Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Sawa, my point is not being dead or alive. Point ni kuwa Jiwe lenu linaoza huko kwa mashetani mlilolitegemea kuishi
Nigg-a prepare for same shi-t..Six feet under is for every bloodied soul..kwanza ni tusi kwa wazazi wako (kama wameshafariki) ama wana ukoo wako waliokwisha fariki kurefer marehemu kuwa "wanaoza"
 
Wwe unaonekana Amb MulaMula humjui vizuri,yule ni msaani sana kumpita hata Mama Tibaijuka!!

Wa kulinganisha si wangekuwa:

Amb. Mulamula : Amb. Prof. Kabudi

Tibaijuka hakuwa wizara hiyo.
 
Hakuna anayeweza kulinda uzima.
HAO wahindi na ubora wao wote WA huduma za AFYA Corona inawachakaza.
HII NI VITA MAGUFULI ALIIJUA
Uzimwa unalindwa si ajali.
Screenshot_20210511-070625.jpg
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
nobody believed that nonsense
 
Ni wewe tu..wewe uliona propaganda wakati uhalisia ni ilikuwa ni kampeni ya kurudisha nchi kwenye misingi na ikapata uungwaji mkono mkubwa.
Misingi ipi alileta, alirudisha Azimio la Arusha ?
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji

Kweli wajinga ndiyo waliwao.
 
Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.

Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.

Ngoja niwaimbie wimbo.

Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!

Gwaji -"mzee wa kumaliza ndan ya dakika mbili" akimfufua "mwendazake" aisse mwendazake atarudi huko anapoongoza ma-angel" maana mambo yamebadilika utfikiri upinzani ndio ulikuwa unaongoza nchi.
 
Wa kulinganisha si wangekuwa:

Amb. Mulamula : Amb. Prof. Kabudi

Tibaijuka hakuwa wizara hiyo.
Msanii ni Msanii tu,hata akiwa anafanya kazi office ya Kata!tabia haijifichi!!
 
Nigg-a prepare for same shi-t..Six feet under is for every bloodied soul..kwanza ni tusi kwa wazazi wako (kama wameshafariki) ama wana ukoo wako waliokwisha fariki kurefer marehemu kuwa "wanaoza"
Mama yako muulize ananijua, nitakwenda naye hko six feet. stupid.... mpuuz mkubwa wewe kumbe, stupid burger
 
Mama yako muulize ananijua, nitakwenda naye hko six feet. stupid.... mpuuz mkubwa wewe kumbe, stupid burger
Stepped right into your nerves nigg-a..seems ushapoteza wazazi it's reverse psychology and it worked on you
 
Wa kulinganisha si wangekuwa:

Amb. Mulamula : Amb. Prof. Kabudi

Tibaijuka hakuwa wizara hiyo.
Mama Tibaijuka alitaka kuuza Aridhi ya Kigamboni kisa Wawekezaji! Hali kazalika na Amb MulaMula ndiyo walewale ambao wako tayari hata kuuza Aridhi yetu kwa kisingizio Cha uwekezaji!!
 
Hiyo mikusanyiko iko Ikulu tu!? Mbona huko kwenye mikusanyiko ya kweli Kama vile stand na masokoni hatuzioni hizo Barakoa!?
mikusanyiko inayotaka barakoa ni ile yenye hewa bandia (AC) sio hiyo unayoisemea wewe!!
 
Back
Top Bottom