
wala si ajabu,balaa ni pale nyumbu wanapohisi faraja jiwe kufariki[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Kwa hiyo Mataga sasa ndio mmekuwa wapinzani wa serikali ya CCM?
Muda unaenda kasi sana aisee..