Jiwe hakuchukua tahadhari. Watalii wakaja. Leo hao watalii waliokuja wana msaidiaje? Nyie watu itachukua muda snaa akili zenu kufunguliwa.Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Whatever! As utaenda kama Lissu its up to you, now hatu entertain praise and worship team, Never!!!kama lissu.
MUNGU naye kamtafuna mapemaOgopa sana propaganda la nguvu miaka 6 mfululizo.
hili liko juu ya kimo chako tafadhali.Kwann wapinge uvaaji barakoa as if ni jinai? Safari hii kama vip hameni NCHI, OVER!!
kwani hawapo!!!Whatever! As utaenda kama Lissu its up to you, now hatu entertain praise and worship team, Never!!!
Fisi ni ukoo wako woteMagu alikuwa anawapa nini nyie fisi? Kwani ni haramu kuvaa barakoa hadharani?
Tulikuwa tumekwisha kabisa. Yaani sasa kuna barabara ya Temeke inajengwa, kwahiyo kuna foleni za reja reja sana.MUNGU naye kamtafuna mapema
Wewe mwongo uliyetukuka, baada kuingia Corona ni lini utalii ulipanda, au waishi chato?Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Kuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!
Hapa kwetu ndio kwanza!
Leo sio mabeberu tenaKuanzia wiki ijayo uingereza raia wanaruhusiwa kukumbatiana na kubusiana!
Hapa kwetu ndio kwanza!
Wanatii beberuWakati mitaani tukijiishia raha mustarehe bila Barakoa vazi hilo limekuwa vazi rasmi la Ikulu
Hapa ni mheshimiwa Raisi Samia Suluhu Hassan akipokea hati za utambulisho wa mabalozi wakiwa kwenye vazi rasmi la barakoa.
Ngoja niwaimbie wimbo
Wanameremeta,wanameremeta ,wanameremeta, wanameremeta ,na barakoa wanameremeta ,wanameremetaaa !!!!!!!!!!!!
View attachment 1780307
Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Mkuu Move on Maisha yaendelee,Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Kweli,nawashauri wahamie hata hapo tu afghanistan,kuna dili zuri la vyuma chakavu!!Kwann wapinge uvaaji barakoa as if ni jinai? Safari hii kama vip hameni NCHI, OVER!!
nia njema HAIROGWI. anaemuombea MAMA mabaya, mabaya yasiondoke NYUMBANI KWAKE.Kwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji
Mbona walishuka kwa kiwango cha kutisha wakati mnahimiza kuvuta mvuke ? Mama level ya uelewa wake iko juuu saana ni uzawazwa kumlinganisha na unampiganiaKwa kitendo hicho tu cha Raisi kuvaa barakoa nchini kiwango cha watalii lazima kishuke kwa spidi sababu waliamini Tanzania pako safe
Sekta ya utalii ijiandae kuporomoka kwa spidi ya 5G
Mapato yatashuka sanaaaaaaaa hawaji