Mama Tibaijuka alitaka kuuza Aridhi ya Kigamboni kisa Wawekezaji! Hali kazalika na Amb MulaMula ndiyo walewale ambao wako tayari hata kuuza Aridhi yetu kwa kisingizio Cha uwekezaji!!
Mwaka huu na hizi avatar zenu mbona ni mwendo wa makopo tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Tibaijuka alitaka kuuza Aridhi ya Kigamboni kisa Wawekezaji! Hali kazalika na Amb MulaMula ndiyo walewale ambao wako tayari hata kuuza Aridhi yetu kwa kisingizio Cha uwekezaji!!
Naona una agenda yako ya siri..unataka wapukutike kama wale wa nyuma?Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
🤣🤣🤣🤣🤣Mwaka huu na hizi avatar zenu mbona ni mwendo wa makopo tu?
We jamaa bado uko gerezani, jiwe ameshakufa wew bado uko utumwaniWakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Huyu alipata shock ya ajabu kwenye msiba wa magu...ndo alikua anatiririsha nyuzi daily wakat wa msiba..We jamaa bado uko gerezani, jiwe ameshakufa wew bado uko utumwani
Unasema kweli kabisa. Barakoa kwangu mimi unisababishia mafua ya kuchuruzika na matatizo ya kifua. Naamini kuna wengi kama mimi.Sio kwamba ni haramu,lakini ukweli wa hizi barakoa kuondoa covid ni mdogo.Na zipo taarifa za kidaktari kuwa kuvaa barakoa kwa kukinga corona huwa kunawasababishia watu wengi maradhi mchanganyiko.Hasa maradhi ya njia ya hewa. Na kwa wenye maradhi yaliyojificha kama aina kwa aina za pumu ndio huwa wanaumwa haraka.
Wanameremeta sana mkuu!! Huku uswazi Mungu anatulinda sana.Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Nani hafi?Jisemee wewe, huku tanavaa barakoa. Nikuulize, Jiwe yuko wapi? Mmepigwa mkapigika, Mungu ni Mwema sana , daima na Milele
Nani kasema haramu?Magu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?
Tena apige marufuku hata ng’ombe kuvuka mipaka 😂😂😂afanye hima afunge mipaka.
corona ni ugonjwa hatari sana.
Hadi afufuke, hata kama ni mzimu wake tu, uje uwavue hivyo vibarakoa hao vibaraka wa mabeberuMkuu Move on Maisha yaendelee,
Mshukuru Mungu kwa kila jambo yeye ndiye apangaye lipi liwe lini.
Utaishi kwenye kivuli cha Hayati Mpaka lini?
Mimi nitairoga maana hiyo si nia njema, lengo ni kututia hofu ili mwishowe walete chanjo kiulaini na kupiga mpunga huku wakituua taratibu, no way, anacheza ngoma asiyoijua inayopigwa na hayo mabeberu, au la wamemtisha akatishika, udhaifu kitu kibaya sana, tunarudi wnzi za Msoga sasa za Mr.Dhaifunia njema HAIROGWI. anaemuombea MAMA mabaya, mabaya yasiondoke NYUMBANI KWAKE.
Kwani wewe umenyimwa kukumbatiwa na kubusiwa?????Kuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!
Hapa kwetu ndio kwanza!
Pole sana. Zama zenu Sukuma Gang zimeshapita.Wakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu.
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo.
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa!
Mkuu umeuwa, asijekuwa huyu ndiye yule mkalimani.Huyu alipata shock ya ajabu kwenye msiba wa magu, ndo alikua anatiririsha nyuzi daily wakat wa msiba..
Bdw ni ke huyu tena mluguru wa matombo
Usitujumuishe, sema baadhi walisemaHivi sisi Watanzania tunataka nini,asipovaa barakoa tunasema akivaa tunasema,hivi tupoje?,wakati wa Mzee Magu mlisema watalii hawatakuja kwakua TZ hatuna hatua stahiki za kujikinga na korona,leo mama amevaa mnasema watalii hawatofika,tuache siasa za kizamani,mwacheni mama atuongoze kadri awezavyo,