Inawezekana uwezo wako wa kufikiri uko chini sana kwa kiwango cha juu.Huo ni ukabila nyie watu wa huko ni wakabila Sana , Ukija uku kwetu Mbeya mwenyekiti anatoka sehemu yoyote Ile ya Tz ili mradi anaishi kijijini kwetu,
Sent using Jamii Forums mobile app
yap ni kweli maana waislam wengi wamekremu juzuu 30 hiyo ndio elimu yao hii nyingine wanaita elimu dunia ,sasa utachagua hao kwenye nafasi za mamuzi??Rais angekuwa ni muislamu na akateua waislamu wakutosha (kama nusu tu ya baraza zima), leo jumapili makanisani zingesomwa nyaraka za maaskofu kuipinga serikali, mahubiri na maombi yangekuwa ni kuipinga serikali, wakristo wangeambiwa wafunge siku kadhaa dhidi ya uislamu kushamiri hapa Tz nk.
Viongozi wa kikristo nawajua vizuri.
Hilo la wanawake lilikuwa wazi sana, wangetemwa wengi tu, mtazamo wa mzee kwa wanawake uko kipuuzi mnoo, yeye anamwona mwanamke katika mtizamo wa kingono na kiudhalilishaji mnoo, kumwamini kisiasa ni ngumu.
Huo utakua uwongo kama neno Usitutishe halitakuwepoUsinipangie!!
Usinichanganyie Battery Na Gunzi Hiyo Torch Sitaiwasha.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😁😂😅😄😃😃😀😁😂
Niambie rais aliyechagua baraza LA wakristo watupu kama sasa. Waliomtangulia walikuwa na hekima ya kutawanya majukumu na keki kwa dini zote ndiyo maana mshikamano Wa taiga ulidumu. Tuombe Mungu tufike 2025 uone mbegu ilyopandwa Leo itazaa mini.Mimi ni mwislam, ila alieleta mada hii ni Mjinga, unastahili tu kuelimishwa huenda ukaeleimika, ukaondokana na ujinga. Kwa hiyo ulitaka rais achague baraza la mawaziri lenye wakristo 50% na waislam 50%?. Kwa hiyo achague tu kukuridhisha wewe kwa idadi hiyo hata kama watendaji husika hawawezi kazi.......
Huku ni serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania,kule ni serikali ya mapinduzi zanzibar,zingatia hapoHapo sasa, wanachukulia uongozi ni zawadi, augawe gawe
Rudia kufanya uhakiki hicho ulichokiandika,usiandike,andike tu.Nawashangaa sana waislamu mnalalamika lalamika tu mnasahau kuwa top cream ya juu ya Serikali ni waislamu
Waziri mkuu muislam
Makamu wa Rais muislamu
Mkurugenzi wa usalama ni muislamu
Nenda kwa ma ded, ma das, wakuu wa wilaya na mikoa waislamu mbona wengi tu
Kipindi cha kikwete
Rais muislamu
Makamu muislamu
IGP (said mwema muislamu)
Mkurugenzi wa usalama ( othman muislamu)
Wakuu wa mshirika ya umma wengi walikuwa waislamu kina Ramadhani dau na wengine hukusikia wakristo wanalalamika you know why?
Hatumaindi vitu vidogo dogo kama hivi..
Nyinyi sasa kila kitu kwenu nongwa
Elimu Elimu Elimu
Nini msichoelewa nyie watu?Watanzania hawataki udini isipokua viongozi wetu wanauleta ama makusudi au kwa bahati mbayawatanzania wenzangu chonde chonde tusianze kuingiza udini ktk Taifa letu maana ni jambo hatari kuliko yote uliyo yataja,
ni kweli usio na shaka kuwa uwiano ni jambo zuri ktk kujenga umoja wa kitaifa lkn nchi yetu haina mgogoro wa kidini wala chuki hivyo tunaishi kwa kuaminiana zaidi kuliko kuogopana tunaamini ktk baraza lililo teuliwa hata kama hakuna uwiano.Mungu wabariki mawaziri wateule.