Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Barakoa yawa vazi rasmi Ikulu

Ogopa sana propaganda la nguvu miaka 6 mfululizo.

Propaganda shambulio= Magazeti, TVs, Radios, Wasanii, Dini, Ibada.

Lazima umuone huyo mtu ni mungu kabisa.
Ila Mungu wa ukweli aifanyaje eti ?
 
Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu

Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.

Ngoja niwaimbie wimbo

Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa !!!!!!!!!!!!
... Rais Samia ni lazima alindwe kwa nguvu zote dhidi ya hatari yoyote wewe! Uzuri amezungukwa na watu wenye akili akina Amb. Mulamula (ex-lecturer US) watu wenye exposure zilizotukuka sio wale wajinga wa kusifu na kuabudu! Na uzuri yeye huwa anasikiliza na kushaurika.
 
kwani hawapo!!!

sasa wamekuwa wengi,tena wengine wanatoka ule upande wa nyumbu na mbuzi.
Uzuri ni kwamba Rais hataki kusifiwa na kuabudiwa, kwahiyo wew na hao cjui nyumbu, mbuzi kipind hiki tafuteni kaz nyingine!
 
Magu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?
Sio kwamba ni haramu,lakini ukweli wa hizi barakoa kuondoa covid ni mdogo.Na zipo taarifa za kidaktari kuwa kuvaa barakoa kwa kukinga corona huwa kunawasababishia watu wengi maradhi mchanganyiko.Hasa maradhi ya njia ya hewa. Na kwa wenye maradhi yaliyojificha kama aina kwa aina za pumu ndio huwa wanaumwa haraka.
 
Hahhahaha halafu anasema yeye na mtangulizi wake ni wamoja! kweli??
... hakuna namna nyingine iliyo bora zaidi ya kuwa-please mataga zaidi ya kuwafariji kwa hayo maneno machache.
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
... uhai wa wananchi ni bora kuliko utalii! Samia is leading by examples; msipoelewa tena, mtakuwa na matatizo makubwa upstairs.
 
hili liko juu ya kimo chako tafadhali.
Huu ni ujinga sana nausema kila mara humu, yaan mtu hakujui wala haujui ni nan wala hajui where you are na unafanya nn but anaropoka as lil kid eti liko juu ya kimo chako 🤣🤣🤣. Dumbest kbs, hujalazimishwa uvae but kwenye mkusanyiko lazima uvae utake usitake! Kama vipi hamieni Madagascar. Hili suala ni sensitive tofaut na akili yako ya kisiasa inavyokudanganya
 
hili liko juu ya kimo chako tafadhali.
Huu ni ujinga sana nausema kila mara humu, yaan mtu hakujui wala haujui ni nan wala hajui where you are na unafanya nn but anaropoka as lil kid eti liko juu ya kimo chako 🤣🤣🤣. Dumbest kbs, hujalazimishwa uvae but kwenye mkusanyiko lazima uvae utake usitake! Kama vipi hamieni Madagascar. Hili suala ni sensitive tofaut na akili yako ya kisiasa inavyokudanganya
 
Hivi sisi Watanzania tunataka nini,asipovaa barakoa tunasema akivaa tunasema,hivi tupoje?,wakati wa Mzee Magu mlisema watalii hawatakuja kwakua TZ hatuna hatua stahiki za kujikinga na korona,leo mama amevaa mnasema watalii hawatofika,tuache siasa za kizamani,mwacheni mama atuongoze kadri awezavyo,
 
Huu ni ujinga sana nausema kila mara humu, yaan mtu hakujui wala haujui ni nan wala hajui where you are na unafanya nn but anaropoka as lil kid eti liko juu ya kimo chako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Dumbest kbs, hujalazimishwa uvae but kwenye mkusanyiko lazima uvae utake usitake! Kama vipi hamieni Madagascar. Hili suala ni sensitive tofaut na akili yako ya kisiasa inavyokudanganya
umepanick.
 
Sio kwamba ni haramu,lakini ukweli wa hizi barakoa kuondoa covid ni mdogo.Na zipo taarifa za kidaktari kuwa kuvaa barakoa kwa kukinga corona huwa kunawasababishia watu wengi maradhi mchanganyiko.Hasa maradhi ya njia ya hewa. Na kwa wenye maradhi yaliyojificha kama aina kwa aina za pumu ndio huwa wanaumwa haraka.
Uko sahihi barakoa kwanza inasababisha Corona
sababu binadamu tunatoa hewa chafu tunapopumua NJE hiyo hewa chafu inaitwa carbon dioxide.Halafu tukivuta hewa ndani tunaingiza hewa safi ya oxygen,Sasa ukivaa barakoa haina matundu makubwa ya kutoa hewa chafu unapopumua hivyo haitoki yote sababu inashindwa kupenya kwenye matundu ya barakoa na ukivuta kuingiza ndani hewa safi ya oxygen nayo inakumbana na kizuizi cha barakoa inashindwa kupenya vizuri kuingia ndani

Matokeo yake inakutana ndani hapo na mabaki ya carbon dioxide ambayo imesalia kwa kushindwa kupita vizuri kwa hiyo inatengezwa hewa mpya ambayo ni muunganiko wa oxygen (o2) na carbon dioxide (co2) ambapo huzaliwa hewa mpya hataerishi kwa mapafu.Kimahesbu inakuwa hivi

oxygen +carbon dioxide=hewa mpya yenye muunganiko wa oxygen na carbon dioxide

o2+co2=co2

Hiyo hewa mpya unaivuta kuiingiza ndani ya mapafu matokeo yake unaanza kupata matatizo ya kupumua ambayo ndio corona yenyewe.Ndio maana nchi za wavaa barakoa Corona haaishi inazidi tu kuongezeka
 
Ni vazi huru, ukipenda kuvaa sawa. Ukiona linakuziba kupumua tuambie tuandae kaburi
 
President wa Kenya alimwambia juzi kati kwamba akitaka uleeee mkopo wa WHO wa a billion dollars sharti atumie kitambaa kufunga mianzi ya pua na kinywa, afunge nchi lockdown, aoneshe takwimu za wagonjwa na vifo, aruhusu chanjo ya Kovidi-19 halafu azuie safari za ndege to and from Tanzania. Ndiyo kaanza hivyo kuimplimenti Bi Mkubwa wenu.
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Uhuru kamuingiza Mama choo cha kiume,Mama nae anaitaka pesa ya covid!!
 
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe

Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G

Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
mkisema hivyo mnatuudhoofishaa tunaotegemea watalii
 
Back
Top Bottom